Tunaelewa kwanini Mwigulu ana hasira na Magufuli hadi leo, na hadi sasa anatoa kauli hasi dhidi yake, na kumwaga maua kwa wingi!

Tunaelewa kwanini Mwigulu ana hasira na Magufuli hadi leo, na hadi sasa anatoa kauli hasi dhidi yake, na kumwaga maua kwa wingi!

Tuongee peupe leo, uwazi na ukweli. Mtu yeyote makini atagundua kwamba karibu kila kauli anazotoa Mwigulu zinalenga kutaka kuonyesha Raisi Samia ni bora sana kuliko alivyokuwa Raisi Magufuli. Tunakiri kwamba kuna baadhi ya mambo Raisi Samia ni bora kuliko alivyokuwa Raisi Magufuli, lakini tuseme kweli, kuna mambo mengi tu Raisi Samia anafanya vibaya kuliko alivyofanya Raisi Magufuli. Lakini hiyo sio topic ya thread hii.

Nataka niwape vitu viwili vikubwa ambavyo vinamfanya Mwigulu hadi leo hii awe na maneno hasi sana kwa Magufuli, (including negative connotations against Magufuli) na kuwa na sifa nyingi sana kwa Raisi Samia. Kwanza ni kwamba Magufuli alimwona Mwiguli kama mshindani wake mkubwa ndani ya CCM, na siku zote Magufuli alitaka kuwaweka kando washindani wake. Magufuli alimwonyesha wazi Mwigulu kwamba hawakuwa marafiki, bali fahari wawili katika zizi moja. Magufuli hakutaka kabisa Mwigulu apate mwanya wa kuonekana ni kiongozi maarufu - ku shine.

Jambo la pili lililofanya labda niseme Magufuli amchukie Mwigulu, ni siku ya tukio la jaribio la kumuua Tundu Lissu. Mara tu baada ya tukio Magufuli alimpigia simu Mwigulu, kama waziri wa mambo ya ndani, atoe tamko kwamba serikali haihusiki na jaribio lile. Mwigulu akasita. Na mbaya zaidi, Mwigulu akaomba ushauri kwa vigogo fulani wa CCM (sintawataja) na wakamshauri asitoe hilo tamko. Hili lilimfanya Magufuli akasirike na amwone Mwigulu ana kiburi, hamheshimu, na hata anadiriki kutotii amri yake kama raisi. Magufuli akawachukia na wale waliomshauri Mwigulu asitoe tamko juu ya jaribio dhidi ya Lissu.

Kwa mnaokumbuka, Magufuli alisema katika moja ya hotuba zake kuna mawaziri wanadiriki kutotii maelekezo yake. Alikuwa akimsema Mwigulu. Na nakumbuka kuna wakati Magufuli alimwondoa kabisa Mwigulu katika Baraza la Mawaziri, kitu ambacho aliona kama kudhalilishwa (naambiwa alinyang'anywa gari ya uwaziri akiwa safarini, sijui kama ni kweli)

Basi kuanzia hapo Mwigulu alikuwa hana raha chini ya uongozi wa Magufuli. Alikuwa ignored, alipuuzwa mara zote, na Magufuli alimfanya Mwigulu awepo bila kuwapo, japo baadae alirudishiwa uwaziri, na inaonekana kwa shingo upande.

Kwa hiyo Magufuli alipokufa, kwa Mwigulu, lahaula! Sintasema mengi zaidi ya kusema heshima ya Mwigulu imerudishwa na Raisi Samia. Ndio maana kila Raisi Samia analotamka au kufanya, Mwigulu atasema tumpe maua yake!!!! Yaani kwa Raisi Samia Mwigulu amezama kweli kweli, line, hook and sinker. Humwambii kitu.

Lakini sasa anapita kiasi. Lazima tumwambie Mwiguli inatosha, awe na kiasi kwa kauli hasi dhidi ya Raisi Magufuli, na kiasi katika kumpa raisi Samia maua kwa kila tamko na tendo katika wajibu wake wa kuwa Raisi wa Tanzania. Raisi Samia anafanya tu kile kilicho wajibu wake, hahitaji mapambio ya Mwigulu kwa kila kitu. It is just too embarrassing kwa watu wenye akili kuona Mwigulu anavyofanya. Undignified kwa waziri mwenye wizara nyeti kama yake.

