Tunaenda kumaliza kazi Misri, Al Ahly ni wa kawaida mno

Tunaenda kumaliza kazi Misri, Al Ahly ni wa kawaida mno

Mnauhakika hayo mapungufu waliyoyaonesha hapa Dar watayaonesha na huko Misri?? Na mnauhakika pia mapungufu yenu mliyoyaonesha hapa dar hamtayaonesha misri?
Cairo hutakutana na Al Ahaly ya Dar, wanaanza msako kuanzia dk ya kwanza, wanacheza tofauti kbs na walivyocheza huku.
 
Mnahesabu mlivyokuwa mnatishia tishia kipindi cha pili wakati ahly zile nafas tatu za kipindi cha kwanza mmezisahau kabisa.
Kwa kigezo lipi Simba atashinda huko misri
Simba Wana Uchawi mkubwa wa wazi kabisa maana Al Ahly hawakuwa wakiona goli kabisa hadi wenyewe hawakuamini!

Tulishasema haya mashindano African Super League, Simba anasindikiza tu madume ya Mamba , hapa kwa droo ya jana Simba tayari wameumaliza mwendo , kule Misri makolo watapigwa kama Ngoma 5G!

Kila mtu ameona Al Ahly Jana ni wazi kabisa hawakufungua boosters zao kuheshimu viongozi wa mpira wa Dunia kuwepo uwanjani maana ingekuwa mbaya mno kuigaragaza Simba 5G kwao Tena mechi ya ufunguzi!
 
Mchezo umeutazama kishabiki au hujui mpira? Kocha wa Ahly kuanza na akina El Shahat nje kulikuwa na maana ya kucheza kwa tahadhari zaidi, na baada ya mambo kubadilika ndipo wakaingiza wazee wa kazi sote tumeona mambo yalivyobadilika.

Ahly sio wepesi, sio kwa Simba wala kwetu Yanga. Ni timu inayokwenda kwa mipango na wanabaki ktk mipango. Huwezi kuona kila mmoja anajaribu bahati kama Zimbwe Jr. Onana, Inonga na wengine waliokuwa wanajaribu kupiga hovyo golini bila mipango.
Shemeji ujambo ,Habibu ajambo
 
Jamaa hapo hawajatumia hata nusu ya uwezo waoo. Kule mtapigwa sanaaa! Thimba wanga Sanaa.
 
Mechi ya Jana Dunia ilikua inaona Alahly hawakua kinyonge sana ndomana wamepata sare kwa mara ya kwanza,Simba tunamapungufu na Al ahly pia wanamapungufu shida itakua kuyatumia mapungufu ya wenzetu na wao bila kutumia mapungufu yetu hapo ndio ugumu uliopo! ila kama tukienda na kuwa na nidhamu na kucheza bila kupiga pass za ovyo na kupoteza mipira kama tulivyofanya kipindi Cha kwanza mechi itakua ngumu kwa pande zote kule misri,Alahly wazuri sana wasipokua na mpira magoli yote waliotukosa na goli la kwanza ni kutokana wakati unawashambulia ukapoteza mpira ni kama umewaanzishia mashambulizi.
 
Back
Top Bottom