The Intelligent
JF-Expert Member
- Dec 27, 2013
- 2,459
- 824
Ni lugha ipi ambayo mtu huitumia wakati anafikiri? binafsi nimeshindwa kujua lugha nnayotumia wakati wa kufikiri(sio kuzungumza),
Vipi kwa wale wanaotumia lugha zaidi ya moja ktk kuzungumza, je kabla ya kuamua kuzungumza anakuwa amefikiri kwa lugha ipi? kwani anaweza kuchagua ni lugha ipi aitumie, lakini lugha ya kufikiri ni moja tu, kufikia hapo ndipo nnapotaka kujua lugha ya kufikiri ni ipi?
Vipi kwa wale wanaotumia lugha zaidi ya moja ktk kuzungumza, je kabla ya kuamua kuzungumza anakuwa amefikiri kwa lugha ipi? kwani anaweza kuchagua ni lugha ipi aitumie, lakini lugha ya kufikiri ni moja tu, kufikia hapo ndipo nnapotaka kujua lugha ya kufikiri ni ipi?