Tunaelewa kwanini Mwigulu ana hasira na Magufuli hadi leo, na hadi sasa anatoa kauli hasi dhidi yake, na kumwaga maua kwa wingi!

Tunaelewa kwanini Mwigulu ana hasira na Magufuli hadi leo, na hadi sasa anatoa kauli hasi dhidi yake, na kumwaga maua kwa wingi!

Mwigulu huyu huyu aliyeiba pesa akiwa wazir wa, Mambo ya ndani na kuanzisha Singida United. Na alipofukuzwa, uwaziri timu ikafa. Huyu huyu mwenye timu nyingi huku pesa ikitoka serikalini.
Huyo huyo anaesemekana kununua mabasi 50 kwa mkupuo!
 
Tuongee peupe leo, uwazi na ukweli. Mtu yeyote makini atagundua kwamba karibu kila kauli anazotoa Mwigulu zinalenga kutaka kuonyesha Raisi Samia ni bora sana kuliko alivyokuwa Raisi Magufuli. Tunakiri kwamba kuna baadhi ya mambo Raisi Samia ni bora kuliko alivyokuwa Raisi Magufuli, lakini tuseme kweli, kuna mambo mengi tu Raisi Samia anafanya vibaya kuliko alivyofanya Raisi Magufuli. Lakini hiyo sio topic ya thread hii.

Nataka niwape vitu viwili vikubwa ambavyo vinamfanya Mwigulu hadi leo hii awe na maneno hasi sana kwa Magufuli, (including negative connotations against Magufuli) na kuwa na sifa nyingi sana kwa Raisi Samia. Kwanza ni kwamba Magufuli alimwona Mwiguli kama mshindani wake mkubwa ndani ya CCM, na siku zote Magufuli alitaka kuwaweka kando washindani wake. Magufuli alimwonyesha wazi Mwigulu kwamba hawakuwa marafiki, bali fahari wawili katika zizi moja. Magufuli hakutaka kabisa Mwigulu apate mwanya wa kuonekana ni kiongozi maarufu - ku shine.

Jambo la pili lililofanya labda niseme Magufuli amchukie Mwigulu, ni siku ya tukio la jaribio la kumuua Tundu Lissu. Mara tu baada ya tukio Magufuli alimpigia simu Mwigulu, kama waziri wa mambo ya ndani, atoe tamko kwamba serikali haihusiki na jaribio lile. Mwigulu akasita. Na mbaya zaidi, Mwigulu akaomba ushauri kwa vigogo fulani wa CCM (sintawataja) na wakamshauri asitoe hilo tamko. Hili lilimfanya Magufuli akasirike na amwone Mwigulu ana kiburi, hamheshimu, na hata anadiriki kutotii amri yake kama raisi. Magufuli akawachukia na wale waliomshauri Mwigulu asitoe tamko juu ya jaribio dhidi ya Lissu.

Kwa mnaokumbuka, Magufuli alisema katika moja ya hotuba zake kuna mawaziri wanadiriki kutotii maelekezo yake. Alikuwa akimsema Mwigulu. Na nakumbuka kuna wakati Magufuli alimwondoa kabisa Mwigulu katika Baraza la Mawaziri, kitu ambacho aliona kama kudhalilishwa (naambiwa alinyang'anywa gari ya uwaziri akiwa safarini, sijui kama ni kweli)

Basi kuanzia hapo Mwigulu alikuwa hana raha chini ya uongozi wa Magufuli. Alikuwa ignored, alipuuzwa mara zote, na Magufuli alimfanya Mwigulu awepo bila kuwapo, japo baadae alirudishiwa uwaziri, na inaonekana kwa shingo upande.

Kwa hiyo Magufuli alipokufa, kwa Mwigulu, lahaula! Sintasema mengi zaidi ya kusema heshima ya Mwigulu imerudishwa na Raisi Samia. Ndio maana kila Raisi Samia analotamka au kufanya, Mwigulu atasema tumpe maua yake!!!! Yaani kwa Raisi Samia Mwigulu amezama kweli kweli, line, hook and sinker. Humwambii kitu.

