Chupayamaji
JF-Expert Member
- Sep 19, 2017
- 5,784
- 13,642
Ni mkoa chetu kileMkuu kwan Bujumbura ipo Tanzania ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mkoa chetu kileMkuu kwan Bujumbura ipo Tanzania ?
Sisi wengine tumeruhusiwa wanne lakini bado mmoja tulienae eti hataki tuwasitiri na wengine wanaoranda randa mitaani! Wanawake hampendani!!Kuna upungufu wa jinsia me duniani
..wengine wamehamia upande wetu,wengine wapo magerezani,wengine Ni maparoko,na wengine wameshaoa ndoa ya mke mmoja....hizo ndi Sababu kubwa
Yaani wangeruhusu tu maana UN report on demographics ya first quarter 2021 ulikuwa hivi 7.8bill people on planet,wanawake waliokuwa 5.6billion wanaume 2.2bill,na hapo ndio Kuna wanaume wamefungwa,Kuna mashoga,Kuna maparoko,kunawagonjwa wa akili,Kuna waliooa tayari!Sasa hapo itakuwaje mtuuoe tu hata watano watano😂hao wake zenu ongeeni nao kwa herufi kubwa Kama hawataki piga talakaSisi wengine tumeruhusiwa wanne lakini bado mmoja tulienae eti hataki tuwasitiri na wengine wanaoranda randa mitaani! Wanawake hampendani!!
Dini yetu imeruhusu. Lakini pia ukimpa talaka na kumtoa aliyepo ndani bado hujamsaidia kwa maana na yeye atarudi mtaani, hivyo ukichukua wengine mtaani yeye umemrudisha mtaani.Yaani wangeruhusu tu maana UN report on demographics ya first quarter 2021 ulikuwa hivi 7.8bill people on planet,wanawake waliokuwa 5.6billion wanaume 2.2bill,na hapo ndio Kuna wanaume wamefungwa,Kuna mashoga,Kuna maparoko,kunawagonjwa wa akili,Kuna waliooa tayari!Sasa hapo itakuwaje mtuuoe tu hata watano watano[emoji23]hao wake zenu ongeeni nao kwa herufi kubwa Kama hawataki piga talaka
Mbona wewe unashika maagizo ya iman na Wenyewe wanapingana na maagizo ya iman?Kama hawataki wake kwenye Iman yetu ndio wajinafasi....wakumbusheni mfano wa Dr mwaka na wakezeDini yetu imeruhusu. Lakini pia ukimpa talaka na kumtoa aliyepo ndani bado hujamsaidia kwa maana na yeye atarudi mtaani, hivyo ukichukua wengine mtaani yeye umemrudisha mtaani.
Ushauri wako mzuri, tutaendelea kuwanasihi!! [emoji120][emoji120][emoji120]
Mlishindwaje kuzitumia hizo fursa? Walikuwa wanawapa ujumbe kuwa mpo mpo tu mpaka mnawalazimisha kujisaidia wao kwa wao.Mimi nikiwa mwanaume pekee ninayecheza ukumbini huku wengine wakiwa hawana kampani wamejikalia vitini Tu.
Shida inakuja ndoa ni Sunna, lakini pia wake zetu wanatusema vibaya, wanasema kama ni Sunna zipo nyingi kwanini tusifate na hizo nyingine na tunang'ang'ania hii ya kuoa! Kwa kweli tuna mitihani!! Ushauri wako mzuri. Ahsante[emoji120][emoji120][emoji120]Mbona wewe unashika maagizo ya iman na Wenyewe wanapingana na maagizo ya iman?Kama hawataki wake kwenye Iman yetu ndio wajinafasi....wakumbusheni mfano wa Dr mwaka na wakeze
Ngoja tuongee na aliyetuumba kwanza tusije tukafurahishana hapa duniani halafu mwisho wa siku tukalia na kusaga meno huko kusikoonekana!Yaani wangeruhusu tu maana UN report on demographics ya first quarter 2021 ulikuwa hivi 7.8bill people on planet,wanawake waliokuwa 5.6billion wanaume 2.2bill,na hapo ndio Kuna wanaume wamefungwa,Kuna mashoga,Kuna maparoko,kunawagonjwa wa akili,Kuna waliooa tayari!Sasa hapo itakuwaje mtuuoe tu hata watano watano[emoji23]hao wake zenu ongeeni nao kwa herufi kubwa Kama hawataki piga talaka
Tupia picha mwambaNendeni facebook mkamuone lee tarish na mwenzie hamisa ramadhani😂😂😂
hahahahaha, okay 1 sin offKuna upungufu wa jinsia me duniani
..wengine wamehamia upande wetu,wengine wapo magerezani,wengine Ni maparoko,na wengine wameshaoa ndoa ya mke mmoja....hizo ndi Sababu kubwa
Oooouch...Umempiga na kitu kizito kichwani.Nchi gani umetokea halafu ukaenda club buguruni.Ukute ulikuwa hapo bujumbura ndo unasema ulikuwa nje ya nchi.
Nawe Lezb? Ulifuata nn ukumbini?Dunia inaenda Kasi sana.
Baada ya kurudi nchini, Leo nimebahatika kuja hapa Lekam Club iliyopo Maeneo ya Buguruni.
Nilichojionea ni masikitiko sana Kwa maendeleo ya taifa hili na ulimwengu Kwa ujumla...
Sio kweli wanawake wengi wanataka mwanaume mwenye hela sasa vijana wengi wanapambana na maisha hela ya kula ulipe kodi uwasaidie wazazi hvyo hela ya kuwa hata ya kutoka na demu weekend ataitoa wapi ndo maana tumeamua kukaa kando kuwaachia wazee ambao washajiweka sawa kiuchumi.Kuna upungufu wa jinsia me duniani
..wengine wamehamia upande wetu,wengine wapo magerezani,wengine Ni maparoko,na wengine wameshaoa ndoa ya mke mmoja....hizo ndi Sababu kubwa
unapenda mgegedo weye....kweli apataye mbususu yako anaenjoyWanachoshana tu,bila mkuyenge kusugua huko ni kujitesa tu
Sio kweli..Sio kweli wanawake wengi wanataka mwanaume mwenye hela sasa vijana wengi wanapambana na maisha hela ya kula ulipe kodi uwasaidie wazazi hvyo hela ya kuwa hata ya kutoka na demu weekend ataitoa wapi ndo maana tumeamua kukaa kando kuwaachia wazee ambao washajiweka sawa kiuchumi.
NB: Wanaume tupo ila hatuna hela na hatuijui kesho yetu.
Inashangaza kidogo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nchi gani umetokea halafu ukaenda club buguruni.Ukute ulikuwa hapo bujumbura ndo unasema ulikuwa nje ya nchi.
[emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji115]Mlishindwaje kuzitumia hizo fursa? Walikuwa wanawapa ujumbe kuwa mpo mpo tu mpaka mnawalazimisha kujisaidia wao kwa wao.
Siku nyingine semesha hata mmoja uwe naye. Utakuwa umeutendea haku uanaume wako na utapunguza hilo tatizo uliloliona.
Tatizo hauelewi, msagaji hahisi kuwa na mwanaume, hataki na hapendi.SI bora wasagaji wanazaa ....ishu mbaya NI ushoga ambao unanyonya mpaka nguvu za kiume