- Thread starter
- #261
Lazima uwe na pump maana zinahitaji maji yenye pressure, kama huna pump ni bora uchukue mfumo wa drip irrigation,,Zinafanyeje kazi? Unaweza ukawa na pumpu ya kuvutia maji ikafaa? Msaada please.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima uwe na pump maana zinahitaji maji yenye pressure, kama huna pump ni bora uchukue mfumo wa drip irrigation,,Zinafanyeje kazi? Unaweza ukawa na pumpu ya kuvutia maji ikafaa? Msaada please.
Mkuu kama nilivyosema awali, hizi gharama zinaweza kupungua ukipata huduma karibia na mkoa unapotaka kuchimba, sasa kwa mafinga tutatumia mashine iliyopo morogoro kwa bei ya laki 6 tu.Na Mafinga je?
Inasemekana zipo mashine za namna hiyo ila mimi sijafanikiwa kuiona, kuna baadhi ya surveyors wanapendaga kutoa maneno ya kuridhisha ili apate kazi tu, ila uwezo wa kugundua madini kwenye maji unafanyika maabara baada ya kupata sample ya maji.. Sasa hapo jiongeze.Naomba kuuliza.
Vipimo kabla ya kuchimba vinaweza kuonyesha kwamba maji yatakayotoka yatakuwa mazuri kwa matumizi? Kuna mengine yanatoka na flouride nyingi sana isiyo salama kwa matumizi ya binadamu.
naomba picha ya hizo za 30000 inch 1Mkuu standard sprinkler ni inch 3/4 hadi 1,
3/4 zinaenda 25000/=
1 inch zipo za 30,000/= na za copper ni 65000/=
naomba picha ya hizo za 30000 inch 1
ok hii ndio ya plastic?
Yah , hard plasticok hii ndio ya plasticya
Nimeweka tu mkuu ili uone utofauti wa machoniSijasema ya 65k mkuu
UPDATE YA BEI
Wakuu ngoja niwaambie changamoto ya kuandika bei bidhaa hizi, Sprinklers kwanza zipo za materials mbalimbali, zipo za plastic, brass, metal, metallic, n.k
Pia pamoja na size hizo hizo kuna zingine zinasize moja ila zinaperformance tofauti.
Mfano kuna kampuni ya Rain sprinkler size ya 1.5 inch inacover mzunguko wa 60 meter, wakati kampuni nyingine inacover 50 meter ,hapa bei haiwezi kuwa sawa, kwa mfano huu tu ni bei ya kwanza ni 180k wakati bei ya pili ni 150k.
Sasa kwa uzoefu wangu huwa najua anayetaka kufunga hizi sprinkler huwa anashauliwa na fundi wake anunue size gani na materials gani, then anakuja kupata bei akiwa specific anataka nini, lakini la sivyo kama unataka bei tu inamaana bado ujafika kwenye hatua ya uhitaji wa hii inshuu,, Nafikili nitakuwa nimeeleweka hapa.
karv aveki nyamwingi orturoo Lowkii
Kwa wastani 3/4" 25k
1" 50k
Kwani ujaziona hizo bei au umehamua tu kuleta ligi mkuu,,?ftwatilia uzi vizuri.Weka bei kwa hizo dimension unakwepa nini maneno mengi!
Shukrani kwa kunielewa,Umeeleweka mkuu... sio kujua bei tu ukabishanie kijiweni ...tafuta fundi akupimie ujue unachotaka alafu mcheki jamaa
Walisema watachimba mita ngap? Au ndio mpaka wakute maji?kuna jamaa alinambia kuchimba laki sita kisima cha mkono
Hatari sana!!!....Gharama za upimaji kwa maeneo/mikoa mbalimbali kwa kutumia mashine ya kisasa inayoweza kutambua wingi,aina ya maji( maji chumvi au maji baridi), kina (Mita) na mikondo ya maji iliyopo ni kama ifuatavyo;
1.DSM 600,000
2.Morogoro 800,000.
3.Dodoma 1,000,000,
4.Singida 1,200,000.
5.Mikoa mingine Maelewano,
Mawasiliano 0744572145