Hiyo miji mikubwa inapata chakula toka miji nidogo. Wajifungie waone watakula Nini.Sijajua wanapata Shida wapi kufanya Maamuzi magumu
.
Wameshindwa kupiga Lock down hii Miji mikubwa ?? Sawa Hakuna Shida Wacha tusambaze nchi nzima
ila Leo Jf Mumefuta Nyuzi Nyinhi Sana hata wenyewe Naona mumeliona hilo
Kila nyuzi nayoreply mnapita nayo [emoji18][emoji18]
Wachana na yote yaliyoongelewa hapo "Mi shingo ya waziri Ummy inaniuwa" Hizi ndio zile zinazoitwa shingo ya upanga, walizokuwa wakiziimba kina Marijani Rajabu. [emoji2817][emoji2817]
"Cᵒᵃᶜᵏʳᵒᵃᶜʰ ⁿᵘʰ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱⁿⁿᵃ ᶠᵒʷˡ ᶠⁱᵍʰT"
Swali zuri sana na natamani nione majibu yake.Hao watu hawana ndugu humu Jf?
hahahaha... hilo shingo linawauwa wengi! Kuna wakati watu hata hawasikilizi anachosemaWachana na yote yaliyoongelewa hapo "Mi shingo ya waziri Ummy inaniuwa" Hizi ndio zile zinazoitwa shingo ya upanga, walizokuwa wakiziimba kina Marijani Rajabu. [emoji2817][emoji2817]
"Cᵒᵃᶜᵏʳᵒᵃᶜʰ ⁿᵘʰ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱⁿⁿᵃ ᶠᵒʷˡ ᶠⁱᵍʰT"
Anamlipa nani? Au ndiyo story za vijiwe vya kahawa?Nikweli maana wasipo sema ukweli bifo vitawaumbua na pia mkono wa sheria ndio maana china kabadilisha data ghafla anajuwa what next. Note unapoficha taarifa nyeti kama hizi dunia inakuadhibu. China ajiandae kisaikolojia kulipa Trilion of Usd... Keep cool
Hiyo miji mikubwa inapata chakula toka miji nidogo. Wajifungie waone watakula Nini.
Dar kila kitu kinaletwa ,. Mahindi. Mchele,. Maharage ,. Ng'ombe , mbuzi,. Kila kitu kinaletwa. Hebu wajifungie waone.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja na yote dada ummy wa watu yupo kwenye wakati mgumu sana. Kwenye hayo maombi yenu mumuombee pia.
Mtoto wa mwenyekiti alipona!Hata kwenye vifo tunawasubiri.
Bado vifo maana huko MLONGANZILA tunaambiwa kila siku corona inaondoa watu
Najua anachosema kipo, kwanini nisiiwazie shingo yake[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]hahahaha... hilo shingo linawauwa wengi! Kuna wakati watu hata hawasikilizi anachosema
Sent using Jamii Forums mobile app
.
mkuu huna habari ? maombi walifanya siku tatu wakaanza nyungu ?? hahahahahahah ajiombee mwenyewe tuPamoja na yote dada ummy wa watu yupo kwenye wakati mgumu sana. Kwenye hayo maombi yenu mumuombee pia.
Je, wameacha kuzika usiku? Pia mpaka mapapai yakome kuwa positive na corona ndio atapata sala zangu.Pamoja na yote dada ummy wa watu yupo kwenye wakati mgumu sana. Kwenye hayo maombi yenu mumuombee pia.