binadamu ufikiri kwa kutumia lugha ya kwanza ambayo amejifunza naturally katika mazingira, wale wasiokuwa na uwezo wa kutumia lugha, kila binadamu huwa na kifaa LAD ambacho hutumika kutransform fikra katika mfumo wa lugha fulani INGAWA kifaa hiki kwa binadamu hutumika kama universal grammar au language facult