Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,921
Endelea na mambo ya maana hiyo achana nayoComment mbofu mbofu hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea na mambo ya maana hiyo achana nayoComment mbofu mbofu hii.
Kumbukeni huyu ni waziri aka mheshimiwa na anayo familia. Tuwe na heshima kwa mama zetu plz.Aisee hapa duniani kumbe tunafanana tabia hiyo shingo ya ummy mwalimu kama ningekuwa land cruiser V8 ningempa bure Tu.
Huyu binti nampenda Sana na shingo yake
Hili nalo neno. Likizo wakati nchi iko 'vitani'!!Mkuu analiyekaa mkao wa kula yupo chattle, ujasiri wa kuwa likizo katika muda Kama huu kiongozi wa nchi unaupata wapi kwanza?
Kwani Magufuli yupo wapi now
Sure asee yani mi mwenyewe nikionaga shingo ya Ummy ilivyo laini na vipingili ubo.oo unadindaWachana na yote yaliyoongelewa hapo "Mi shingo ya waziri Ummy inaniuwa" Hizi ndio zile zinazoitwa shingo ya upanga, walizokuwa wakiziimba kina Marijani Rajabu. [emoji2817][emoji2817]
"Cᵒᵃᶜᵏʳᵒᵃᶜʰ ⁿᵘʰ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱⁿⁿᵃ ᶠᵒʷˡ ᶠⁱᵍʰT"
“Mnaweza kuona nimetoa takwimu kubwa lakini tunaamua tuseme ukweli kwa sababu Watanzania lazima waelewe kwamba changamoto hii ipo na kila mtu sasa kwa nafasi yake, kama kulikuwa na mtu anadhani tunatania ni wakati wa kuchukua hatua”- Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu
Kwahiyo sasa ndio mmeamua kusema ukweli..?!
PHD za kibwege...ndio maana niliposikia ushauri wa waziri wa mambo ya ndani alietumbuliwa akisema wafiche idadi ya wagonjwa nikasikitika sana Kama msomi mwenye PhD anawaza namna iyo hivi atakuwa alifanya madudu kiasi gani alipokabiziwa ofisi kubwa ya umma.....naanza kuamini tumbua tumbua ya jpm huwa iko sahihi
Ngoja tusali mkuuHuyu mama mpaka amekonda, rais asikilize ushauri Wa wataalamu Wa Afya Na watu wengine
Awamu ya 5 imeiletea Tanzania WEHU wa kila aina..tulia dawa ikuingie..Kauli haina tatizo lolote. Shida ipo kwa wewe mpokeaji. Receiver yako Ina COVID-SIASA ZA KIJINGA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aah wapi, ndo muda wake wa kujenga na kupaua.Pamoja na yote dada ummy wa watu yupo kwenye wakati mgumu sana. Kwenye hayo maombi yenu mumuombee pia.
Yaah maana apo nyuma wamedanganya watuNdio maana yake wameona wawe wanasema ukweli....kila leo....
Hii nayo ina mjadala?
Sent from my iPhone using Tapatalk
Tanzania ya Jf ni tofauti sana na Tz ya huku mtaani kwenye maisha halisi.
Bora Pole Pole aliewaita CHADEMA ni CORONA. Yaani wanaccm wanalichukulia ili tatizo kisiasa ndiyo maana ata suluhu zinakua za kisiasa.Nyie mashetani mmekaa mkao wa kula kuombea mabaya. Mlaaniwe nyie mapepo.