Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanakwaza sana. Binafsi hapa napata shida ktk kupumua. Nimetoka hospitali. Hizi siku kadhaa hapa nimetoka toka. Ninatumia dawa kwa sasa.... halafu kmbwembwe anakwambia Corona inakuzwa bila sababu! Pathetic! Poleni sana ndugu.
Hapa tuna msiba babu yetu amefariki jana na covid. Kesho tunapandisha maiti[emoji26]
Jana aunt yangu amezikwa. Its scary aisee.
Isije ikawa unawaingiza watu chaka, wanafuata hayo maneno wakati wewe unachukua tahadhari zote, Mungu anakuonaWewe endelea kuchapa kazi upate kipato cha kuendeleza maisha yako ya baadae, habari za Corona achana nazo. Tatizo mna macho lakini hamuoni, mnajifanya mnajua kumbe hamjui, achana na siasa ya dunia itakupotezea mda wa kukuza uchumi wako.
Tunafanya masiahara na janga la corona.Huku Mbozi utadhani hakuna corona.Ni watu wachache wanaochukua tahadhari ya corona.Serikali ichukue hatua zaidi ya kujihadhari na corona.Kwa hali tuliyo nayo isiyozingatia tahadhari tunaweza kuingia kwenye maafa ya kutisha.Mitutano ya kisiasa na mbio za mwenge zisitishwe kwa muda.Ama sivyo tahadhari kubwa ichukuliwe.Kusiwe na mikesha ya mwenge.Nimemuona Katibu Mkuu wa CCM anaendelea na mikutano ya hadhara kule Songwe na anakusanya watu wengi tu huku viongozi wakituambia hali ya corona ni mbaya. Je, kuendeleza hii mikutano haiwezi kuwa kitisho kikubwa cha kusambaza hiyo corona?
Ni kwanini CCM isiisitishe hii mikutano ili kuonesha mfano wa kuchukua tahadhari?
Mbali na hizo ziara za CCM kuna mbio za mwenge vyuo na shule ambavyo vyote hukusanya watu wengi na viko ndani ya uwezo kuvifunga ili kuwanusuru wananchi na hilo wimbi?
Wamesahau! Wanaangalia upande mojaMacho kumchuzi mkono kuubwabwa pia alikua na ziara ya kikanda pia hilo msijisahaulishe,pamoja na vikao vya chama chake vilikua vikifanyika kwa watu kujazana ndani ya kumbi na sio nje.
Asante sana mkuuPoleni sana.
Watu wanakwaza sana. Binafsi hapa napata shida ktk kupumua. Nimetoka hospitali. Hizi siku kadhaa hapa nimetoka toka. Ninatumia dawa kwa sasa.
Asante mkuu. Kidogo napata hewa ila sasa siko poa ile yenyewe. Napambana nikae sawa.
Pole sana.Asante mkuu. Kidogo napata hewa ila sasa siko poa ile yenyewe. Napambana nikae sawa.
Asante mkuu. Kidogo napata hewa ila sasa siko poa ile yenyewe. Napambana nikae sawa.
Asante sana ndugu yanguPole sana.
Amina ndugu yangu. All will be well. Nitakaa sawaPole sana mkuu. Kwa sasa muhimu kujipa mapumziko. Unahitaji nguvu zote kupambana. Mola atakuvusha.