Nipeni maua yangu kwa kuliweka hili wazi!
Ushauri wa Bure Kwa walinda Ligacy,badala ya kuhangaika na Mwigulu wajikite zaidi kwenye hoja zake za takwimu Ili wafanye ulinganisho na waseme amedanganya au hapana maana kajenga hoja ambae anabisha ajitokeze kwa hoja pia.

Samia ni next level ila sio mtu wa Majigambo
 
Tuongee peupe leo, uwazi na ukweli. Mtu yeyote makini atagundua kwamba karibu kila kauli anazotoa Mwigulu zinalenga kutaka kuonyesha Raisi Samia ni bora sana kuliko alivyokuwa Raisi Magufuli. Tunakiri kwamba kuna baadhi ya mambo Raisi Samia ni bora kuliko alivyokuwa Raisi Magufuli, lakini tuseme kweli, kuna mambo mengi tu Raisi Samia anafanya vibaya kuliko alivyofanya Raisi Magufuli. Lakini hiyo sio topic ya thread hii.

Nataka niwape vitu viwili vikubwa ambavyo vinamfanya Mwigulu hadi leo hii awe na maneno hasi sana kwa Magufuli, (including negative connotations against Magufuli) na kuwa na sifa nyingi sana kwa Raisi Samia. Kwanza ni kwamba Magufuli alimwona Mwiguli kama mshindani wake mkubwa ndani ya CCM, na siku zote Magufuli alitaka kuwaweka kando washindani wake. Magufuli alimwonyesha wazi Mwigulu kwamba hawakuwa marafiki, bali fahari wawili katika zizi moja. Magufuli hakutaka kabisa Mwigulu apate mwanya wa kuonekana ni kiongozi maarufu - ku shine.

Jambo la pili lililofanya labda niseme Magufuli amchukie Mwigulu, ni siku ya tukio la jaribio la kumuua Tundu Lissu. Mara tu baada ya tukio Magufuli alimpigia simu Mwigulu, kama waziri wa mambo ya ndani, atoe tamko kwamba serikali haihusiki na jaribio lile. Mwigulu akasita. Na mbaya zaidi, Mwigulu akaomba ushauri kwa vigogo fulani wa CCM (sintawataja) na wakamshauri asitoe hilo tamko. Hili lilimfanya Magufuli akasirike na amwone Mwigulu ana kiburi, hamheshimu, na hata anadiriki kutotii amri yake kama raisi. Magufuli akawachukia na wale waliomshauri Mwigulu asitoe tamko juu ya jaribio dhidi ya Lissu.

Kwa mnaokumbuka, Magufuli alisema katika moja ya hotuba zake kuna mawaziri wanadiriki kutotii maelekezo yake. Alikuwa akimsema Mwigulu. Na nakumbuka kuna wakati Magufuli alimwondoa kabisa Mwigulu katika Baraza la Mawaziri, kitu ambacho aliona kama kudhalilishwa (naambiwa alinyang'anywa gari ya uwaziri akiwa safarini, sijui kama ni kweli)

Basi kuanzia hapo Mwigulu alikuwa hana raha chini ya uongozi wa Magufuli. Alikuwa ignored, alipuuzwa mara zote, na Magufuli alimfanya Mwigulu awepo bila kuwapo, japo baadae alirudishiwa uwaziri, na inaonekana kwa shingo upande.

Kwa hiyo Magufuli alipokufa, kwa Mwigulu, lahaula! Sintasema mengi zaidi ya kusema heshima ya Mwigulu imerudishwa na Raisi Samia. Ndio maana kila Raisi Samia analotamka au kufanya, Mwigulu atasema tumpe maua yake!!!! Yaani kwa Raisi Samia Mwigulu amezama kweli kweli, line, hook and sinker. Humwambii kitu.

Lakini sasa anapita kiasi. Lazima tumwambie Mwiguli inatosha, awe na kiasi kwa kauli hasi dhidi ya Raisi Magufuli, na kiasi katika kumpa raisi Samia maua kwa kila tamko na tendo katika wajibu wake wa kuwa Raisi wa Tanzania. Raisi Samia anafanya tu kile kilicho wajibu wake, hahitaji mapambio ya Mwigulu kwa kila kitu. It is just too embarrassing kwa watu wenye akili kuona Mwigulu anavyofanya. Undignified kwa waziri mwenye wizara nyeti kama yake.

