Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,171
- 15,760
Kama siyo kuogopa kifoo!!!!aisee naihusudu sana hii kitu.Duh mchukulie hii mkuu inafaa sana milioni 7.5 kila kitu .
View attachment 1278263
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama siyo kuogopa kifoo!!!!aisee naihusudu sana hii kitu.Duh mchukulie hii mkuu inafaa sana milioni 7.5 kila kitu .
View attachment 1278263
Mkuu umenichekesha sana mbona unaongea kama mulozi unaweza thibiditasha utapeli toa njia mbadala wambie watu wasije kwangu kutapeli badalayake waje kwako uwauzie usionge jumla jumla fafanua .Kuna watu wanashida na vitu mbali mbali kutoka Japan unawatisha bila kuwaelekeza njia sahihi jinsi ya kutumia teknolojia ya simu na kupata vitu bure.Utapeli unaojaribu humu wa kukukusanya pesa za watu eti utawaagizia bidhaa kutoka nje ushapitwa na wakati. Huu ni utapeli wa miaka ya 90 kabla ya kushamiiri kwa teknolojia ya internet na simu za viganja.
Naona wewe hukumuelewa mtoa post.... amesema kila kitu kinafanyika kwenye website yao including ordering na kufanya malipo. Sio hapa JF!Utapeli unaojaribu humu wa kukukusanya pesa za watu eti utawaagizia bidhaa kutoka nje ushapitwa na wakati. Huu ni utapeli wa miaka ya 90 kabla ya kushamiiri kwa teknolojia ya internet na simu za viganja.
Hii kitu naitamani sana ila kuipata hizo tairi zikiisha nafikiri itakuwa mtihani sana
Tairi zipo hapa Nchi ukitaka za Japan zipo bei yake kidogo ukilingani na hapa imechangamka unachokifanya unatuma order kupitia kwenye webisite yetu una loign kisha unaingia kwenye forum unapost tairi namba utapewa bei ukilipia unasafirishiwaa kwanjia ya container au EMS.Hii kitu naitamani sana ila kuipata hizo tairi zikiisha nafikiri itakuwa mtihani sana
Mkuu picha sina ila kama zile zinzotumiwa na serikali au nyingine ni DFPMkuu Honda XL nyekundu ziko nyingi sana tuma picha tuione mkuu
Mkuu itakua ngumu sana kujua Honda gani nipe muda nikipata mtu anayezijua vizuri nitakupa bei
Hiyo pikipiki iliyoandikwa Toshiba mnauzaje?Tunaagiza pikipiki za mtumba (Honda, Kawasaki, Suzuki, KTM na BMW), kama ni mpenzi wa Pikipiki kubwa za kutembelea, za Michezo, ndogo, za kawaida na vitu mbalimbali vya mtumba vilivyotumika kidogo na vipuli kama engine tukutane hapa
Mizigo midogo mteja anachagua kusafirisha kwanja ya EMS au Container garama zinatofautina kulingana na njia ya usafiri.
Kwa maeleo zaidi unaweza kupiga +255 764 837 757 au piga namba ya Japan +8190 1733 7447 Office zetu ziko Tabata na Zanziber kwa Japan ziko Chiba Tokyo area unaweza kupiga hizo simu kwamaelezo zaidi.
View attachment 1282264
View attachment 1282267
View attachment 1282265
Ondoa basi hiyo picha ya Laptop.Itakua imekosewa Toshiba hawatengenezi Pikipiki
TV wanazoXiaomi kuna simu sio TV mkuu mbona sikuelewi mkuu
Hiyo bishow wote mjini watajuta 😁
Upo sahihi kabisa mkuuKwa maelezo yake View attachment 1281824Pengine anamaanisha hiki chombo.
TV zipo bado tuko kwenye utafiti kujua kama zinafanya kazi huku zimepakiwa mbili zikifika zikafanya kazi nitaktafuta naomba ingie kwenye webste kwenye forum utume request zikifanya kazi utapewa taarifa
View attachment 1282432View attachment 1282433View attachment 1282434
Pia tunatafuta wanavyuo wanaosoma Japan na Rai wa Tanzania kwalengo la Kuwasafirishia mizigo yao tunaweka address sehemu ya kupeleka mizigo na bei zetu kupitia kwenye forum ya mzigo