sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
- Thread starter
-
- #21
Ni dola milioni 1 (Shilingi bilioni 2 na nusu), chanzo ni caf wenyeweSio billioni 2 ni wastani wa billioni moja coz ni dola laki nne
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Sasa huyo El shahat kafanya nn? Mbna hakna cha ajabu kwake hata km angeanza.Mchezo umeutazama kishabiki au hujui mpira? Kocha wa Ahly kuanza na akina El Shahat nje kulikuwa na maana ya kucheza kwa tahadhari zaidi, na baada ya mambo kubadilika ndipo wakaingiza wazee wa kazi sote tumeona mambo yalivyobadilika.
Ahly sio wepesi, sio kwa Simba wala kwetu Yanga. Ni timu inayokwenda kwa mipango na wanabaki ktk mipango. Huwezi kuona kila mmoja anajaribu bahati kama Zimbwe Jr. Onana, Inonga na wengine waliokuwa wanajaribu kupiga hovyo golini bila mipango.
Shida ni mashabiki wengi kuweka ushabiki mbele kuliko uhalisia, wale jamaa hawabutui kubahatisha goli, ni timu kubwa wametuzidi vingi, tuna vingi vya kujifunza kwaoMchezo umeutazama kishabiki au hujui mpira? Kocha wa Ahly kuanza na akina El Shahat nje kulikuwa na maana ya kucheza kwa tahadhari zaidi, na baada ya mambo kubadilika ndipo wakaingiza wazee wa kazi sote tumeona mambo yalivyobadilika.
Ahly sio wepesi, sio kwa Simba wala kwetu Yanga. Ni timu inayokwenda kwa mipango na wanabaki ktk mipango. Huwezi kuona kila mmoja anajaribu bahati kama Zimbwe Jr. Onana, Inonga na wengine waliokuwa wanajaribu kupiga hovyo golini bila mipango.
Hata katika uwezo wa mchezaji mmoja mmoja ni habari nyingine, control na maamuzi wakiwa na mpira ni ya kiwango cha juu.Shida ni mashabiki wengi kuweka ushabiki mbele kuliko uhalisia, wale jamaa hawabutui kubahatisha goli, ni timu kubwa wametuzidi vingi, tuna vingi vya kujifunza kwao
Polee, Tatizo HUNA ubongo.Alisikika Kolo mmoja aliyetiwa mimba 2 nyumbani kwake [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Matokeo ya mpira yameamua hivyo.Kipi kilichoshindikana kumalizia hiyo kazi hapo Lupaso?
Kumbe lengo lilikuwa ni kishiriki,na siyo kushindaIla hata Simba akipigwa ashakunja bilioni 2 na nusu
Mpira hauchezwi sebuleni kwako.Wakati unawaza hivyo, jaribu kutathmini ni lini Al Ahly alipata sare Dar es salaam? Huenda wao wakakuona wewe ndio wakawaida sana tena kakukosa mengi mno ukiwa kwako.
Simba tumejitahidi sana, wale jamaa wanasajili mchezaji Bilion 12 kutoka ulaya, kuna striker wamemsajili msimu uliopita kutoka Borussia Dortmund Anaitwa Anthony Modeste mcheki you tube, kwa investment hawa sio wenzetu na soka ni uwekezaji, sisi Bilioni 3 mfadhili kuweka ni Mvutano balaa.Hata katika uwezo wa mchezaji mmoja mmoja ni habari nyingine, control na maamuzi wakiwa na mpira ni ya kiwango cha juu.
Ila, Simba wamejitahidi.
Huujui mpira ndiyo maana unaona haiwezekani.Yaani Simba akapate ushindi au sare ya zaidi ya goli moja Cairo, Misri? Mkuu, punguza kuotaota. Simba imeshafika mwisho...
Ni kipi ktk mpira hakiwezekani?Uzwazwaaa
Ni kipi hakiwezekani ktk mpira ?Mnahesabu mlivyokuwa mnatishia tishia kipindi cha pili wakati ahly zile nafas tatu za kipindi cha kwanza mmezisahau kabisa.
Kwa kigezo lipi Simba atashinda huko misri
Mkuu, inawezekana kwa kufuatilia mpira huniwezi. Nimeanza kufuatilia na kuupenda tangu miaka ya 80. Nayajua mengi sana.Huujui mpira ndiyo maana unaona haiwezekani.
Halafu nyie ndio wale mnaokariri. Mpira hauchezwi chumbani.
Nb: wewe ndiyo umefika mwisho wa kufikiri bila shaka!
Simba itajipanga vilivyo na itavuka! Hakuna lisilowezekana ktk mpira.
ni jambo bora kuishi kwa matumaini,, nakukumbusha al ahly hajawahi kupata sare kwa mkapa huu ni kama ushindi kwao.Kazi inaenda kumalizika Misri, Tukitumia mapungufu waliyoonyesha hapa kwa Mkapa tunatoboa
Al Ahly ni wepesi tu, tunawaweza
KoloHakuna team yenye figisu na inayobebwa duniani kama al ahly yaani mechi zao nyingi wanashinda kwa fiksi tu leo refa kawabeba sana
Mbona wamenyimwa tuta la wazi!!Hakuna team yenye figisu na inayobebwa duniani kama al ahly yaani mechi zao nyingi wanashinda kwa fiksi tu leo refa kawabeba sana