“Tunaamua tuseme ukweli.” Hii kauli ya Ummy Mwalimu inafikirisha sana

“Tunaamua tuseme ukweli.” Hii kauli ya Ummy Mwalimu inafikirisha sana

“Mnaweza kuona nimetoa takwimu kubwa sana lakini tumeamua tuseme ukweli kwa sababu Watanzania sasa lazima waelewe kuwa tunakabiliwa na changamoto kubwa”
Waziri wa Afya @umwalimu
Chanzo: BBC Swahili.


Ndio Msimamo wa Makamu na PM ....anayewambia kila kitu kiko saawa yeye yuko Kijijini kajificha ......wao ndio wanakesha hadi sauti zinakauka .......angefanya hivyo Mwalimu 1978 tungetoa wapi morali ..lakini yeye sio tu alikuwa akiwatembelea bali hata watoto wake wa kuwazaa Capt nyerere Andrew ,John na Makongoro waliungana na watoto wa wakulima na wafanyakazi kupigana .....
Watumishi wa Afya ndio askari wetu kwenye hii vita ..pamoja na ushiriki wa vyombo vya ulinzi na usalama
 
“Mnaweza kuona nimetoa takwimu kubwa sana lakini tumeamua tuseme ukweli kwa sababu Watanzania sasa lazima waelewe kuwa tunakabiliwa na changamoto kubwa”
Waziri wa Afya @umwalimu
Chanzo: BBC Swahili.

Ndio maana yake wameona wawe wanasema ukweli....kila leo....

Hii nayo ina mjadala?


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
“Mnaweza kuona nimetoa takwimu kubwa sana lakini tumeamua tuseme ukweli kwa sababu Watanzania sasa lazima waelewe kuwa tunakabiliwa na changamoto kubwa”
Waziri wa Afya @umwalimu
Chanzo: BBC Swahili.

Kumbe toka mwanzo walikuwa wanaficha ficha eeeh
Kwanini aseme ivo
 
Tangu mwanzo nilikuwa nazitilia mashaka zile takwimu.
Yaani nimeiona hiyo tweet nikafikiri sana. Scary!
 
Aisee hapa duniani kumbe tunafanana tabia hiyo shingo ya ummy mwalimu kama ningekuwa land cruiser V8 ningempa bure Tu.
Huyu binti nampenda Sana na shingo yake
Chief mi hata ningekuwa na VX V8 ningemkabidhi. Acha utani na ile shingo mzee

"Cᵒᵃᶜᵏʳᵒᵃᶜʰ ⁿᵘʰ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱⁿⁿᵃ ᶠᵒʷˡ ᶠⁱᵍʰT"
 
Nikweli maana wasipo sema ukweli bifo vitawaumbua na pia mkono wa sheria ndio maana china kabadilisha data ghafla anajuwa what next. Note unapoficha taarifa nyeti kama hizi dunia inakuadhibu. China ajiandae kisaikolojia kulipa Trilion of Usd... Keep cool

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu!

Nchemba aliposema takwimu zisitajwe, mlimpigia makofi na kumuunga mkono!
Ummy amesema ukweli usemwe, napo mmo!
Hivi nyie makada wa chama joka a.k.a mataga mna matatizo gani lakini...!?!
Vigeugeu sana nyie...


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nape aliposema takwimu zisitajwe, mlimpigia makofi na kumuunga mkono!
Ummy amesema ukweli usemwe, napo mmo!
Hivi nyie makada wa chama joka a.k.a mataga mna matatizo gani lakini...!?!
Vigeugeu sana nyie...


Sent from my iPhone using JamiiForums
Wewe ndio mzushi.

Lini Nape alisema takwimu zisitajwe?!!
 
Bado hatujachelewa kupiga lockdown Dar es salam na Zanzibar, siku 21 zitatosha kutokomeza Corona.

Serikali ifanye maamuzi haya haraka kabla hospitali zetu hazijazidiwa ili kuwwka urahisi kwa wagonjwa waliopo vinginevyo hospitali zitafurika na watu wengi watapoteza maisha.

Let's do it very fast hatujachelewa.
 
Hahahaha ah we ni mzima kweli mkuu??
I'm okay. Mental and physical fit. [emoji106][emoji106][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

"Cᵒᵃᶜᵏʳᵒᵃᶜʰ ⁿᵘʰ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱⁿⁿᵃ ᶠᵒʷˡ ᶠⁱᵍʰT"
 
Back
Top Bottom