Nipeni maua yangu kwa kuliweka hili wazi!
Hujaeleza sahihi. Chuki ya ng'wigulu ni kwamba anautaka urais na magufuli alimpiga chini kwa mbali. Kuutaka urais sio kosa ila unautaka kwa ajili gani. Ng'wigulu anautaka urais kwa sababu za ubinafsi. Kujitajirisha na kuweka himaya ya familia yake. Magufuli aliutaka urais kwa maslahi ya umma. Tangu ngwigulu awe waziri amemshauri mama kukopa ovyoovyo mikopo hadi kujenga matundu ya choo. Tunaojua tunajua ukikopa ovyo wakopeshaji wanakulipa. Si benki ya dunia wala imf wao ni vyombo vya kibiashara tu na kuchochea sera za kufaidisha nchi za maghsribi. Kuhusu ubinafsi wa ng'wigulu ona anavyompromote mwanae kwenye siasa za vidudu. Tuliona kila akikopa mabasi ya ester ya familia yake yanaongezeka. Kwa hiyo lao na wabinafsi wenzake kina januari ni moja wako kwenye mission ya kumshusha jpm kuonesha hakua rais mzuri maana wanataka kiongozi mbinafsi kama sio wao basi japo abakie samia mbinagsi aliyewaruhusu wale kwa urefu wa kamba zao za malisho.
 
Tuongee peupe leo, uwazi na ukweli. Mtu yeyote makini atagundua kwamba karibu kila kauli anazotoa Mwigulu zinalenga kutaka kuonyesha Raisi Samia ni bora sana kuliko alivyokuwa Raisi Magufuli. Tunakiri kwamba kuna baadhi ya mambo Raisi Samia ni bora kuliko alivyokuwa Raisi Magufuli, lakini tuseme kweli, kuna mambo mengi tu Raisi Samia anafanya vibaya kuliko alivyofanya Raisi Magufuli. Lakini hiyo sio topic ya thread hii.

Nataka niwape vitu viwili vikubwa ambavyo vinamfanya Mwigulu hadi leo hii awe na maneno hasi sana kwa Magufuli, (including negative connotations against Magufuli) na kuwa na sifa nyingi sana kwa Raisi Samia. Kwanza ni kwamba Magufuli alimwona Mwiguli kama mshindani wake mkubwa ndani ya CCM, na siku zote Magufuli alitaka kuwaweka kando washindani wake. Magufuli alimwonyesha wazi Mwigulu kwamba hawakuwa marafiki, bali fahari wawili katika zizi moja. Magufuli hakutaka kabisa Mwigulu apate mwanya wa kuonekana ni kiongozi maarufu - ku shine.

Jambo la pili lililofanya labda niseme Magufuli amchukie Mwigulu, ni siku ya tukio la jaribio la kumuua Tundu Lissu. Mara tu baada ya tukio Magufuli alimpigia simu Mwigulu, kama waziri wa mambo ya ndani, atoe tamko kwamba serikali haihusiki na jaribio lile. Mwigulu akasita. Na mbaya zaidi, Mwigulu akaomba ushauri kwa vigogo fulani wa CCM (sintawataja) na wakamshauri asitoe hilo tamko. Hili lilimfanya Magufuli akasirike na amwone Mwigulu ana kiburi, hamheshimu, na hata anadiriki kutotii amri yake kama raisi. Magufuli akawachukia na wale waliomshauri Mwigulu asitoe tamko juu ya jaribio dhidi ya Lissu.

Kwa mnaokumbuka, Magufuli alisema katika moja ya hotuba zake kuna mawaziri wanadiriki kutotii maelekezo yake. Alikuwa akimsema Mwigulu. Na nakumbuka kuna wakati Magufuli alimwondoa kabisa Mwigulu katika Baraza la Mawaziri, kitu ambacho aliona kama kudhalilishwa (naambiwa alinyang'anywa gari ya uwaziri akiwa safarini, sijui kama ni kweli)

Basi kuanzia hapo Mwigulu alikuwa hana raha chini ya uongozi wa Magufuli. Alikuwa ignored, alipuuzwa mara zote, na Magufuli alimfanya Mwigulu awepo bila kuwapo, japo baadae alirudishiwa uwaziri, na inaonekana kwa shingo upande.

Kwa hiyo Magufuli alipokufa, kwa Mwigulu, lahaula! Sintasema mengi zaidi ya kusema heshima ya Mwigulu imerudishwa na Raisi Samia. Ndio maana kila Raisi Samia analotamka au kufanya, Mwigulu atasema tumpe maua yake!!!! Yaani kwa Raisi Samia Mwigulu amezama kweli kweli, line, hook and sinker. Humwambii kitu.