Lakini sasa anapita kiasi. Lazima tumwambie Mwiguli inatosha, awe na kiasi kwa kauli hasi dhidi ya Raisi Magufuli, na kiasi katika kumpa raisi Samia maua kwa kila tamko na tendo katika wajibu wake wa kuwa Raisi wa Tanzania. Raisi Samia anafanya tu kile kilicho wajibu wake, hahitaji mapambio ya Mwigulu kwa kila kitu. It is just too embarrassing kwa watu wenye akili kuona Mwigulu anavyofanya. Undignified kwa waziri mwenye wizara nyeti kama yake.

Nipeni maua yangu kwa kuliweka hili wazi!
We ungezungumzia hbr za baba wa Taifa. Mtu mshamba, muuaji aliyetuharibia nchi yetu ndani ya miaka 5 unatukumbushia wa nini. Lile lilikuwa shetani lisilo na fadhila
 
Tuongee peupe leo, uwazi na ukweli. Mtu yeyote makini atagundua kwamba karibu kila kauli anazotoa Mwigulu zinalenga kutaka kuonyesha Raisi Samia ni bora sana kuliko alivyokuwa Raisi Magufuli. Tunakiri kwamba kuna baadhi ya mambo Raisi Samia ni bora kuliko alivyokuwa Raisi Magufuli, lakini tuseme kweli, kuna mambo mengi tu Raisi Samia anafanya vibaya kuliko alivyofanya Raisi Magufuli. Lakini hiyo sio topic ya thread hii.

Nataka niwape vitu viwili vikubwa ambavyo vinamfanya Mwigulu hadi leo hii awe na maneno hasi sana kwa Magufuli, (including negative connotations against Magufuli) na kuwa na sifa nyingi sana kwa Raisi Samia. Kwanza ni kwamba Magufuli alimwona Mwiguli kama mshindani wake mkubwa ndani ya CCM, na siku zote Magufuli alitaka kuwaweka kando washindani wake. Magufuli alimwonyesha wazi Mwigulu kwamba hawakuwa marafiki, bali fahari wawili katika zizi moja. Magufuli hakutaka kabisa Mwigulu apate mwanya wa kuonekana ni kiongozi maarufu - ku shine.

Jambo la pili lililofanya labda niseme Magufuli amchukie Mwigulu, ni siku ya tukio la jaribio la kumuua Tundu Lissu. Mara tu baada ya tukio Magufuli alimpigia simu Mwigulu, kama waziri wa mambo ya ndani, atoe tamko kwamba serikali haihusiki na jaribio lile. Mwigulu akasita. Na mbaya zaidi, Mwigulu akaomba ushauri kwa vigogo fulani wa CCM (sintawataja) na wakamshauri asitoe hilo tamko. Hili lilimfanya Magufuli akasirike na amwone Mwigulu ana kiburi, hamheshimu, na hata anadiriki kutotii amri yake kama raisi. Magufuli akawachukia na wale waliomshauri Mwigulu asitoe tamko juu ya jaribio dhidi ya Lissu.

Kwa mnaokumbuka, Magufuli alisema katika moja ya hotuba zake kuna mawaziri wanadiriki kutotii maelekezo yake. Alikuwa akimsema Mwigulu. Na nakumbuka kuna wakati Magufuli alimwondoa kabisa Mwigulu katika Baraza la Mawaziri, kitu ambacho aliona kama kudhalilishwa (naambiwa alinyang'anywa gari ya uwaziri akiwa safarini, sijui kama ni kweli)

Basi kuanzia hapo Mwigulu alikuwa hana raha chini ya uongozi wa Magufuli. Alikuwa ignored, alipuuzwa mara zote, na Magufuli alimfanya Mwigulu awepo bila kuwapo, japo baadae alirudishiwa uwaziri, na inaonekana kwa shingo upande.

Kwa hiyo Magufuli alipokufa, kwa Mwigulu, lahaula! Sintasema mengi zaidi ya kusema heshima ya Mwigulu imerudishwa na Raisi Samia. Ndio maana kila Raisi Samia analotamka au kufanya, Mwigulu atasema tumpe maua yake!!!! Yaani kwa Raisi Samia Mwigulu amezama kweli kweli, line, hook and sinker. Humwambii kitu.

