Tunachimba visima vya maji popote Tanzania

Ukishatumbukiza sasa inakuaje mbona maelezo hayajitoshelezi?

eleza kiundani mkuu jf haina kiwango cha maneno ya kuandika kama simu za maandishi
Yah ni unatumbukiza kwenye kisima, au bwawa au shimo lenye maji wengine wanatumia hadi migodini kufanya dewatering, unaconnect kwenye socket ya umeme inavuta maji, so unaweza kuvunia maji kutoka kwenye tank la maji taka ukayapeleka maji kwa matumizi ya bustani, n.k
 
Hello
Unayo pump ya solar kwa ajili ya hivi visima vyetu vyenye bomba za nchi nne
 
Ninamaanisha mashine ya aina hii.
Ambapo,Wingi wa maji unaupata kwa kuangalia Density katika asilimia(Kumbuka Density=Mass/Volume).
Pia aina ya maji na kina unaweza kuona mwenyewe taarifa zote zinazoonyeshwa kwenye Screen.Usichimbe kisima kwa kubahatisha PIMA kwanza NASI KWA NJIA ZA KISASA.KARIBUNI.
 

On the way to Bukoba
Asante.
Karibuni tena na tena.
 
Honda gasoline water pump ,tayari kwa kusafirishwa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…