for life JF-Expert Member Joined Sep 22, 2014 Posts 3,397 Reaction score 4,436 Dec 6, 2019 #81 Jinsonjohn said: Zenye ukubwa gani ndogo kubwa zote zipo zinatumia umeme wa 110 tatizo kwa upande wa mashine ndogo zina Watt kubwa converter za watt kubwa hatuna labda ununue na generator yake, Mashine Kubwa za three phase mota zake zina na option ya 220 Click to expand... Mbona Zina umeme mkubwa sanaa
Jinsonjohn said: Zenye ukubwa gani ndogo kubwa zote zipo zinatumia umeme wa 110 tatizo kwa upande wa mashine ndogo zina Watt kubwa converter za watt kubwa hatuna labda ununue na generator yake, Mashine Kubwa za three phase mota zake zina na option ya 220 Click to expand... Mbona Zina umeme mkubwa sanaa
for life JF-Expert Member Joined Sep 22, 2014 Posts 3,397 Reaction score 4,436 Dec 7, 2019 #82 Jinsonjohn said: Ujasema unataka zenye ukubwa gani nimewambia watazipiga picha zote nakuzi upload kwenye webite kesho pia nitakua cc uzione hapa Click to expand... Nilikuwa nahitaji ndogo boss wangu
Jinsonjohn said: Ujasema unataka zenye ukubwa gani nimewambia watazipiga picha zote nakuzi upload kwenye webite kesho pia nitakua cc uzione hapa Click to expand... Nilikuwa nahitaji ndogo boss wangu
lewiathan Senior Member Joined Jan 17, 2019 Posts 199 Reaction score 282 May 31, 2021 #83 Jinsonjohn said: View attachment 1278863 Hii ni Honda CBR954RR ziko model nyingi ukubwa tofauti inabidi unipe specification Click to expand... Kama hii bei gan had usajl!?
Jinsonjohn said: View attachment 1278863 Hii ni Honda CBR954RR ziko model nyingi ukubwa tofauti inabidi unipe specification Click to expand... Kama hii bei gan had usajl!?
makaveli10 JF-Expert Member Joined Mar 27, 2013 Posts 31,583 Reaction score 92,670 May 31, 2021 #84 Jinsonjohn said: View attachment 1279604 Wakulima mshindwe wenyewe yaan ni bei ya manunuzi na usafikiri tu Duty free Click to expand... Ngapi bei?
Jinsonjohn said: View attachment 1279604 Wakulima mshindwe wenyewe yaan ni bei ya manunuzi na usafikiri tu Duty free Click to expand... Ngapi bei?
LuisMkinga JF-Expert Member Joined Jan 10, 2012 Posts 3,255 Reaction score 6,252 May 31, 2021 #85 Jinsonjohn said: View attachment 1279567View attachment 1279568View attachment 1279569 Wakulia pia tuko pamoja jipatie Pawatira ya kusukuma na mkono yenye uwezo wa kulima na kupanda mbegu kwa m 3 Click to expand... BEI NGAPI HII KITU?
Jinsonjohn said: View attachment 1279567View attachment 1279568View attachment 1279569 Wakulia pia tuko pamoja jipatie Pawatira ya kusukuma na mkono yenye uwezo wa kulima na kupanda mbegu kwa m 3 Click to expand... BEI NGAPI HII KITU?