The Intelligent
JF-Expert Member
- Dec 27, 2013
- 2,459
- 824
Ni lugha ipi ambayo mtu huitumia wakati anafikiri? binafsi nimeshindwa kujua lugha nnayotumia wakati wa kufikiri(sio kuzungumza),
Vipi kwa wale wanaotumia lugha zaidi ya moja ktk kuzungumza, je kabla ya kuamua kuzungumza anakuwa amefikiri kwa lugha ipi? kwani anaweza kuchagua ni lugha ipi aitumie, lakini lugha ya kufikiri ni moja tu, kufikia hapo ndipo nnapotaka kujua lugha ya kufikiri ni ipi?
Lugha inayotumika ktk kufikiri ni ile unayoijua na kuielewa sana!
Watu hufikir kwa.Lugha ya picha
Ni lugha ipi ambayo mtu huitumia wakati anafikiri? binafsi nimeshindwa kujua lugha nnayotumia wakati wa kufikiri(sio kuzungumza),
Vipi kwa wale wanaotumia lugha zaidi ya moja ktk kuzungumza, je kabla ya kuamua kuzungumza anakuwa amefikiri kwa lugha ipi? kwani anaweza kuchagua ni lugha ipi aitumie, lakini lugha ya kufikiri ni moja tu, kufikia hapo ndipo nnapotaka kujua lugha ya kufikiri ni ipi?
Lugha inayotumika ktk kufikiri ni ile unayoijua na kuielewa sana!
Lugha inayotumika ktk kufikiri ni ile unayoijua na kuielewa sana!
Naweza kuongea lugha zaidi ya moja lakini wakati wakufikiria natumia kiswahili, nikiongea na mzungu wakati naanda jibu la swali aliloniuliza hua naliwaza kwa kiswahili kwanza na kujiridhisha kama ni jibu au ni hoja sahihi
Na kiziwi anatumia lugha ipi kufikiri?
Kama kiziwi mzungu atafikiria kwa kizungu na kama ni mswahili atafikiria kwa kiswahili