Lakini sasa anapita kiasi. Lazima tumwambie Mwiguli inatosha, awe na kiasi kwa kauli hasi dhidi ya Raisi Magufuli, na kiasi katika kumpa raisi Samia maua kwa kila tamko na tendo katika wajibu wake wa kuwa Raisi wa Tanzania. Raisi Samia anafanya tu kile kilicho wajibu wake, hahitaji mapambio ya Mwigulu kwa kila kitu. It is just too embarrassing kwa watu wenye akili kuona Mwigulu anavyofanya. Undignified kwa waziri mwenye wizara nyeti kama yake.

Nipeni maua yangu kwa kuliweka hili wazi!
Matapeli siku zote hayapendi watu makini waliobana mirija Yao ya unyonyaji. Ulitegemea amsifu Magufuli kwa namna anavyopiga pesa hivyo? Haya mengine umeandika hadithi tu lakini ukweli ni kwamba Jamaa ni tapeli na fisadi hivyo lazima amsifu yule kamuweka hapo. Hata akimbeza Magufuli leo kitu Nina uhakika nacho ni kwamba tapeli huyu atakufa na ataacha kila kitu alichowaibia Watanzania
 
Angalia bwana, anaweza kuja kuwa raisi wako ajae. Katika siasa hakuna mtu anafanya kitu bila kuwa na malengo. Nyimbo za mpeni maua yake haziimbwi bure!
Hili linajulikana alishawahi kuwa rais wa Mawe sasa anataka akakalie magogoni.

Mwigulu namfahamu nje ndani ni hatari kwa uhai wa watu hasa akiwa anataka kufanikisha jambi lake.
Najiulizaga huu ujasiri wa kumtaja Mungu huwa anautoa wapi?
 
Tuongee peupe leo, uwazi na ukweli. Mtu yeyote makini atagundua kwamba karibu kila kauli anazotoa Mwigulu zinalenga kutaka kuonyesha Raisi Samia ni bora sana kuliko alivyokuwa Raisi Magufuli. Tunakiri kwamba kuna baadhi ya mambo Raisi Samia ni bora kuliko alivyokuwa Raisi Magufuli, lakini tuseme kweli, kuna mambo mengi tu Raisi Samia anafanya vibaya kuliko alivyofanya Raisi Magufuli. Lakini hiyo sio topic ya thread hii.

Nataka niwape vitu viwili vikubwa ambavyo vinamfanya Mwigulu hadi leo hii awe na maneno hasi sana kwa Magufuli, (including negative connotations against Magufuli) na kuwa na sifa nyingi sana kwa Raisi Samia. Kwanza ni kwamba Magufuli alimwona Mwiguli kama mshindani wake mkubwa ndani ya CCM, na siku zote Magufuli alitaka kuwaweka kando washindani wake. Magufuli alimwonyesha wazi Mwigulu kwamba hawakuwa marafiki, bali fahari wawili katika zizi moja. Magufuli hakutaka kabisa Mwigulu apate mwanya wa kuonekana ni kiongozi maarufu - ku shine.

Jambo la pili lililofanya labda niseme Magufuli amchukie Mwigulu, ni siku ya tukio la jaribio la kumuua Tundu Lissu. Mara tu baada ya tukio Magufuli alimpigia simu Mwigulu, kama waziri wa mambo ya ndani, atoe tamko kwamba serikali haihusiki na jaribio lile. Mwigulu akasita. Na mbaya zaidi, Mwigulu akaomba ushauri kwa vigogo fulani wa CCM (sintawataja) na wakamshauri asitoe hilo tamko. Hili lilimfanya Magufuli akasirike na amwone Mwigulu ana kiburi, hamheshimu, na hata anadiriki kutotii amri yake kama raisi. Magufuli akawachukia na wale waliomshauri Mwigulu asitoe tamko juu ya jaribio dhidi ya Lissu.

Kwa mnaokumbuka, Magufuli alisema katika moja ya hotuba zake kuna mawaziri wanadiriki kutotii maelekezo yake. Alikuwa akimsema Mwigulu. Na nakumbuka kuna wakati Magufuli alimwondoa kabisa Mwigulu katika Baraza la Mawaziri, kitu ambacho aliona kama kudhalilishwa (naambiwa alinyang'anywa gari ya uwaziri akiwa safarini, sijui kama ni kweli)

Basi kuanzia hapo Mwigulu alikuwa hana raha chini ya uongozi wa Magufuli. Alikuwa ignored, alipuuzwa mara zote, na Magufuli alimfanya Mwigulu awepo bila kuwapo, japo baadae alirudishiwa uwaziri, na inaonekana kwa shingo upande.

