Tunahitaji mjadala mpana wa kitaifa juu ya timu ya watu inayounda 'Mamlaka za Uteuzi' nchini

Tunahitaji mjadala mpana wa kitaifa juu ya timu ya watu inayounda 'Mamlaka za Uteuzi' nchini

So what ,tumekubali kwamba Zanzibar na tanganyika ni taifa moja so nao wajiandae ipo siku mkiristu atakua mkuu wa nchi TOKA bara na mikoa yote itakua nusu KWA nusu Kama ambavyo tz kwamba bila ukabila ,dini jinsia kiongozi twampenda
Hii ndoto yako itakuja kuwa kweli baada ya YESU kurudi mara ya pili. Kabla ya hapo endelea kuota hivyo hivyo usichoke.
 
Kama hii hoja ina mashiko,mbona sisi tusiokuwa na dini hatuteuliwi na wala hatujalalamika?
 
Hii ndoto yako itakuja kuwa kweli baada ya YESU kurudi mara ya pili. Kabla ya hapo endelea kuota hivyo hivyo usichoke.
Sawa mkuu ila sio lazima YESU kurudi, sie ni ndugu, na sioni Cha kuzuia Hili Kama twashirikiana KWA Mambo makubwa,na ili linawezekana ni swala la utashi tu Wala hakuna ndoto za kuota mkuu
 
Kama Taifa kuwa na conversation juu ya mambo nyeti kama haya ili kujenga Taifa lililofair zaidi hatupaswi kuogopa.
Inachotakiwa ni Hoja, Logic na Frankness badala ya Jazba, Hisia na Ufia dini.
Sisi Raia hatuna Jukwaa huru zaidi la kuzungumza haya kwa uwazi isipokuwa mahali kama hapa JF
Nawaomba Mod, wasikimbilie kufunga mada kama hizi kwa hofu eti zinaomaza udini, kufanya hivyo ni kupoteza objectivity.

Iwapo kuna section moja ya jamii ya nchi yetu inalalamika juu ya teuzi mbalimbali kwa miaka nenda rudi, wajibiwe kwa hoja na si kwa kejeli.

Kwa mfano:

1.Ukisema Waisamu hawajasoma eti ndiyo maana hawapati hizi nafasi kwa kiwango cha kuridhisha—Je ni kweli katika society yetuhakuna waislamu waliosoma na wenye vigezo kutoshelezea hizo nafasi zinazojitokeza hadi ipelekee tuone teuzi zina character fulani hivi in common ambapo watu wa dini moja wanadominate hizi teuzi?

2: Je kwa nini majority ya watu wako confortable kukemea teuzi zenye sura ya ukanda na Ukabila lakini wanakuwa mbogo kwelikweli dhidi ya watu wanaoalamika teuzi kuwa na sura ya udini? —Je nao ni beneficiary wa mfumo kwa hiyo wangependa status quo iendelee?

Kujadili haya mambo siyo udini bali ni ukomavu wa fikra
 
Sawa mkuu ila sio lazima YESU kurudi, sie ni ndugu, na sioni Cha kuzuia Hili Kama twashirikiana KWA Mambo makubwa,na ili linawezekana ni swala la utashi tu Wala hakuna ndoto za kuota mkuu
Tupo pamoja.
 
Ndio umepost nini sasa, mi naona takataka, unaokusumbua ni upumbavu tu, kuna watu wana vichwa vibovu bora hata kunguru.Kumbe ilimradi anateua tu, Mimi ni mpagani na siye atukumbuke katika uteuzi, wahindu nao awakumbuke.Mama asipokuwa makini yale yale ya kipindi cha Kikwete mara utasikia kanisa limechomwa, watu wamevamiwa msikitini na kuuawa, padri kauawa, mijadala ya ovyo yenye kupandikiza chuki kati ya waislam na wakristo n.k,Magufuli alijitahidi sana kukomesha hivi vitendo na bado majitu mengine yanaona hajafanya kitu, pumbavu kabisa.Kuna dalili ya kurudi huko tena mama asipokuwa makini.
 
Ndio umepost nini sasa, mi naona takataka, unaokusumbua ni upumbavu tu, kuna watu wana vichwa vibovu bora hata kunguru.Kumbe ilimradi anateua tu, Mimi ni mpagani na siye atukumbuke katika uteuzi, wahindu nao awakumbuke.Mama asipokuwa makini yale yale ya kipindi cha Kikwete mara utasikia kanisa limechomwa, watu wamevamiwa msikitini na kuuawa, padri kauawa, mijadala ya ovyo yenye kupandikiza chuki kati ya waislam na wakristo n.k,Magufuli alijitahidi sana kukomesha hivi vitendo na bado majitu mengine yanaona hajafanya kitu, pumbavu kabisa.Kuna dalili ya kurudi huko tena mama asipokuwa makini.
Mbona umepanic, hebu tuliza Munkar kwanza, punguza taarabu na maneno ya kanga kidoogo tujadili masuala ya haki katika nchi.

huenda mada imekuzidi kimo hii au wewe na uzao huenda ni wanufaika na mfumo huu wa kibaguzi ndiyo maana povu linakuwa jingi.
Wacha watu wahoji upendeleo ili tujenge Taifa la Haki na Usawa
 
MADA HII IMEJIKITA KATIKA TEUZI ZA MAKATIBU WAKUU ULIOFANYIKA TAREHE 4/4/2021

Mimi kama raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye anaishi katika nchi inayoongozwa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ninayo haki ya kutoa maoni juu ya mustakbali wa nchi hii.

Katiba yetu inatambua kuwa, palipo na binadamu hapawezi kukosekana mapungufu ya kibinadamu ikiwemo ubaguzi, uonevu upendeleo n. k, ndiyo maana Katiba ikapiga marufuku vitu hivyo.

