“Tunaamua tuseme ukweli.” Hii kauli ya Ummy Mwalimu inafikirisha sana

“Tunaamua tuseme ukweli.” Hii kauli ya Ummy Mwalimu inafikirisha sana

“Mnaweza kuona nimetoa takwimu kubwa sana lakini tumeamua tuseme ukweli kwa sababu Watanzania sasa lazima waelewe kuwa tunakabiliwa na changamoto kubwa” - Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu

Kwahiyo sasa ndio mmeamua kusema ukweli..?!
"Lakini tumeamua tuseme ukwel". Pigia mstari hapo
 
Baada ya Marekani kuituhumu China kuficha taarifa na kukata Msaada kwa WHO naona kumekucha sasa, kifuatacho ni Katibu mkuu wa WHO kuachia ngazi. Beberu kaamua kuwaamsha watu na China haitaaminiwa na dunia maana kama daktari wao alietoa taarifa za awali kuhusu Corona na wakamkamata, ni nani atawaamini Wachina kwa taarifa zao za vifo? Baada ya Marekani kutishia kufanya uchunguzi ndio China kaongeza Idadi na New Case zimeongezeka mpaka kufikia watu 116 badala ya awali watu 2 au mtu 1.

Sasa watu wameshtuka baada ya Marekani kumalizana na China nani atakaefuata? Bora Ukweli maana hata kimataifa hatutaaminika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu analiyekaa mkao wa kula yupo chattle, ujasiri wa kuwa likizo katika muda Kama huu kiongozi wa nchi unaupata wapi kwanza?
Raha yenu ni aseme total lockdown? Hiyo haiwezekani maana hata majirani zetu hapo malawi inaelekea kukataliwa..
 
Baada ya Marekani kuituhumu China kuficha taarifa na kukata Msaada kwa WHO naona kumekucha sasa, kifuatacho ni Katibu mkuu wa WHO kuachia ngazi. Beberu kaamua kuwaamsha watu na China haitaaminiwa na dunia maana kama daktari wao alietoa taarifa za awali kuhusu Corona na wakamkamata, ni nani atawaamini Wachina kwa taarifa zao za vifo? Baada ya Marekani kutishia kufanya uchunguzi ndio China kaongeza Idadi na New Case zimeongezeka mpaka kufikia watu 116 badala ya awali watu 2 au mtu 1.

Sasa watu wameshtuka baada ya Marekani kumalizana na China nani atakaefuata? Bora Ukweli maana hata kimataifa hatutaaminika

Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania mnaichukulia kama iko ktk G20, haya ni madhara ya kuwa na international exposure.
 
Huyu mama mpaka amekonda, rais asikilize ushauri Wa wataalamu Wa Afya Na watu wengine
 
Nikweli maana wasipo sema ukweli bifo vitawaumbua na pia mkono wa sheria ndio maana china kabadilisha data ghafla anajuwa what next. Note unapoficha taarifa nyeti kama hizi dunia inakuadhibu. China ajiandae kisaikolojia kulipa Trilion of Usd... Keep cool
Duuuh. Wabongo kwa kupiga ramli hamjambo
 
Nikweli maana wasipo sema ukweli bifo vitawaumbua na pia mkono wa sheria ndio maana china kabadilisha data ghafla anajuwa what next. Note unapoficha taarifa nyeti kama hizi dunia inakuadhibu. China ajiandae kisaikolojia kulipa Trilion of Usd... Keep cool
...ndio maana niliposikia ushauri wa waziri wa mambo ya ndani alietumbuliwa akisema wafiche idadi ya wagonjwa nikasikitika sana Kama msomi mwenye PhD anawaza namna iyo hivi atakuwa alifanya madudu kiasi gani alipokabiziwa ofisi kubwa ya umma.....naanza kuamini tumbua tumbua ya jpm huwa iko sahihi
 
Back
Top Bottom