Kwa hiyo Magufuli alipokufa, kwa Mwigulu, lahaula! Sintasema mengi zaidi ya kusema heshima ya Mwigulu imerudishwa na Raisi Samia. Ndio maana kila Raisi Samia analotamka au kufanya, Mwigulu atasema tumpe maua yake!!!! Yaani kwa Raisi Samia Mwigulu amezama kweli kweli, line, hook and sinker. Humwambii kitu.

Lakini sasa anapita kiasi. Lazima tumwambie Mwiguli inatosha, awe na kiasi kwa kauli hasi dhidi ya Raisi Magufuli, na kiasi katika kumpa raisi Samia maua kwa kila tamko na tendo katika wajibu wake wa kuwa Raisi wa Tanzania. Raisi Samia anafanya tu kile kilicho wajibu wake, hahitaji mapambio ya Mwigulu kwa kila kitu. It is just too embarrassing kwa watu wenye akili kuona Mwigulu anavyofanya. Undignified kwa waziri mwenye wizara nyeti kama yake.

Nipeni maua yangu kwa kuliweka hili wazi!
akumbuke samia haungi mkono hoja za kijinga za kumtukana au kumlaumu magufuli
 
Umeongea mengi ila Magufuli hakupenda kufanya kazi na wanasiasa..mtu ambaye kila akikaa anawaza namna ya kuwa rais badala ya kutimiza majukumu..mtu ambaye anawaza anapigaje hela za serikali ili zimsaidie kuwapa watu wa kumuandika kwenye mawe na madaraja nchi nzima wakati wa uchaguzi.
Kina Mwigulu ni underperformers na Magu aliliona hilo..hawakuweza spidi ya Magu..kwa sasa anachofanya ni kumpaka huyu mafuta kwa mgongo wa chupa..anajua anapiga vya kutisha na mama yupo yupo tu..ukiona sifa za ovyo ovyo ujue upigaji ni mkubwa.
 
Tatizo la wafuasi wa mwendazake hamtaki kuambiwa au kusikia ukweli. Yule mwamba hakuwa mtu kabisa. Tukiongea humu tunaonekana sio wazalendo. Kati ya wewe mleta mada na Mwigulu ambae alikuwa ni waziri wake ni nani anamjua Magu vizuri? Acha upumbavu uwe huru
 
Na wewe inatosha sasa ku invent mambo Ili uonekane unajua.
Unajua maana ya invention, tuanzie hapo. Nenda kamuulize Mwigulu kama kuna invention hapo. Anzia na kumuuliza kama kama aliwahi kutolewa baraza la mawaziri na Magufuli!
 
Tatizo la wafuasi wa mwendazake hamtaki kuambiwa au kusikia ukweli. Yule mwamba hakuwa mtu kabisa. Tukiongea humu tunaonekana sio wazalendo. Kati ya wewe mleta mada na Mwigulu ambae alikuwa ni waziri wake ni nani anamjua Magu vizuri? Acha upumbavu uwe huru
Hovyo kweli ulitaka Magufuli ampe Mwigulu wadhifa gani kuwaridhisha wenye chama chao huko CCM.

Elewa Mwigulu sio wa mzaha-mzaha au mtu wa kuunga unga-unga kama hakina mwana FA.

Mwigulu ni mtoto wa CCM allelewa kushika madaraka makubwa siku moja (better still mwalimu wake wa siasa ndio mshauri wa raisi wa siasa leo na ndio wenye chama chao ukisikia).

Future ya Mwigulu hata raisi angekuwa nani mradi ni mtoto wa CCM walisha mtengeneza kushika madaraka kwa succession planning yao ndani ya CCM. Shida yake ni baada ya kufika juu amekuwa mtu hovyo.

Ndio maana hata Magufuli alimpa madaraka makubwa kwa kuelewa mpango wa CCM juu yake, waziri wa mambo ya ndani sio mtu mdogo,

Ukitoa waziri mkuu na makamu kwa kipindi hiki. Vinginevyo ni waziri wa mambo ya ndani pekee ndio mwenye escort huyo sio mtu mdogo kabisa.

Shida ilikuwa Mwigulu mwenyewe sasa alipopewa mambo ya ndani na Magufuli, kutwa yupo kwenye ndondo cup; hizo ndio sababu za Magufuli kumtumbua na kuona to hell na plan za watoto wa CCM..

