Tunaelekea kufunga ndoa, lakini sina hisia naye tena za kimapenzi

Tunaelekea kufunga ndoa, lakini sina hisia naye tena za kimapenzi

Binadamu tuna asili ya kukinai (kuzoea na kuona kawaida). Hata ukimuacha huyo ukatafuta mwingine mkafunga ndo naye pia utafika wakati utamkinai na kumuona wa kawaida kisaikolojia nadhani hiutwa sensory adaptation.

Nadhani angalia namna gani uondokane na hiyo shida ya kukinai, ila kumbuka ndoa ni zaidi ya sex ingawa huanzia hapo.
 
Habari.
Mimi na mpenzi wangu tumekuwa kwenye mahusiano kwa muda wa miaka mitano kama boyfriend na girlfriend (sio uchumba).

Nikiri kwamba tumekuwa na kutokuelewana kama ilivyo kawaida ya mahusiano lakini tupo vizuri kuhakikisha tatizo lolote linatatuliwa kwa wakati na kuhakikisha mawasiliano hayapotei. Pia tumekuwa na nyakati za furaha.

Tatizo lililopo ni kwamba nimepoteza kabisa hisia za kimapenzi kwa huyu mpenzi wangu ambaye tunategemea kupiga hatua mpya ya mahusiano yetu kuelekea kwenye ndoa.

Nikiwa nae sihisi chochote kabisa, ni kama nipo na mtu ambaye ni jinsia yangu, akinigusa sihisi chochote tena hata kwenye suala zima la sex imefika wakati hadi tutumie lubricants au wakati mwingine tuangalie video za wakubwa to get wet (hii aliipendekeza yeye nilikuwa siangalii kabla ya tatizo). Hili tatizo halikuwa mwanzoni, limetokea miezi kadhaa sasa.

Napata wakati mgumu sana ukizingatia tunaelekea kuwa mwili mmoja. Nimejaribu njia mbalimbali za kutatua hili tatizo ikiwa ni pamoja na kushirikisha wataalamu lakini tatizo bado lipo. Pia nimemshirikisha yeye ila yeye anahisi nitakuwa na tatizo la uke kuwa mkavu, kitu ambacho nina uhakika sina.

Wanajukwaa naombeni ushauri wenu juu ya kutatua tatizo hili.
UPENDO ni kama moto.
Ukiuchochea utawaka tu.
 
Pole bidada, sijui ni kwanini umchoka kipindi kama hiki. Ni bora umuache tu aendelee na maisha yake. Kulikoa kuingia ndoani wakati humpendi.
Ama laah fuata ushauri wa Karucee hapo juu
Nadhani wengi wenu hamko kwenye ndoa ndo maana mnashauri hivyo.

Kuchokana kupo hata kwenye ndoa hiyo ndo asili ya binadamu.

Hata akipata mwingine mwenye hisia naye itafika muda zitaisha tu.
 
Hii ya kukosa hisia kwa mwenza wako ni kawaida kama huwa mnasex mara kwa mara(huwa inatokea mara nyingi kwa wanawake)

Jipeni muda wa kumisiana

Ama kama katika kutoelewana kwenu kuna jambo alikukosea likakuacha na kinyongo nae jaribu kumsamehe kutoka moyoni,mpende kama mwanzo
mkuu kuna muda mambo haya hutokea with no reason, utakuta mwenza anafanya kila kitu ajili yako bt hata hisia nae unakua huna...

kuna wakati wife nilikuaga namuona kama kibwengo bt baada ya kuanza kumshirikisha mungu changamoto hii ilitoweka kabisa
 
shetani yupo mawindoni kuharibu future yenu, kama hukua mtu wa kusali jitahidi kusali changamoto yako itakwisha
Shetani anawawinda nini wakati ameshawapata! Wazinifu shetani awatafute!?

Hapo ni wameshokana tayari.. Ukitaka kuprove cheza game na timu nyingine alafu cheki kama situation ni ile ile jua wewe ndio unatatizo.. na kama ndivyo yaweza ikawa hormone zako azijakaa sawa
 
Habari.

Mimi na mpenzi wangu tumekuwa kwenye mahusiano kwa muda wa miaka mitano kama boyfriend na girlfriend (sio uchumba).

Nikiri kwamba tumekuwa na kutokuelewana kama ilivyo kawaida ya mahusiano lakini tupo vizuri kuhakikisha tatizo lolote linatatuliwa kwa wakati na kuhakikisha mawasiliano hayapotei. Pia tumekuwa na nyakati za furaha.

Tatizo lililopo ni kwamba nimepoteza kabisa hisia za kimapenzi kwa huyu mpenzi wangu ambaye tunategemea kupiga hatua mpya ya mahusiano yetu kuelekea kwenye ndoa.

Nikiwa nae sihisi chochote kabisa, ni kama nipo na mtu ambaye ni jinsia yangu, akinigusa sihisi chochote tena hata kwenye suala zima la sex imefika wakati hadi tutumie lubricants au wakati mwingine tuangalie video za wakubwa to get wet (hii aliipendekeza yeye nilikuwa siangalii kabla ya tatizo). Hili tatizo halikuwa mwanzoni, limetokea miezi kadhaa sasa.

