means mara ya kwanza haukwepo ukweli?“Mnaweza kuona nimetoa takwimu kubwa sana lakini tumeamua tuseme ukweli kwa sababu Watanzania sasa lazima waelewe kuwa tunakabiliwa na changamoto kubwa”
Waziri wa Afya @umwalimu
Chanzo: BBC Swahili.
Endeleeni na upuuzi wenuHao watu hawana ndugu humu Jf?
Ina maana huwaga wanatudanganya?“Mnaweza kuona nimetoa takwimu kubwa sana lakini tumeamua tuseme ukweli kwa sababu Watanzania sasa lazima waelewe kuwa tunakabiliwa na changamoto kubwa”
Waziri wa Afya @umwalimu
Chanzo: BBC Swahili.
Halali usingiziPamoja na yote dada ummy wa watu yupo kwenye wakati mgumu sana. Kwenye hayo maombi yenu mumuombee pia.
Kajificha Mkuu.Kwani Magufuli yupo wapi now
Bado vifo maana huko MLONGANZILA tunaambiwa kila siku corona inaondoa watu
Wangapi wanakufa kwa magonjwa mengine?Bado vifo maana huko MLONGANZILA tunaambiwa kila siku corona inaondoa watu
WeweWe tumbili nani kakwambia
Yeye hausiki na haya mambo, ameshaunda kamati amewaachia mpira uwanjani wapambane nao...kufa hatuogopi shida kutanguliaKwani Magufuli yupo wapi now
Wachana na yote yaliyoongelewa hapo "Mi shingo ya waziri Ummy inaniuwa" Hizi ndio zile zinazoitwa shingo ya upanga, walizokuwa wakiziimba kina Marijani Rajabu. [emoji2817][emoji2817]Kwahiyo sasa ndio mmeamua kusema ukweli..?!
Aisee hapa duniani kumbe tunafanana tabia hiyo shingo ya ummy mwalimu kama ningekuwa land cruiser V8 ningempa bure Tu.Wachana na yote yaliyoongelewa hapo "Mi shingo ya waziri Ummy inaniuwa" Hizi ndio zile zinazoitwa shingo ya upanga, walizokuwa wakiziimba kina Marijani Rajabu. [emoji2817][emoji2817]
"Cᵒᵃᶜᵏʳᵒᵃᶜʰ ⁿᵘʰ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱⁿⁿᵃ ᶠᵒʷˡ ᶠⁱᵍʰT"
Mbona yule mbunge wa singida hataki ukweli usemweMsema kweli ni mpenzi wa Mungu!
Prof Kitila anampelekesha kimya kimya!