Pre GE2025 Tuna upinzani dhaifu. Nilitarajia Nape Nnauye na aliyekuwa DC Longido wangefikishwa Mahakamani

Pre GE2025 Tuna upinzani dhaifu. Nilitarajia Nape Nnauye na aliyekuwa DC Longido wangefikishwa Mahakamani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Binafsi tangu niwe mtu mzima na kuanza maisha ya kujitegemea sijawahi kuipenda CCM. Haihitaji uwe na elimu kujua kuwa CCM ni kikwazo katika ustawi wa jamii ya Watanzania. Tanzania inanuka ufukara uliokithiri.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!

Wapinzani hasa CHADEMA kidogo wana mwanga ingawa sometimes kuna mapungufu. Nape Nnauye alikiri kuwa kura hazina uwezo wa kuamua hatma ya Tanzania, ex DC Henry wa Longido pia alikiri kuwa kura hazina uwezo wa kuamua hatma ya Tanzania.

Rais kwa kuwatengua mara baada ya kauli zao naye anakiri kuwa kura hazina uwezo wa kuamua hatma ya Tanzania.

Wapinzani wapo tu. Tuna safari ndefu!

Pia soma: DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!
 
Nani alikwambia nchi hii kuna wapinzani?,kuna wachumia matumbo tu,wazee wa fursa

Wapinzani wa kweli ni watatoka ndani ya CCM yenyewe,siku ikikatika vipande viwili ndio tutapata upinzani halisi
 
Binafsi tangu niwe mtu mzima na kuanza maisha ya kujitegemea sijawahi kuipenda CCM.
Haihitaji uwe na elimu kujua kuwa CCM ni kikwazo katika ustawi wa jamii ya Watanzania. Tanzania inanuka ufukara uliokithiri.
Wapinzani hasa CHADEMA kidogo wana mwanga ingawa sometimes kuna mapungufu.
Nape Nnauye alikiri kuwa kura hazina uwezo wa kuamua hatma ya Tanzania, ex DC Henry wa Longido pia alikiri kuwa kura hazina uwezo wa kuamua hatma ya Tanzania.
Rais kwa kuwatengua mara baada ya kauli zao naye anakiri kuwa kura hazina uwezo wa kuamua hatma ya Tanzania.
Wapinzani wapo tu.
Tuna safari ndefu.
Tatizo sio wapinzani dhaifu, tatizo ni wananchi dhaifu.
 
Binafsi tangu niwe mtu mzima na kuanza maisha ya kujitegemea sijawahi kuipenda CCM. Haihitaji uwe na elimu kujua kuwa CCM ni kikwazo katika ustawi wa jamii ya Watanzania. Tanzania inanuka ufukara uliokithiri.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!

Wapinzani hasa CHADEMA kidogo wana mwanga ingawa sometimes kuna mapungufu. Nape Nnauye alikiri kuwa kura hazina uwezo wa kuamua hatma ya Tanzania, ex DC Henry wa Longido pia alikiri kuwa kura hazina uwezo wa kuamua hatma ya Tanzania.

Rais kwa kuwatengua mara baada ya kauli zao naye anakiri kuwa kura hazina uwezo wa kuamua hatma ya Tanzania.

Wapinzani wapo tu. Tuna safari ndefu!

Pia soma: DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!
Upinzani wafanye nini wakati hata wakienda Mahakamani wanakutana na Dyansobela.....Mahakama imeshakuwa compromised. hakuna mahakama kuna genge la wahuni wamekaa pale na majoho mekundu kuua haki za watu!
 
Binafsi tangu niwe mtu mzima na kuanza maisha ya kujitegemea sijawahi kuipenda CCM. Haihitaji uwe na elimu kujua kuwa CCM ni kikwazo katika ustawi wa jamii ya Watanzania. Tanzania inanuka ufukara uliokithiri.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!

Wapinzani hasa CHADEMA kidogo wana mwanga ingawa sometimes kuna mapungufu. Nape Nnauye alikiri kuwa kura hazina uwezo wa kuamua hatma ya Tanzania, ex DC Henry wa Longido pia alikiri kuwa kura hazina uwezo wa kuamua hatma ya Tanzania.

Rais kwa kuwatengua mara baada ya kauli zao naye anakiri kuwa kura hazina uwezo wa kuamua hatma ya Tanzania.

Wapinzani wapo tu. Tuna safari ndefu!

Pia soma: DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!
mahakama zipi? za Jumaa , Jumaaa huyu ambaye afadhali ya kijana wa IJA anaweza akatenda haki!
 
Binafsi tangu niwe mtu mzima na kuanza maisha ya kujitegemea sijawahi kuipenda CCM. Haihitaji uwe na elimu kujua kuwa CCM ni kikwazo katika ustawi wa jamii ya Watanzania. Tanzania inanuka ufukara uliokithiri.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!

