Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Endeleeni kujifariji hivyo hivyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda ivuke barabaraHuujui mpira ndiyo maana unaona haiwezekani.
Halafu nyie ndio wale mnaokariri. Mpira hauchezwi chumbani.
Nb: wewe ndiyo umefika mwisho wa kufikiri bila shaka!
Simba itajipanga vilivyo na itavuka! Hakuna lisilowezekana ktk mpira.
Wale mbwa tutaenda kuwanyolea huko huko kwa kipande cha chuoa bila majiKazi inaenda kumalizika Misri, Tukitumia mapungufu waliyoonyesha hapa kwa Mkapa tunatoboa
Al Ahly ni wepesi tu, tunawaweza
mapungufu yenu ni mengi tena ya kitoto na wao wakiyafanyia kazi mtapigwa kama roba la mpunga mzeeKazi inaenda kumalizika Misri, Tukitumia mapungufu waliyoonyesha hapa kwa Mkapa tunatoboa
Al Ahly ni wepesi tu, tunawaweza
Al Ahly ni wepesi sana!! magoli waliyofunga ni magoli mepesi sana yaliyotokana na makosa ya walinzi yanayorekebishika kirahisi. Lakini simba imefunga magoli magumu sana na hawana jinsi ya kujaribu namna ya kufungwa magoli kama hayo!Kazi inaenda kumalizika Misri, Tukitumia mapungufu waliyoonyesha hapa kwa Mkapa tunatoboa
Al Ahly ni wepesi tu, tunawaweza
Kwamba Ahly aliyekosa goli 5 za Wazi hakustahili kushinda Ila Simba?Kabisa ni wa kawaida awana maajabu, ni basi tu uzembe mkubwa lakini Simba ilikua ashinde hii mechi.
Izo tano walizokosa Al Ahly watawakutanisha nazo nyinyi,hamini nakwambia.Kwamba Ahly aliyekosa goli 5 za Wazi hakustahili kushinda Ila Simba?
Mkuu nafikiri jamaa zako kijiweni au mkeo hawakwambii ukweli kuwa dish lako limeyumba! Kweli unasema mmeupiga mwingi? Kweli kabisa?Uhakika mkuu mpira tumeupga san jana,,ni kuongeza juhudi tu mwarabu anakaa
Kikubwa imeshiriki na rekodi imeweka ,mengine hayo kawaida sanaYaani Simba akapate ushindi au sare ya zaidi ya goli moja Cairo, Misri? Mkuu, punguza kuotaota. Simba imeshafika mwisho...