“Tunaamua tuseme ukweli.” Hii kauli ya Ummy Mwalimu inafikirisha sana

Hiyo miji mikubwa inapata chakula toka miji nidogo. Wajifungie waone watakula Nini.
Dar kila kitu kinaletwa ,. Mahindi. Mchele,. Maharage ,. Ng'ombe , mbuzi,. Kila kitu kinaletwa. Hebu wajifungie waone.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imefikia hatua nikiona kisura cha ummy mwalimu tu kwenye tv baas najua tayari
 

Naam angalau neno la faraja hili: “shingo la upanga”. Ilikuwa ni Wilson Peter Kinyonga na nduguze (Jamhuri Jazz) kabla ya jabali Marijani kuibuka. [emoji4]
 
Hao watu hawana ndugu humu Jf?
Swali zuri sana na natamani nione majibu yake.

Na sio Jf tu, hata huko mitaani hawana ndugu, marafiki, wazazi/watoto! Mi nadhani hata taarifa za maambukizi zimekuwa juu kwasababu vituo vya kupima vimeongezeka hivyo watu wengi kufikiwa ila kusema taarifa za vifo zinafichwa nitakuwa wa mwisho kuamini.

Mtaa mmoja ufiwe na watu wawili watatu halafu taarifa zisizage kweli!!? Hata kama watapewa vitisho kiasi gani, itajulikana tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahaha... hilo shingo linawauwa wengi! Kuna wakati watu hata hawasikilizi anachosema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anamlipa nani? Au ndiyo story za vijiwe vya kahawa?
 
Hiyo miji mikubwa inapata chakula toka miji nidogo. Wajifungie waone watakula Nini.
Dar kila kitu kinaletwa ,. Mahindi. Mchele,. Maharage ,. Ng'ombe , mbuzi,. Kila kitu kinaletwa. Hebu wajifungie waone.

Sent using Jamii Forums mobile app


Magari ya mizigo yataweza kuruhusiwa kuendelea kuingia na kutoka kama kawada!
Mbona hata ndege za mizigo zinaruhusiwa?!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uganda wanapeta rais wao anataka mabenki yaahirishe kudai madeni maana biashara zinayumba!!
Kuna nchi rais huko guantananarivo anamtwisha Mungu majukumu badala yakupambana kisayansi anataka watu wasaliii anasahau Italia kwawaroma kindakindaki kanisa kila baada yanyumba corona imewachapa mbaya ndoiwe wao bar kila baada ya nyumba. Kusali tunasaligi mwambieni aje na strategies zakiakili sio ang'ang'ane kiimani ili tu asifiwe nimcha Mungu.
 
Ummy yupo kwenye wkt mgumu Sana naona hata akila hashibi.
Tufate ushauri wa wataalam, na tumuombe Mungu Sana.
 
Labda mwanzo kulikuwa na chaguo 'busara' ya kutotoa takwinu sahihi ili kuepusha taharuki, 'kuonekana dhaifu katika utendaji?' au athari za uchumi.

Mungu iondeshee maradhi haya Tanzania,Afrika na Dunia.
 
hahahaha... hilo shingo linawauwa wengi! Kuna wakati watu hata hawasikilizi anachosema

Sent using Jamii Forums mobile app
Najua anachosema kipo, kwanini nisiiwazie shingo yake[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

"Cᵒᵃᶜᵏʳᵒᵃᶜʰ ⁿᵘʰ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱⁿⁿᵃ ᶠᵒʷˡ ᶠⁱᵍʰT"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…