Tunachimba visima vya maji popote Tanzania

Tunachimba visima vya maji popote Tanzania

Zinafanyeje kazi? Unaweza ukawa na pumpu ya kuvutia maji ikafaa? Msaada please.
Lazima uwe na pump maana zinahitaji maji yenye pressure, kama huna pump ni bora uchukue mfumo wa drip irrigation,,
 
Na Mafinga je?
Mkuu kama nilivyosema awali, hizi gharama zinaweza kupungua ukipata huduma karibia na mkoa unapotaka kuchimba, sasa kwa mafinga tutatumia mashine iliyopo morogoro kwa bei ya laki 6 tu.
 
Naomba kuuliza.

Vipimo kabla ya kuchimba vinaweza kuonyesha kwamba maji yatakayotoka yatakuwa mazuri kwa matumizi? Kuna mengine yanatoka na flouride nyingi sana isiyo salama kwa matumizi ya binadamu.
 
Naomba kuuliza.

Vipimo kabla ya kuchimba vinaweza kuonyesha kwamba maji yatakayotoka yatakuwa mazuri kwa matumizi? Kuna mengine yanatoka na flouride nyingi sana isiyo salama kwa matumizi ya binadamu.
Inasemekana zipo mashine za namna hiyo ila mimi sijafanikiwa kuiona, kuna baadhi ya surveyors wanapendaga kutoa maneno ya kuridhisha ili apate kazi tu, ila uwezo wa kugundua madini kwenye maji unafanyika maabara baada ya kupata sample ya maji.. Sasa hapo jiongeze.
Pale wizara ya maji wasingeweka water laboratory test kama kungekuwa na mashine ya ubora huo.
 
naomba picha ya hizo za 30000 inch 1
IMG-20220518-WA0001.jpg
 
Umeeleweka mkuu... sio kujua bei tu ukabishanie kijiweni ...tafuta fundi akupimie ujue unachotaka alafu mcheki jamaa
 
UPDATE YA BEI
Wakuu ngoja niwaambie changamoto ya kuandika bei bidhaa hizi, Sprinklers kwanza zipo za materials mbalimbali, zipo za plastic, brass, metal, metallic, n.k
Pia pamoja na size hizo hizo kuna zingine zinasize moja ila zinaperformance tofauti.
Mfano kuna kampuni ya Rain sprinkler size ya 1.5 inch inacover mzunguko wa 60 meter, wakati kampuni nyingine inacover 50 meter ,hapa bei haiwezi kuwa sawa, kwa mfano huu tu ni bei ya kwanza ni 180k wakati bei ya pili ni 150k.
Sasa kwa uzoefu wangu huwa najua anayetaka kufunga hizi sprinkler huwa anashauliwa na fundi wake anunue size gani na materials gani, then anakuja kupata bei akiwa specific anataka nini, lakini la sivyo kama unataka bei tu inamaana bado ujafika kwenye hatua ya uhitaji wa hii inshuu,, Nafikili nitakuwa nimeeleweka hapa.
karv aveki nyamwingi orturoo Lowkii
Kwa wastani 3/4" 25k
1" 50k

Weka bei kwa hizo dimension unakwepa nini maneno mengi!
 
kuna jamaa alinambia kuchimba laki sita kisima cha mkono
 
Gharama za upimaji kwa maeneo/mikoa mbalimbali kwa kutumia mashine ya kisasa inayoweza kutambua wingi,aina ya maji( maji chumvi au maji baridi), kina (Mita) na mikondo ya maji iliyopo ni kama ifuatavyo;
1.DSM 600,000
2.Morogoro 800,000.
3.Dodoma 1,000,000,
4.Singida 1,200,000.
5.Mikoa mingine Maelewano,
Mawasiliano 0744572145
Hatari sana!!!....
 
Back
Top Bottom