Lakini sasa anapita kiasi. Lazima tumwambie Mwiguli inatosha, awe na kiasi kwa kauli hasi dhidi ya Raisi Magufuli, na kiasi katika kumpa raisi Samia maua kwa kila tamko na tendo katika wajibu wake wa kuwa Raisi wa Tanzania. Raisi Samia anafanya tu kile kilicho wajibu wake, hahitaji mapambio ya Mwigulu kwa kila kitu. It is just too embarrassing kwa watu wenye akili kuona Mwigulu anavyofanya. Undignified kwa waziri mwenye wizara nyeti kama yake.

Nipeni maua yangu kwa kuliweka hili wazi!
We bwege nenda kaanike dagaa Chato International Airport.
 
Mkuu naona bado ujawasoma wasomi uchwara wa kitanzania, hata huyu atapita na watu watamsema vibaya ni suala la muda tu.

Wasi wasi wangu hii tabia ya uchawa imeshaota mizizi hakuna anayeweza kusema ukweli kulikomboa pindi nchi inaenda mrama.

Wasomi, vijana na wazee watu wakufuata fursa tu, nionyeshe mzee gani leo anaweza kukemea mabaya, warioba, Jk au Cleopa?
 
Hovyo kweli ulitaka Magufuli ampe Mwigulu wadhifa gani kuwaridhisha wenye chama chao huko CCM.

Elewa Mwigulu sio wa mzaha-mzaha au mtu wa kuunga unga-unga kama hakina mwana FA.

Mwigulu ni mtoto wa CCM allelewa kushika madaraka makubwa siku moja (better still mwalimu wake wa siasa ndio mshauri wa raisi wa siasa leo na ndio wenye chama chao ukisikia).

Future ya Mwigulu hata raisi angekuwa nani mradi ni mtoto wa CCM walisha mtengeneza kushika madaraka kwa succession planning yao ndani ya CCM. Shida yake ni baada ya kufika juu amekuwa mtu hovyo.

Ndio maana hata Magufuli alimpa madaraka makubwa kwa kuelewa mpango wa CCM juu yake, waziri wa mambo ya ndani sio mtu mdogo,

Ukitoa waziri mkuu na makamu kwa kipindi hiki. Vinginevyo ni waziri wa mambo ya ndani pekee ndio mwenye escort huyo sio mtu mdogo kabisa.

Shida ilikuwa Mwigulu mwenyewe sasa alipopewa mambo ya ndani na Magufuli, kutwa yupo kwenye ndondo cup; hizo ndio sababu za Magufuli kumtumbua na kuona to hell na plan za watoto wa CCM..

Shida yenu amuelewi how CCM works.
Kama mwigulu ni zao la timu ya chama inarecruit young leaders kusaidia chama chao, basi wao ni hovyo zaidi kuliko huyu walirecruit..including you! huhitaji saa nzima kukaa na mwigulu ukabaini kutokufaa kwake kuwa kiongozi, facial, expression, body language, gesture/attitude hivi ni zao la malezi alikokulia, elimu peke yake haiwezi kuaddress mapungufu yenye nature ya aina hii..
 
Kama mwigulu ni zao la timu ya chama inarecruit young leaders kusaidia chama chao, basi wao ni hovyo zaidi kuliko huyu walirecruit..including you! huhitaji saa nzima kukaa na mwigulu ukabaini kutokufaa kwake kuwa kiongozi, facial, expression, body language, gesture/attitude
Unadhani huko CCM wana recruit kirahisi hivyo. Tafuta transcript zake toka elimu yake ya awali ujue CCM inalea watu wa aina gani.

Sio kila mtu anafika ngazi ya uwaziri kwa bahati, Mwigulu ni mtoto wa serikali na chama sio mzaha żaha ivyo au ukadhani kaibuka tu kama Shabiby.

Sitaki kusema mengi (mie mwenyewe nimetafutwa 15 years ago sina tu huo muda).

👋
 
Unadhani huko CCM wana recruit kirahisi hivyo. Tafuta transcript zake toka elimu yake ya awali ujue CCM inalea watu wa aina gani.

Sio kila mtu anafika ngazi ya uwaziri kwa bahati, Mwigulu ni mtoto wa serikali na chama sio mzaha żaha ivyo au ukadhani kaibuka tu kama Shabiby.

Sitaki kusema mengi (mie mwenyewe nimetafutwa 15 years ago sina tu huo muda).