Shida yenu amuelewi how CCM works.
 
rais samia ni bora kiliko ibilisi mwendazake.

over
Nakubali. Pamoja na uzuri woooote wa Magufuli, huwezi kuwa na kiongozi mbovu zaidi yake ikiwa kiongozi huyo hawanyimi watu haki ya kuishi.

Tuseme ukweli, Magufuli aliona ni halali kuwaondoa watu kwa maslahi ya taifa, na alitamka hayo waziwazi. Sasa hata uwe mzalendo kiasi gani, hilo linakuweka doa ambalo ndilo watu wataona siku zote. Wale wanaomsifia Magufuli lazima wafikirie wale walioptozewa ndugu zao. Unawezaje kuwashawishi ndugu ya Bensaanane kwamba Magufuli alikuwa kiongozi mzuri kwa sababu alizuia ufisadi, alijenga flyovers? Atakuelewa? Unawezaje kumshawishi huyo ndugu ya Bensaanane kwamba Raisi Magufuli ni bora zaidi ya Samia kwa sababu Raisi Samia kosa lake ni kuruhusu mawaziri na viongozi kufanya ufisadi, japo anataka haki sawa kwa Watanzania na hapotezei watu?
 
-Viwanja vya 15 vinaendelea na ujenzi ujenzi
-Zaidi ya km 3700 za lami zinaendelea na Ujenzi
-Zaidi ya Vyuo Vikuu vipya 14 vinaendelea na ujenzi.
-Bandari Mpya kubwa 7 zinaendelea na Ujenzi eg kilwa,Mbamba Bay,Dar Port,Bukoba nk
-Zaidi ya shule Mpya 2700.zimejengwa na nyingine zinaendelea na Ujenzi
-Zaidi ya Vituo vya Afya 450, hospital 117 vimejengwa na vinafanya kazi n
-Ujenzi wa hospital za Rufaa Kigoma,Shinyanga,Nansio nk zinaendelea na Ujenzi
-Maelfu ya Ajira daily
-Utalii ni rekodi Juu ya rekodi
-Madini ni rekodi Juu ya rekodi
-Mapinduzi ya Kilimo,zaidi ya hectare 300 za Kilimo Cha Umwagiliaji zinaendelea na Ujenzi,hakuna njaa tena
-Zaidi ya miradi 1700 ya maji imetekelezwa na mingine inaendelea na utekelezwaji eg mradi wa Miji 28,bwawa la kidunda nk
-Amegawa viximba na Boti za Kisiasa Kwa wavuvi zaidi ya 20,000
-Hapo sijagusa majengo ya Serikali Wala miradi ya Mwendazake

Niongeze nyama?👇👇View attachment 2959336View attachment 2959338

My Take:Nawashauri walinda Ligacy, Badala ya kuhangaika na Mwigulu jikiteni kwenye takwimu
We hauko sawa, miradi ya ujenzi hata asingekuwa yeye raisi ingefanyika tu. Miradi mingi anamalizia ya mAgufuli na bila aibu kuna vichwa panzi wanamshukuru yeye. Hata ungekuwa wewe rais ungejenga barabara.
 
We hauko sawa, miradi ya ujenzi hata asingekuwa yeye raisi ingefanyika tu. Miradi mingi anamalizia ya mAgufuli na bila aibu kuna vichwa panzi wanamshukuru yeye. Hata ungekuwa wewe rais ungejenga barabara.
Pole sana Bado hujasema Hadi useme 🤣 🤣

Sijaweka mradi hata mmja wa kumaliza ,yote ni miradi mipya.Ya kumalizia haipo hapo na sijamaliza yaani.

Mwisho kwani huyo mwingine mnamsifia Kwa lipi zaidi ya mamiradi ya hasara?
 
Uongozi wa Magufuli ulikua ni ungizi bora na wenye tumaini, kama taifa ilipasa tujutie uke uongozi kuishia njiani.

Uongozi ule ukitiwa doa kwa kiasi fulani na tukio lile la lisu kupigwa risasi,lakini hakuna njia nyoofu moja kwa moja isio na kona mteremko wala mlima
Hakuna uongozi bora duniani unao justify kuwapotezea watu kwa sababu tu wanapingana na kauli zako. Hili kwa Magufuli halikuwa doa, lilimuondolea sifa zote za kuwa kiongozi.
 
Yule jamaa alitaka kuwa raisi wakati alishindwa kutaja maana ya TRAB na TRAT yaani akiongea dakika mbili humsikilizi kwasababu anaongea pumba tu.
 
