Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jeshi letu pendwa la Polisi limeandamana kwa niaba ya Chadema. Kwa jinsi walivyojizatiti kuleta maafa na vifo kwa waandamanaji wamesaidia kufikisha ujumbe uliokusudiwa kwa dunia nzima. Malalamiko ya Chadema ni ukandamizaji wa demokrasia nchi kwa kutumia mabavu ya vyombo vya dola hasa Polisi, kwa maandamano yao na zana zao za maangamizi wamemaliza kila kitu. Polisi wameandamana kwa niaba ya Chadema kwa gharama za Serikali.Hebu nielimisheni, watu wanatakiwa kwasababu gani? Maandamano yanatoka wapi kuelekea wapi? Nani atayapokea maandamano na Hatima kabisa ya maandamano ni nini?
Akina Mbowe tu wanataka kuwatumia watu kufanikisha malengo yao na wafadhili wao walio nje.Hebu nielimisheni, watu wanatakiwa kwasababu gani? Maandamano yanatoka wapi kuelekea wapi? Nani atayapokea maandamano na Hatima kabisa ya maandamano ni nini?
Dunia nzima ndiyo ipi inafuatilia utopolo wenu huku!! Waache kufuatilia mambo ya Ukraine, Lebanon na Gaza? Waje waangalie usanii wa Mbowe??Jeshi letu pendwa la Polisi limeandamana kwa niaba ya Chadema. Kwa jinsi walivyojizatiti kuleta maafa na vifo kwa waandamanaji wamesaidia kufikisha ujumbe uliokusudiwa kwa dunia nzima. Malalamiko ya Chadema ni ukandamizaji wa demokrasia nchi kwa kutumia mabavu ya vyombo vya dola hasa Polisi, kwa maandamano yao na zana zao za maangamizi wamemaliza kila kitu. Polisi wameandamana kwa niaba ya Chadema kwa gharama za Serikali.
Huna akili ya kuelewa nakupuuza. Ujumbe tuliokusudia umefika tena kwa vielelezo hai.Sunia nzima ndiyo ipi inafuatilia utopolo wenu huku!! Waache kufuatilia mambo ya Ukraine, Lebanon na Gaza? Waje waangalie usanii wa Mbowe??
Jibu swali! Nani atayapokea na kuwa mgeni rasmi wa hayo maandamano?Watu wanatekwa na kuuwawa na hakuna uchunguzi wala maelezo yeyote kutoka serikalini
Hebu nielimisheni, watu wanatakiwa kwasababu gani? Maandamano yanatoka wapi kuelekea wapi? Nani atayapokea maandamano na Hatima kabisa ya maandamano ni nini?
👎Jibu swali! Nani atayapokea na kuwa mgeni rasmi wa hayo maandamano?
Hata UN na EU wameshindwa kusimamia demokrasia na mauaji kule Palestine, Ukraine, DR Congo, Sudan, Yemen, Syria, Haiti, Sahel, Libya, Iraq, Russia, Lebanon, Afghanistan, Afrika ya Kati, nk. Haya maandamano yetu tunampelekea nani, au kuna lingine ambalo halisemwi?Jeshi letu pendwa la Polisi limeandamana kwa niaba ya Chadema. Kwa jinsi walivyojizatiti kuleta maafa na vifo kwa waandamanaji wamesaidia kufikisha ujumbe uliokusudiwa kwa dunia nzima. Malalamiko ya Chadema ni ukandamizaji wa demokrasia nchi kwa kutumia mabavu ya vyombo vya dola hasa Polisi, kwa maandamano yao na zana zao za maangamizi wamemaliza kila kitu. Polisi wameandamana kwa niaba ya Chadema kwa gharama za Serikali.
hata ukijibiwa baada ya saa 24 utauliza tena swali hilo hilo coz MTZ wewe ni mbumbumbu ndo maana kiboko ya wachawi anawacheka sana huko alipoHebu nielimisheni, watu wanatakiwa kwasababu gani? Maandamano yanatoka wapi kuelekea wapi? Nani atayapokea maandamano na Hatima kabisa ya maandamano ni nini?
Wee mpuuzi usitupotezee mudaNani wanatekwa? kwanini wametekwa na wametekwa na nani?
Mbona watoto wetu wako Canada, hawa wanaoandamana huku ni watoto wa nani?
Ulikufa umefufuka leo? Mbona unauliza maswali ya kijinga hivi?Nani wanatekwa? kwanini wametekwa na wametekwa na nani?
Mbona watoto wetu wako Canada, hawa wanaoandamana huku ni watoto wa nani?
Kuna mtu huko amekwambia unatusumbua.Sio ya kijinga, ila huna majibu hata wewe. Jibu swali hili rahisi, kwanini wewe hujatekwa pia wametekwa wao tu?
EhSunia nzima ndiyo ipi inafuatilia utopolo wenu huku!! Waache kufuatilia mambo ya Ukraine, Lebanon na Gaza? Waje waangalie usanii wa Mbowe??