👋
Unaelewa nilichoandika na wewe umejibu nini..kwa hiyo hao wa serikali waliomtafuta hawawezi kuwa hovyo zaidi yake? transcript za nini? hivi transcript na tabia kipi ni cha kwanza..unapoteza muda na fedha za watu kuandaa mtu wa aina hii, wewe mwenyewe una akili kweli? au kichwa ni kopo tu..Kama walishindwa kuona tabia tatanishi na hasi alizo nazo huoni kwamba wao ndio wenye tatizo..mwalimu anakuletea mwanafunzi mbovu akikuaminisha kuwa huyu ni kipanga ukigundua mwanafunzi uliyeletewa ni kilaza..tatizo ni mwalimu aliyemleta au mwanafunzi mwenyewe?
 
Unadhani huko CCM wana recruit kirahisi hivyo. Tafuta transcript zake toka elimu yake ya awali ujue CCM inalea watu wa aina gani.

👋
Kama unatuambia transcripts ndio zina determine viongozi wazuri CCM, Raisi Samia tumweke wapi? Kwamba nae ana first class degree ya vitu gani sijui?

Makonda je? Ndio kipanga wa CCM?

Na kama theory zako ni kweli basi CCM wamepotoka sana. Hatujawahi kusikia kina Isaac Newton, Albert Einstein nk ndio waliokuwa maraisi
 
Huyu magulu amzidi umaarufu magufuri yaani magulu aondoe kabisa wazo la kugombea urais tanganyika
 
Tuongee peupe leo, uwazi na ukweli. Mtu yeyote makini atagundua kwamba karibu kila kauli anazotoa Mwigulu zinalenga kutaka kuonyesha Raisi Samia ni bora sana kuliko alivyokuwa Raisi Magufuli. Tunakiri kwamba kuna baadhi ya mambo Raisi Samia ni bora kuliko alivyokuwa Raisi Magufuli, lakini tuseme kweli, kuna mambo mengi tu Raisi Samia anafanya vibaya kuliko alivyofanya Raisi Magufuli. Lakini hiyo sio topic ya thread hii.

Nataka niwape vitu viwili vikubwa ambavyo vinamfanya Mwigulu hadi leo hii awe na maneno hasi sana kwa Magufuli, (including negative connotations against Magufuli) na kuwa na sifa nyingi sana kwa Raisi Samia. Kwanza ni kwamba Magufuli alimwona Mwiguli kama mshindani wake mkubwa ndani ya CCM, na siku zote Magufuli alitaka kuwaweka kando washindani wake. Magufuli alimwonyesha wazi Mwigulu kwamba hawakuwa marafiki, bali fahari wawili katika zizi moja. Magufuli hakutaka kabisa Mwigulu apate mwanya wa kuonekana ni kiongozi maarufu - ku shine.

Jambo la pili lililofanya labda niseme Magufuli amchukie Mwigulu, ni siku ya tukio la jaribio la kumuua Tundu Lissu. Mara tu baada ya tukio Magufuli alimpigia simu Mwigulu, kama waziri wa mambo ya ndani, atoe tamko kwamba serikali haihusiki na jaribio lile. Mwigulu akasita. Na mbaya zaidi, Mwigulu akaomba ushauri kwa vigogo fulani wa CCM (sintawataja) na wakamshauri asitoe hilo tamko. Hili lilimfanya Magufuli akasirike na amwone Mwigulu ana kiburi, hamheshimu, na hata anadiriki kutotii amri yake kama raisi. Magufuli akawachukia na wale waliomshauri Mwigulu asitoe tamko juu ya jaribio dhidi ya Lissu.

Kwa mnaokumbuka, Magufuli alisema katika moja ya hotuba zake kuna mawaziri wanadiriki kutotii maelekezo yake. Alikuwa akimsema Mwigulu. Na nakumbuka kuna wakati Magufuli alimwondoa kabisa Mwigulu katika Baraza la Mawaziri, kitu ambacho aliona kama kudhalilishwa (naambiwa alinyang'anywa gari ya uwaziri akiwa safarini, sijui kama ni kweli)

Basi kuanzia hapo Mwigulu alikuwa hana raha chini ya uongozi wa Magufuli. Alikuwa ignored, alipuuzwa mara zote, na Magufuli alimfanya Mwigulu awepo bila kuwapo, japo baadae alirudishiwa uwaziri, na inaonekana kwa shingo upande.