Kwani ni uongo kwamba Samia ni Bora kuliko magufuli? Magufuli alikuwa anaongoza kw amibemko tu as if nchi ni Mali yake binafsi. Ona rufiji wanavyoathirika na maamuzi yake ya kiwendawazimu. Aliambiwa swala la mazingira akawaona wote hawana akili kabisa. Lile lilikuwa lishamba na lijinga. Sema ccm hawatarudia kosa kama lile tena
Mkuu jitahidi sana kwenye matumizi ya ubongo wako.
 
Tuongee peupe leo, uwazi na ukweli. Mtu yeyote makini atagundua kwamba karibu kila kauli anazotoa Mwigulu zinalenga kutaka kuonyesha Raisi Samia ni bora sana kuliko alivyokuwa Raisi Magufuli. Tunakiri kwamba kuna baadhi ya mambo Raisi Samia ni bora kuliko alivyokuwa Raisi Magufuli, lakini tuseme kweli, kuna mambo mengi tu Raisi Samia anafanya vibaya kuliko alivyofanya Raisi Magufuli. Lakini hiyo sio topic ya thread hii.

Nataka niwape vitu viwili vikubwa ambavyo vinamfanya Mwigulu hadi leo hii awe na maneno hasi sana kwa Magufuli, (including negative connotations against Magufuli) na kuwa na sifa nyingi sana kwa Raisi Samia. Kwanza ni kwamba Magufuli alimwona Mwiguli kama mshindani wake mkubwa ndani ya CCM, na siku zote Magufuli alitaka kuwaweka kando washindani wake. Magufuli alimwonyesha wazi Mwigulu kwamba hawakuwa marafiki, bali fahari wawili katika zizi moja. Magufuli hakutaka kabisa Mwigulu apate mwanya wa kuonekana ni kiongozi maarufu - ku shine.

Jambo la pili lililofanya labda niseme Magufuli amchukie Mwigulu, ni siku ya tukio la jaribio la kumuua Tundu Lissu. Mara tu baada ya tukio Magufuli alimpigia simu Mwigulu, kama waziri wa mambo ya ndani, atoe tamko kwamba serikali haihusiki na jaribio lile. Mwigulu akasita. Na mbaya zaidi, Mwigulu akaomba ushauri kwa vigogo fulani wa CCM (sintawataja) na wakamshauri asitoe hilo tamko. Hili lilimfanya Magufuli akasirike na amwone Mwigulu ana kiburi, hamheshimu, na hata anadiriki kutotii amri yake kama raisi. Magufuli akawachukia na wale waliomshauri Mwigulu asitoe tamko juu ya jaribio dhidi ya Lissu.

Kwa mnaokumbuka, Magufuli alisema katika moja ya hotuba zake kuna mawaziri wanadiriki kutotii maelekezo yake. Alikuwa akimsema Mwigulu. Na nakumbuka kuna wakati Magufuli alimwondoa kabisa Mwigulu katika Baraza la Mawaziri, kitu ambacho aliona kama kudhalilishwa (naambiwa alinyang'anywa gari ya uwaziri akiwa safarini, sijui kama ni kweli)

Basi kuanzia hapo Mwigulu alikuwa hana raha chini ya uongozi wa Magufuli. Alikuwa ignored, alipuuzwa mara zote, na Magufuli alimfanya Mwigulu awepo bila kuwapo, japo baadae alirudishiwa uwaziri, na inaonekana kwa shingo upande.

Kwa hiyo Magufuli alipokufa, kwa Mwigulu, lahaula! Sintasema mengi zaidi ya kusema heshima ya Mwigulu imerudishwa na Raisi Samia. Ndio maana kila Raisi Samia analotamka au kufanya, Mwigulu atasema tumpe maua yake!!!! Yaani kwa Raisi Samia Mwigulu amezama kweli kweli, line, hook and sinker. Humwambii kitu.

Lakini sasa anapita kiasi. Lazima tumwambie Mwiguli inatosha, awe na kiasi kwa kauli hasi dhidi ya Raisi Magufuli, na kiasi katika kumpa raisi Samia maua kwa kila tamko na tendo katika wajibu wake wa kuwa Raisi wa Tanzania. Raisi Samia anafanya tu kile kilicho wajibu wake, hahitaji mapambio ya Mwigulu kwa kila kitu. It is just too embarrassing kwa watu wenye akili kuona Mwigulu anavyofanya. Undignified kwa waziri mwenye wizara nyeti kama yake.