Wapinzani hasa CHADEMA kidogo wana mwanga ingawa sometimes kuna mapungufu. Nape Nnauye alikiri kuwa kura hazina uwezo wa kuamua hatma ya Tanzania, ex DC Henry wa Longido pia alikiri kuwa kura hazina uwezo wa kuamua hatma ya Tanzania.

Rais kwa kuwatengua mara baada ya kauli zao naye anakiri kuwa kura hazina uwezo wa kuamua hatma ya Tanzania.

Wapinzani wapo tu. Tuna safari ndefu!

Pia soma: DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!
Hata wakifikishwa mahakamani akina Makonda, Nape na Marko Ng'umbi je mahakama zetu zipo huru kutoa hukumu ya haki? Kumbuka Tulia Ackson kafika hapo alipo kwa sababu ya kutoa hukumu iliyopinda kuhusu sheria za uchaguzi (kukaa mita 200 nje ya kituo cha kupigia kura), ndipo akateuliwa kuwa mbunge na naibu spika. Hawa jamaji na mahakimu wanaotarajia teuzi, wana uwezo wa kutoa hukumu bila kutishwa?
 
Binafsi tangu niwe mtu mzima na kuanza maisha ya kujitegemea sijawahi kuipenda CCM. Haihitaji uwe na elimu kujua kuwa CCM ni kikwazo katika ustawi wa jamii ya Watanzania. Tanzania inanuka ufukara uliokithiri.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!

Wapinzani hasa CHADEMA kidogo wana mwanga ingawa sometimes kuna mapungufu. Nape Nnauye alikiri kuwa kura hazina uwezo wa kuamua hatma ya Tanzania, ex DC Henry wa Longido pia alikiri kuwa kura hazina uwezo wa kuamua hatma ya Tanzania.

Rais kwa kuwatengua mara baada ya kauli zao naye anakiri kuwa kura hazina uwezo wa kuamua hatma ya Tanzania.

Wapinzani wapo tu. Tuna safari ndefu!

Pia soma: DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!
Upinzani wanahusikaje kuwawajinisha wahusika? Yote hayo ni kazi ya serikali kuu si uoinzani
 
Binafsi tangu niwe mtu mzima na kuanza maisha ya kujitegemea sijawahi kuipenda CCM. Haihitaji uwe na elimu kujua kuwa CCM ni kikwazo katika ustawi wa jamii ya Watanzania. Tanzania inanuka ufukara uliokithiri.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!

Wapinzani hasa CHADEMA kidogo wana mwanga ingawa sometimes kuna mapungufu. Nape Nnauye alikiri kuwa kura hazina uwezo wa kuamua hatma ya Tanzania, ex DC Henry wa Longido pia alikiri kuwa kura hazina uwezo wa kuamua hatma ya Tanzania.

Rais kwa kuwatengua mara baada ya kauli zao naye anakiri kuwa kura hazina uwezo wa kuamua hatma ya Tanzania.

Wapinzani wapo tu. Tuna safari ndefu!

Pia soma: DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!
Mtaani kwetu kuna ngedele wanakula matunda kabla hatuja yaona
 
Binafsi tangu niwe mtu mzima na kuanza maisha ya kujitegemea sijawahi kuipenda CCM. Haihitaji uwe na elimu kujua kuwa CCM ni kikwazo katika ustawi wa jamii ya Watanzania. Tanzania inanuka ufukara uliokithiri.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!

Wapinzani hasa CHADEMA kidogo wana mwanga ingawa sometimes kuna mapungufu. Nape Nnauye alikiri kuwa kura hazina uwezo wa kuamua hatma ya Tanzania, ex DC Henry wa Longido pia alikiri kuwa kura hazina uwezo wa kuamua hatma ya Tanzania.

Rais kwa kuwatengua mara baada ya kauli zao naye anakiri kuwa kura hazina uwezo wa kuamua hatma ya Tanzania.

Wapinzani wapo tu. Tuna safari ndefu!

Pia soma: DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

Kamwambie DPP. Kosa wafanye CCM hasira zako umalizie CCM .
 
Binafsi tangu niwe mtu mzima na kuanza maisha ya kujitegemea sijawahi kuipenda CCM. Haihitaji uwe na elimu kujua kuwa CCM ni kikwazo katika ustawi wa jamii ya Watanzania. Tanzania inanuka ufukara uliokithiri.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!

Wapinzani hasa CHADEMA kidogo wana mwanga ingawa sometimes kuna mapungufu. Nape Nnauye alikiri kuwa kura hazina uwezo wa kuamua hatma ya Tanzania, ex DC Henry wa Longido pia alikiri kuwa kura hazina uwezo wa kuamua hatma ya Tanzania.

Rais kwa kuwatengua mara baada ya kauli zao naye anakiri kuwa kura hazina uwezo wa kuamua hatma ya Tanzania.

Wapinzani wapo tu. Tuna safari ndefu!

Pia soma: DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!
Nenda wewe kafungue kesi iwashtaki mbona sheria inakuruhusu....

Ova
 
Back
Top Bottom