Kwa hiyo Magufuli alipokufa, kwa Mwigulu, lahaula! Sintasema mengi zaidi ya kusema heshima ya Mwigulu imerudishwa na Raisi Samia. Ndio maana kila Raisi Samia analotamka au kufanya, Mwigulu atasema tumpe maua yake!!!! Yaani kwa Raisi Samia Mwigulu amezama kweli kweli, line, hook and sinker. Humwambii kitu.

Lakini sasa anapita kiasi. Lazima tumwambie Mwiguli inatosha, awe na kiasi kwa kauli hasi dhidi ya Raisi Magufuli, na kiasi katika kumpa raisi Samia maua kwa kila tamko na tendo katika wajibu wake wa kuwa Raisi wa Tanzania. Raisi Samia anafanya tu kile kilicho wajibu wake, hahitaji mapambio ya Mwigulu kwa kila kitu. It is just too embarrassing kwa watu wenye akili kuona Mwigulu anavyofanya. Undignified kwa waziri mwenye wizara nyeti kama yake.

Nipeni maua yangu kwa kuliweka hili wazi!
Yaani hapo uliposema tu Mwiguli anashine kuliko Rais Magufuli nikakuona umepoteza dira

Alikuwa anashine kivipi?? Bora hata ungesema Membe ungemake sense kidogo
 
Umaskini mbaya sana. Unakufanya uwe mnafiki hata kama umeelimika
Mwigulu ni mtu ambae atakuwa bega kwa bega na wewe mpaka pale chombo kinapoanza kuzama. Ikifika hatua akiona hapa hamna kuchomoka tena atakuwa mtu wa kwanza kuvaa life jacket na kuchukua boya kuruka kutafuta meli nyingine.

Mi hata sioni sababu ya kuangaika kumjadili huyo ropo-ropo kesho ‘bi-tozo’ akitoka Mwigulu akipewa nafasi na huyo raisi mwingine he will do the same thing, si yeye tu na mawaziri wote watakaoteuliwa ndio njia mpya ya ku-survive siasa za Tanzania. Kama uwezi kuonyesha mafanikio inabidi umpambe boss.

Shida ni kwamba awaelewi hizo kauli za kumponda Magufuli sio vote winners; bahati ni kwamba upinzani ni weak and not trusted yet na wapiga kura kwa hivyo wana hiyo luxury ya kuropoka vibaya dhidi ya Magufuli.
 
Umeongea ukweli mkuu. Waziri wa fedha ni cheo kikubwa sana. Ila huyu toka apewe hiki cheo ni mwendo wa kuzurura tu na kumpamba mama. Hajawahi kuleta jipya na wala tusitarajie cha maana kutoka kwake. Hopeless
Wewe ni mjinga pia..unazunguka zunguka wakati jibu liko wazi..mwigulu hana uwezo kiuongozi! Hapo alipo na nafasi zote alizopitia..taja mambo mawili km alama ya uhodari kwa uongozi wake.

Nchi inakuwa na mtu kwenye nafasi nyeti amekaa kitapeli tapeli kabisa, sijui ni ulozi..maana hata bahati haziko za namna hii..
 
Umeongea ukweli mkuu. Waziri wa fedha ni cheo kikubwa sana. Ila huyu toka apewe hiki cheo ni mwendo wa kuzurura tu na kumpamba mama. Hajawahi kuleta jipya na wala tusitarajie cha maana kutoka kwake. Hopeless
Kila kitu mamaa, mama.. mara mama yetu mama yetu..ndio ameona maneno ya kulinda uwaziri..kila akionekana kwenye media ana taarifa ya nchi kukopa hilo ndilo anaweza..sifuri kabisa!
 
Yaani hapo uliposema tu Mwiguli anashine kuliko Rais Magufuli nikakuona umepoteza dira

Alikuwa anashine kivipi?? Bora hata ungesema Membe ungemake sense kidogo
Hahaha! Ndio maana Faiza Foxy anasema mlisoma shule za wapi?

Mie nimesema "Magufuli hakutaka kabisa Mwigulu apate mwanya wa kuonekana ni kiongozi maarufu - ku shine"

Sijasema hata sehemu moja Mwigulu anashine au alishine kuliko Magufuli. Hapo umechapia Mkuu.
 
