“Tunaamua tuseme ukweli.” Hii kauli ya Ummy Mwalimu inafikirisha sana

Kwahiyo sasa ndio mmeamua kusema ukweli..?!
Wachana na yote yaliyoongelewa hapo "Mi shingo ya waziri Ummy inaniuwa" Hizi ndio zile zinazoitwa shingo ya upanga, walizokuwa wakiziimba kina Marijani Rajabu. [emoji2817][emoji2817]

"Cᵒᵃᶜᵏʳᵒᵃᶜʰ ⁿᵘʰ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱⁿⁿᵃ ᶠᵒʷˡ ᶠⁱᵍʰT"
 
Aisee hapa duniani kumbe tunafanana tabia hiyo shingo ya ummy mwalimu kama ningekuwa land cruiser V8 ningempa bure Tu.
Huyu binti nampenda Sana na shingo yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…