sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Kazi inaenda kumalizika Misri, Tukitumia mapungufu waliyoonyesha hapa kwa Mkapa tunatoboa
Al Ahly ni wepesi tu, tunawaweza
Al Ahly ni wepesi tu, tunawaweza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NAKAZIAKazi inaenda kumalizika Misri, Tukitumia mapungufu waliyoonyesha Al Ahly hapa kwa Mkapa tunatoboa
Kama mlivyowaona Al Ahly sio wa kutisha kihivyo, tunawaweza
Kazi inaenda kumalizika Misri, Tukitumia mapungufu waliyoonyesha Al Ahly hapa kwa Mkapa tunatoboa
Kama mlivyowaona Al Ahly sio wa kutisha kihivyo, tunawaweza
Wakati unawaza hivyo, jaribu kutathmini ni lini Al Ahly alipata sare Dar es salaam? Huenda wao wakakuona wewe ndio wakawaida sana tena kakukosa mengi mno ukiwa kwako.Kazi inaenda kumalizika Misri, Tukitumia mapungufu waliyoonyesha Al Ahly hapa kwa Mkapa tunatoboa
Kama mlivyowaona Al Ahly sio wa kutisha kihivyo, tunawaweza
kumbe?Kazi inaenda kumalizika Misri, Tukitumia mapungufu waliyoonyesha hapa kwa Mkapa tunatoboa
Al Ahly sio wa kutisha kihivyo, tunawaweza
UzwazwaaaKazi inaenda kumalizika Misri, Tukitumia mapungufu waliyoonyesha hapa kwa Mkapa tunatoboa
Al Ahly sio wa kutisha kihivyo, tunawaweza
Alisikika kolo mmoja aliyevimbewa makande yaliyochacha, UMESHINDWA kumfunga nyumbani kwako ambako umetumia nguvu kubwa ikiwemo uchawi wa Kila aina ndio ukamfunge kwao🤣🤣🤣Kazi inaenda kumalizika Misri, Tukitumia mapungufu waliyoonyesha hapa kwa Mkapa tunatoboa
Al Ahly sio wa kutisha kihivyo, tunawaweza
Ila hata Simba akipigwa ashakunja bilioni 2 na nusuili Simba afuzu lazima al ahaly apigwe ....
Je unaweza mfunga al ahaly kule kwake .....draw ya Simba kufuzu inatakiwa kuwa 3-3 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mnahesabu mlivyokuwa mnatishia tishia kipindi cha pili wakati ahly zile nafas tatu za kipindi cha kwanza mmezisahau kabisa.Kabisa ni wa kawaida awana maajabu,ni basi tu uzembe mkubwa lakini Simba ilikua ashinde hii mechi.
Mbona kiwango kinazidi kushuka kwa kasi hivyo? Ilikuwa bilioni tano mlisema leo tena billion mbili. Kulikoni?Ila hata Simba akipigwa ashakunja bilioni 2 na nusu
Sio billioni 2 ni wastani wa billioni moja coz ni dola laki nneIla hata Simba akipigwa ashakunja bilioni 2 na nusu