Umaskini mbaya sana. Unakufanya uwe mnafiki hata kama umeelimika
Nadhani ni tabia tu ya mtu, na labda kupenda madaraka. Huyu bwana si wa aina ya kufanya haya kwa ajili ya umasikini alionao
 
Tuongee peupe leo, uwazi na ukweli. Mtu yeyote makini atagundua kwamba karibu kila kauli anazotoa Mwigulu zinalenga kutaka kuonyesha Raisi Samia ni bora sana kuliko alivyokuwa Raisi Magufuli. Tunakiri kwamba kuna baadhi ya mambo Raisi Samia ni bora kuliko alivyokuwa Raisi Magufuli, lakini tuseme kweli, kuna mambo mengi tu Raisi Samia anafanya vibaya kuliko alivyofanya Raisi Magufuli. Lakini hiyo sio topic ya thread hii.

Nataka niwape vitu viwili vikubwa ambavyo vinamfanya Mwigulu hadi leo hii awe na maneno hasi sana kwa Magufuli, (including negative connotations against Magufuli) na kuwa na sifa nyingi sana kwa Raisi Samia. Kwanza ni kwamba Magufuli alimwona Mwiguli kama mshindani wake mkubwa ndani ya CCM, na siku zote Magufuli alitaka kuwaweka kando washindani wake. Magufuli alimwonyesha wazi Mwigulu kwamba hawakuwa marafiki, bali fahari wawili katika zizi moja. Magufuli hakutaka kabisa Mwigulu apate mwanya wa kuonekana ni kiongozi maarufu - ku shine.

Jambo la pili lililofanya labda niseme Magufuli amchukie Mwigulu, ni siku ya tukio la jaribio la kumuua Tundu Lissu. Mara tu baada ya tukio Magufuli alimpigia simu Mwigulu, kama waziri wa mambo ya ndani, atoe tamko kwamba serikali haihusiki na jaribio lile. Mwigulu akasita. Na mbaya zaidi, Mwigulu akaomba ushauri kwa vigogo fulani wa CCM (sintawataja) na wakamshauri asitoe hilo tamko. Hili lilimfanya Magufuli akasirike na amwone Mwigulu ana kiburi, hamheshimu, na hata anadiriki kutotii amri yake kama raisi. Magufuli akawachukia na wale waliomshauri Mwigulu asitoe tamko juu ya jaribio dhidi ya Lissu.

Kwa mnaokumbuka, Magufuli alisema katika moja ya hotuba zake kuna mawaziri wanadiriki kutotii maelekezo yake. Alikuwa akimsema Mwigulu. Na nakumbuka kuna wakati Magufuli alimwondoa kabisa Mwigulu katika Baraza la Mawaziri, kitu ambacho aliona kama kudhalilishwa (naambiwa alinyang'anywa gari ya uwaziri akiwa safarini, sijui kama ni kweli)

Basi kuanzia hapo Mwigulu alikuwa hana raha chini ya uongozi wa Magufuli. Alikuwa ignored, alipuuzwa mara zote, na Magufuli alimfanya Mwigulu awepo bila kuwapo, japo baadae alirudishiwa uwaziri, na inaonekana kwa shingo upande.

Kwa hiyo Magufuli alipokufa, kwa Mwigulu, lahaula! Sintasema mengi zaidi ya kusema heshima ya Mwigulu imerudishwa na Raisi Samia. Ndio maana kila Raisi Samia analotamka au kufanya, Mwigulu atasema tumpe maua yake!!!! Yaani kwa Raisi Samia Mwigulu amezama kweli kweli, line, hook and sinker. Humwambii kitu.

Lakini sasa anapita kiasi. Lazima tumwambie Mwiguli inatosha, awe na kiasi kwa kauli hasi dhidi ya Raisi Magufuli, na kiasi katika kumpa raisi Samia maua kwa kila tamko na tendo katika wajibu wake wa kuwa Raisi wa Tanzania. Raisi Samia anafanya tu kile kilicho wajibu wake, hahitaji mapambio ya Mwigulu kwa kila kitu. It is just too embarrassing kwa watu wenye akili kuona Mwigulu anavyofanya. Undignified kwa waziri mwenye wizara nyeti kama yake.

Nipeni maua yangu kwa kuliweka hili wazi!
Either Synthesizer ndiye aliyetajwa humu au ndiye Mchungaji wa pale Kijitonyama
 
Back
Top Bottom