Tunahitaji mjadala mpana wa kitaifa juu ya timu ya watu inayounda 'Mamlaka za Uteuzi' nchini

Tunahitaji mjadala mpana wa kitaifa juu ya timu ya watu inayounda 'Mamlaka za Uteuzi' nchini

Rais muislam
Waziri mkuu Muislam
Katibu mkuu kiongoz Muislam
Jaji mkuu Muislam
Bado unalalamika.... Ulitaka viongoz wote wawe waiaslam!?.. Mlitaka mpewe nini ili nyie binadam mlizike!? Mbona Hamna confidence hivyo... Haya kwa mfano serikali ya mapinduz Zanzibar INA wakristo wangap kwenye idara zake na nini cha ajabu kinatokea kwa kuwa na waislam wengi ktk serikali ya zanzibar.. Embu mlete vitu vya msingi basi tujadili basi na sio ujinga kama huu... Basi tufanye ateue waislam wote wewe utafaika nini kwa mfano...
Missile of the Nation njoo ujibu huku
 
Wahuni wa jiwe wameshampora Urais Mama ili kuendeleza maovu yao na kuyaficha ya awali.
MADA HII IMEJIKITA KATIKA TEUZI ZA MAKATIBU WAKUU ULIOFANYIKA TAREHE 4/4/2021

Mimi kama raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye anaishi katika nchi inayoongozwa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ninayo haki ya kutoa maoni juu ya mustakbali wa nchi hii.

Katiba yetu inatambua kuwa, palipo na binadamu hapawezi kukosekana mapungufu ya kibinadamu ikiwemo ubaguzi, uonevu upendeleo n. k, ndiyo maana Katiba ikapiga marufuku vitu hivyo.

Sasa kwa muda mrefu, nimekuwa hapa JF nakemea teuzi ambazo haziakisi demografia ya nchi yetu, nilikemea teuzi zilizokaa kidini, kijinsia na kikanda. Kuna watu humu JF wako comfortable kukemea teuzi zilizokaa kikanda, au kikabila lakini wanafumba macho teuzi zilizokaa kidini, na wanakuwa wakali kwelikweli pindi ukilisemea. Kuna wengine wanakua comfortable kukemea teuzi zilizojaa ujinsia lakini wanaogopa kukemea teuzi zinazonuka udini. Na Tupo wengine tuko tayari kukemea kila viashiria vya teuzi zenye sura ya udini, Ukanda, Ujinsia, Ukabila n. k

Sasa kuna Pattern ninayoiona katika Teuzi hizi kuanzia serikali ya Magufuli na ninaona zimeanza kujitokeza katika utawala wa Samia

Kwanini overall teuzi nyingi zinakuwa na Ratio zaidi ya (75-80%) Wakiristo na only( 20%-25%) Waislamu, Hii ratio inakuwaje fixed, Hii imetokea tu kwa nasibu au imewekwa by design?

Kwanini pattern hii inajirudiarudia kila mara, pindi uteuzi unaoinvolve watu wengi unapofanyika?

Mimi kama Mwananchi, mpenda mshikamano wa Kitaifa, ninaona kuna harufu ya ubaguzi wa makusudi katika kugawa keki hii ya Taifa, na kwangu mimi binafsi naamini na naamini pia maelfu ya Watanzania wenzangu wengi wapenda haki bila kujali dini zao hawalipendi hili, kwa hiyo ninasema wazi kuwa hili halikubaliki hata kidogo.

Nimeangalia leo teuzi za makatibu wakuu, naona kuna ratio kama ya waislamu Watatu au Wanne katika timu nzima ya makatibu wakuu Ishirini walioteuliwa hii ikiwa ni ratio ile ile ya 20% Waislamu na 80% Christians. Ningependa kujua, hii ni by design au kuna mchezo mchafu?

Kuna watu wanajenga hoja kuwa, hii ishu haina maana bali uchapakazi wa mtu —Hii hoja yangu bado ni muhimu kwa sababu zifuatazo

1. Hizi teuzi ni chanzo cha kipato, ni keki ya Taifa, Unapokuwa na watu janii moja wanaenjoy keki hii kuliko wengine maana yake unawaandalia hata vizazi vyao elimu bora zaidi, huduma bora zaidi za afya, nyumba bora zaidi kwa hiyo maana yake vizazi vya hawa wanaoenjoy sehemu kubwa ya keki ya Taifa leo, wana nafasi ya vizazi vyao kuendelea kuwa tabaka la juu katika nchi wakati hawa wengine wakiendelea kuwa kama raia wa daraja la pili!. Hili hakikubaliki.