Nipeni maua yangu kwa kuliweka hili wazi!
Upenyo wa dili ulifungwa sasa umefunguliwa
 
Tuongee peupe leo, uwazi na ukweli. Mtu yeyote makini atagundua kwamba karibu kila kauli anazotoa Mwigulu zinalenga kutaka kuonyesha Raisi Samia ni bora sana kuliko alivyokuwa Raisi Magufuli. Tunakiri kwamba kuna baadhi ya mambo Raisi Samia ni bora kuliko alivyokuwa Raisi Magufuli, lakini tuseme kweli, kuna mambo mengi tu Raisi Samia anafanya vibaya kuliko alivyofanya Raisi Magufuli. Lakini hiyo sio topic ya thread hii.

Nataka niwape vitu viwili vikubwa ambavyo vinamfanya Mwigulu hadi leo hii awe na maneno hasi sana kwa Magufuli, (including negative connotations against Magufuli) na kuwa na sifa nyingi sana kwa Raisi Samia. Kwanza ni kwamba Magufuli alimwona Mwiguli kama mshindani wake mkubwa ndani ya CCM, na siku zote Magufuli alitaka kuwaweka kando washindani wake. Magufuli alimwonyesha wazi Mwigulu kwamba hawakuwa marafiki, bali fahari wawili katika zizi moja. Magufuli hakutaka kabisa Mwigulu apate mwanya wa kuonekana ni kiongozi maarufu - ku shine.

Jambo la pili lililofanya labda niseme Magufuli amchukie Mwigulu, ni siku ya tukio la jaribio la kumuua Tundu Lissu. Mara tu baada ya tukio Magufuli alimpigia simu Mwigulu, kama waziri wa mambo ya ndani, atoe tamko kwamba serikali haihusiki na jaribio lile. Mwigulu akasita. Na mbaya zaidi, Mwigulu akaomba ushauri kwa vigogo fulani wa CCM (sintawataja) na wakamshauri asitoe hilo tamko. Hili lilimfanya Magufuli akasirike na amwone Mwigulu ana kiburi, hamheshimu, na hata anadiriki kutotii amri yake kama raisi. Magufuli akawachukia na wale waliomshauri Mwigulu asitoe tamko juu ya jaribio dhidi ya Lissu.

Kwa mnaokumbuka, Magufuli alisema katika moja ya hotuba zake kuna mawaziri wanadiriki kutotii maelekezo yake. Alikuwa akimsema Mwigulu. Na nakumbuka kuna wakati Magufuli alimwondoa kabisa Mwigulu katika Baraza la Mawaziri, kitu ambacho aliona kama kudhalilishwa (naambiwa alinyang'anywa gari ya uwaziri akiwa safarini, sijui kama ni kweli)

Basi kuanzia hapo Mwigulu alikuwa hana raha chini ya uongozi wa Magufuli. Alikuwa ignored, alipuuzwa mara zote, na Magufuli alimfanya Mwigulu awepo bila kuwapo, japo baadae alirudishiwa uwaziri, na inaonekana kwa shingo upande.

Kwa hiyo Magufuli alipokufa, kwa Mwigulu, lahaula! Sintasema mengi zaidi ya kusema heshima ya Mwigulu imerudishwa na Raisi Samia. Ndio maana kila Raisi Samia analotamka au kufanya, Mwigulu atasema tumpe maua yake!!!! Yaani kwa Raisi Samia Mwigulu amezama kweli kweli, line, hook and sinker. Humwambii kitu.

Lakini sasa anapita kiasi. Lazima tumwambie Mwiguli inatosha, awe na kiasi kwa kauli hasi dhidi ya Raisi Magufuli, na kiasi katika kumpa raisi Samia maua kwa kila tamko na tendo katika wajibu wake wa kuwa Raisi wa Tanzania. Raisi Samia anafanya tu kile kilicho wajibu wake, hahitaji mapambio ya Mwigulu kwa kila kitu. It is just too embarrassing kwa watu wenye akili kuona Mwigulu anavyofanya. Undignified kwa waziri mwenye wizara nyeti kama yake.

Nipeni maua yangu kwa kuliweka hili wazi!
Mwigulu huyu huyu aliyeiba pesa akiwa wazir wa, Mambo ya ndani na kuanzisha Singida United. Na alipofukuzwa, uwaziri timu ikafa. Huyu huyu mwenye timu nyingi huku pesa ikitoka serikalini.
 
Back
Top Bottom