Sasa kwa muda mrefu, nimekuwa hapa JF nakemea teuzi ambazo haziakisi demografia ya nchi yetu, nilikemea teuzi zilizokaa kidini, kijinsia na kikanda. Kuna watu humu JF wako comfortable kukemea teuzi zilizokaa kikanda, au kikabila lakini wanafumba macho teuzi zilizokaa kidini, na wanakuwa wakali kwelikweli pindi ukilisemea. Kuna wengine wanakua comfortable kukemea teuzi zilizojaa ujinsia lakini wanaogopa kukemea teuzi zinazonuka udini. Na Tupo wengine tuko tayari kukemea kila viashiria vya teuzi zenye sura ya udini, Ukanda, Ujinsia, Ukabila n. k

Sasa kuna Pattern ninayoiona katika Teuzi hizi kuanzia serikali ya Magufuli na ninaona zimeanza kujitokeza katika utawala wa Samia

Kwanini overall teuzi nyingi zinakuwa na Ratio zaidi ya (75-80%) Wakiristo na only( 20%-25%) Waislamu, Hii ratio inakuwaje fixed, Hii imetokea tu kwa nasibu au imewekwa by design?

Kwanini pattern hii inajirudiarudia kila mara, pindi uteuzi unaoinvolve watu wengi unapofanyika?

Mimi kama Mwananchi, mpenda mshikamano wa Kitaifa, ninaona kuna harufu ya ubaguzi wa makusudi katika kugawa keki hii ya Taifa, na kwangu mimi binafsi naamini na naamini pia maelfu ya Watanzania wenzangu wengi wapenda haki bila kujali dini zao hawalipendi hili, kwa hiyo ninasema wazi kuwa hili halikubaliki hata kidogo.

Nimeangalia leo teuzi za makatibu wakuu, naona kuna ratio kama ya waislamu Watatu au Wanne katika timu nzima ya makatibu wakuu Ishirini walioteuliwa hii ikiwa ni ratio ile ile ya 20% Waislamu na 80% Christians. Ningependa kujua, hii ni by design au kuna mchezo mchafu?

Kuna watu wanajenga hoja kuwa, hii ishu haina maana bali uchapakazi wa mtu —Hii hoja yangu bado ni muhimu kwa sababu zifuatazo

1. Hizi teuzi ni chanzo cha kipato, ni keki ya Taifa, Unapokuwa na watu janii moja wanaenjoy keki hii kuliko wengine maana yake unawaandalia hata vizazi vyao elimu bora zaidi, huduma bora zaidi za afya, nyumba bora zaidi kwa hiyo maana yake vizazi vya hawa wanaoenjoy sehemu kubwa ya keki ya Taifa leo, wana nafasi ya vizazi vyao kuendelea kuwa tabaka la juu katika nchi wakati hawa wengine wakiendelea kuwa kama raia wa daraja la pili!. Hili hakikubaliki.

2. Lakini teuzi za hivi zinazolalia upande mmoja ni hatari kwa umoja, amani na mshikamano wa Kitaifa—Haiwezekani teuzi za hivi zilalie upande mmoja halafu udhani kuwa wale wengine ambao wako marginalized wafurahi, hilo haliwezi kutokea

Kwa hiyo natoa wito sasa Kwa mamlaka za juu za serikali.

1. Lazima uchunguzi ufanyike kwa timu nzima inayohusika na kupeleka majina ya teuzi mbalimbali kwa Rais, Je hakuna udini katika kuchuja kwao majina?, na kama hakuna udini kwa nini hii pattern ya 20% by 80% inajirudiarudia, Kwa nini kwa mfano hatujawahi kuona teuzi zenye wauslamu 80% na Wakiristo 20%?

2. Tunataka kujua, je ni kweli hakuna waislamu wa kutosha kushika nafasi za juu kwa ratio nzuri? —Kama hawapo kwa nini? Na kama wapo kwa nini ratio inaendelea kuwa katika mtindo huo wa ALWAYS WAISLAMU NAMBA ZAO ZIWE Chini?

Suala la pili ni suala la Jinsia
Nimeona pia idadi ya wanawake walioteuliwa katika nafasi za makatibu wakuu ni almost negligible. Je, kwa utaratibu tuliokuwa tumeanza kukubaliana wa kufanya women empowerment, teuzi za namna hii zinasaidiaje katika ajenda hii?

Mada hii nataka iwafikie wafuatao

1. Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
2. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
3. Mkurugenzi Mkuu wa TISS
Kwana, ulishawahi kufanya utafiti wa uwiano wa raia waislamu na wakristo nchini?

Pili ulisha sikia wakristo wakilalamikia uwiano mdogo ndani ya SMZ?, Nadhani swali la pili likupe hints za swali la kwanza.
 
Kwana, ulishawahi kufanya utafiti wa uwiano wa raia waislamu na wakristo nchini?

Pili ulisha sikia wakristo wakilalamikia uwiano mdogo ndani ya SMZ?, Nadhani swali la pili likupe hints za swali la kwanza.
Kama kuna wazanzibar wanaona hawatendewi haki kwenye serikali yao ya huko Zanzibar basi wana haki ya kuanzisha mada hapa JF kulalamika na kutaka hatua zichukuliwe. Mimi naanzisha mada kuhusu serikali inayonihusu. Serikali ya Zanzibar ni ya Wazanzibari, sina maslahi nayo, huko sina hata haki ya kupiga kura wala kuchaguliwa kuwa muwakilishi, achilia mbali haki ya kumiliki ardhi huko

Kuhusu idadi ya Waislamu na Wakiristu nchini, kama una takwimu za kundi gani jingi basi share nasi, share na source ya data zako
 
Back
Top Bottom