Napata wakati mgumu sana ukizingatia tunaelekea kuwa mwili mmoja. Nimejaribu njia mbalimbali za kutatua hili tatizo ikiwa ni pamoja na kushirikisha wataalamu lakini tatizo bado lipo.

Pia nimemshirikisha yeye ila yeye anahisi nitakuwa na tatizo la uke kuwa mkavu, kitu ambacho nina uhakika sina.

Wanajukwaa naombeni ushauri wenu juu ya kutatua tatizo hili.
Habari yako Bibie,pole
 
There will be such times when you look at your partner and wonder, wawapi huyu?

Then you remember what a loving person they used to be. How they loved you with all of their hearts and it was at such a moment that you decided they would be your partner for life.

The idea of getting married and dedicating your life to one partner can give you cold feet Sheila. It can freak you out and the effects can be physical or psychological or both.

You therefore have to look beyond today, beyond next year and beyond the next five years. Does he have the qualities that will make him a great Dad? You have to put yourself aside and think of the little family that you will create.

Good men are hard to come by. When you find one cling to them with all that you have.

Mengine utasolve tu kwa kubadilisha diet, kuongeza kungumanga kwenye diet etc. Huenda upo affected na mipango ya harusi ndo maana hata kulainika ni issue, huenda ni hormones, huenda Baby wako alikukera sasa badala uongee unabaki nalo moyoni na kumuona hafai.

Do not let go of that man young lady.
Daah shule hizi nimeelewa tu paragrafu ya mwisho na sentensi ya mwisho ni hapo kayumba yangu imetumika.
 
Nafsi ndio dira ya uelekeo wa mwili....kinachoenda kinyume na matakwa ya nafsi kinapoteza maana nzima ya kiutendaji na mapokeo ya mwili.......kama hili tatizo halikuwapo kabla na unampenda.......kaa chini zungumza na nafsi yako kwa utulivu.....baada ya muda utapata jawabu......unaweza ukaendelea kupuuza kwa kuutumia mwili lakini kamwe huwezi kushindana kushindana na utashi wa nafsi yako.......vita hiyo matokeo yake ni mateso ya mwili au sononeko la nafsi...........SEMA NA NAFSI YAKO..........
 
Watu wengi sana hua wanadhani wanaume ndio tunaanza kuwakinai wapenzi wetu. Ukweli ni kwamba, wanawake hua wanaanza kukinai mapema sana!

Mwanamke mpe maximum miaka miwili baada ya hapo ni business as usual lazima mtaanza ku struggle. Na mara nyingi kama mwanamke umeshamuoa au unaishi nae, hapo ndio visingizio vya kichwa kuuma, mgongo, stress, periods ku extend kwa wiki mbili nk.

Kwa kifupi mleta mada ameshamchoka jamaa. Mi nashauri kama ana mchepuko amuache huyo mchumba ahamie kwa mchepuko ndio uwe main road.
Sio kweli Mkuu.

It's the exact opposite.

Sisi wanawake fight for our marriages long after you guys have given us enough reasons not to.

Why? Because by then we are mother's already and we focus more on our kids.

Sasa kero zenu ndo zinatufanyaga tuna lose attraction kwenu and some women end up denying you sex. Kiukweli kwetu sisi wanawake sex ni kitendo emotional. Huwezi nitibua afu unipande pande tu ovyo nitakuwa nimehisi umenidharau.
 
Binadamu tuna asili ya kukinai (kuzoea na kuona kawaida). Hata ukimuacha huyo ukatafuta mwingine mkafunga ndo naye pia utafika wakati utamkinai na kumuona wa kawaida kisaikolojia nadhani hiutwa sensory adaptation.

Nadhani angalia namna gani uondokane na hiyo shida ya kukinai, ila kumbuka ndoa ni zaidi ya sex ingawa huanzia hapo.
Ndio maana mara nyingi tunashauriwa tufunge ndoa mapema ili by the time tunaanza kukinaiana tuwe tayari tuna pingu hakuna pa kukimbilia!
 
Damn!!!! five fuc...in years + full time sex n stuff!! Hapo ni kama tayari mlikuwa unofficial mume na mke...

Kama una nia ya kuoa au kuolewa na mtu, muda wa mahusiano usizidi miaka 2, ikizidi sana tena sana iwe miaka 3...
 
Sasa kero zenu ndo zinatufanyaga tuna lose attraction kwenu and some women end up denying you sex. Kiukweli kwetu sisi wanawake sex ni kitendo emotional. Huwezi nitibua afu unipande pande tu ovyo nitakuwa nimehisi umenidharau.

Sasa kwani sie ni malaika jamani tusiwakere? Mbona nyie mnatukera kwa mengi na bado tunasimamisha vizuri tu? Nyie wanawake bana mnakuaga excited mwanzoni tu, after sometime (especially mkishaolewa) mnahamisha mawazo kabisa
 
Back
Top Bottom