GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
GENTAMYCINE niliposema wenye Simba SC yetu sasa tumerudi Kundini na Kazini nilikuwa ninamaanisha. Kudadadeki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msimu ujao wale Wote wanaotudharau Simba SC nina uhakika watakuja Kuulizana ni wapi safari hii Tumejitafuta na Kujipata kwani hawatoamini kwa Mpira mkubwa, mwingi na Mafanikio makubwa ya Ndani na Nje ambayo Simba SC inaenda Kuyapata. Itunzeni hii Post yangu tafadhali.Ni kama Simba wapo serious saiv, sajili zinaonekana za kawaida ila Kuna combination inatengenezwa.
Combination ya maharage na mahindi yaliyokobolewaNi kama Simba wapo serious saiv, sajili zinaonekana za kawaida ila Kuna combination inatengenezwa.
Ndicho kipindi chenu hiki cha kujifariji,kufurahi na kujipa matumaini but ligi ikifika kati mnaanza kumtukana na kumsumbua Mzee wetu Ngungus Boy wakati hapa mnakiri kuwa usajili huu unafanywa na mnaojiita wenye 5imba yenu.Msimu ujao wale Wote wanaotudharau Simba SC nina uhakika watakuja Kuulizana ni wapi safari hii Tumejitafuta na Kujipata kwani hawatoamini kwa Mpira mkubwa, mwingi na Mafanikio makubwa ya Ndani na Nje ambayo Simba SC inaenda Kuyapata. Itunzeni hii Post yangu tafadhali.
Hapana mkuu, unatazama vibaya kina kitu kipo kinasukwa japo wasiwe na haraka .Combination ya maharage na mahindi yaliyokobolewa
Unarudi vipi kundini kabla ya kumuondoa Mwenyekiti kwenye nafasi yake? Au umeshasahau ulimpa siku 14 za kumtaka kujiuzulu!GENTAMYCINE niliposema wenye Simba SC yetu sasa tumerudi Kundini na Kazini nilikuwa ninamaanisha. Kudadadeki.
Anti mwezi mchanga una manenoCombination ya maharage na mahindi yaliyokobolewa