2. Lakini teuzi za hivi zinazolalia upande mmoja ni hatari kwa umoja, amani na mshikamano wa Kitaifa—Haiwezekani teuzi za hivi zilalie upande mmoja halafu udhani kuwa wale wengine ambao wako marginalized wafurahi, hilo haliwezi kutokea

Kwa hiyo natoa wito sasa Kwa mamlaka za juu za serikali.

1. Lazima uchunguzi ufanyike kwa timu nzima inayohusika na kupeleka majina ya teuzi mbalimbali kwa Rais, Je hakuna udini katika kuchuja kwao majina?, na kama hakuna udini kwa nini hii pattern ya 20% by 80% inajirudiarudia, Kwa nini kwa mfano hatujawahi kuona teuzi zenye wauslamu 80% na Wakiristo 20%?

2. Tunataka kujua, je ni kweli hakuna waislamu wa kutosha kushika nafasi za juu kwa ratio nzuri? —Kama hawapo kwa nini? Na kama wapo kwa nini ratio inaendelea kuwa katika mtindo huo wa ALWAYS WAISLAMU NAMBA ZAO ZIWE Chini?

Suala la pili ni suala la Jinsia
Nimeona pia idadi ya wanawake walioteuliwa katika nafasi za makatibu wakuu ni almost negligible. Je, kwa utaratibu tuliokuwa tumeanza kukubaliana wa kufanya women empowerment, teuzi za namna hii zinasaidiaje katika ajenda hii?

Mada hii nataka iwafikie wafuatao

1. Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
2. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
3. Mkurugenzi Mkuu wa TISS
 
Mimi ni mkristu lkn naamini ktk UWIANO ktk nafasi za uteuzi, ni jambo Muhimu sana ktk kujenga Utengamano na Umoja wa taifa letu.
Jambo hili limekuwa likipigiwa kelele mara kwa mara ni muhimu sana likafanyiwa kazi kwa nia njema ya kujenga badala ya kupuuzwa.


Baada ya kuzingatia vigezo vyote vya msingi basi ni muhimu pia kuzingatia UWIANO.
ni htari sana kuendelea kujaza aina moja ya watu ktk nafasi za kuteuliwa halfu wengine wakiwa wachache na sifa za msingi wanazo.
 
Hii hoja ingekuwa na mashiko kama ingetaja waislamu ambao walistahili kushika nyadhfa hizi lakini wakanyimwa na kupewa mmisheni asiyekidhi viwango vinavyotakiwa.

Amandla...
 
MADA HII IMEJIKITA KATIKA TEUZI ZA MAKATIBU WAKUU ULIOFANYIKA TAREHE 4/4/2021

Mimi kama raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye anaishi katika nchi inayoongozwa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ninayo haki ya kutoa maoni juu ya mustakbali wa nchi hii.

Katiba yetu inatambua kuwa, palipo na binadamu hapawezi kukosekana mapungufu ya kibinadamu ikiwemo ubaguzi, uonevu upendeleo n. k, ndiyo maana Katiba ikapiga marufuku vitu hivyo.

Sasa kwa muda mrefu, nimekuwa hapa JF nakemea teuzi ambazo haziakisi demografia ya nchi yetu, nilikemea teuzi zilizokaa kidini, kijinsia na kikanda. Kuna watu humu JF wako comfortable kukemea teuzi zilizokaa kikanda, au kikabila lakini wanafumba macho teuzi zilizokaa kidini, na wanakuwa wakali kwelikweli pindi ukilisemea. Kuna wengine wanakua comfortable kukemea teuzi zilizojaa ujinsia lakini wanaogopa kukemea teuzi zinazonuka udini. Na Tupo wengine tuko tayari kukemea kila viashiria vya teuzi zenye sura ya udini, Ukanda, Ujinsia, Ukabila n. k

Sasa kuna Pattern ninayoiona katika Teuzi hizi kuanzia serikali ya Magufuli na ninaona zimeanza kujitokeza katika utawala wa Samia

Kwanini overall teuzi nyingi zinakuwa na Ratio zaidi ya (75-80%) Wakiristo na only( 20%-25%) Waislamu, Hii ratio inakuwaje fixed, Hii imetokea tu kwa nasibu au imewekwa by design?

Kwanini pattern hii inajirudiarudia kila mara, pindi uteuzi unaoinvolve watu wengi unapofanyika?

Mimi kama Mwananchi, mpenda mshikamano wa Kitaifa, ninaona kuna harufu ya ubaguzi wa makusudi katika kugawa keki hii ya Taifa, na kwangu mimi binafsi naamini na naamini pia maelfu ya Watanzania wenzangu wengi wapenda haki bila kujali dini zao hawalipendi hili, kwa hiyo ninasema wazi kuwa hili halikubaliki hata kidogo.

Nimeangalia leo teuzi za makatibu wakuu, naona kuna ratio kama ya waislamu Watatu au Wanne katika timu nzima ya makatibu wakuu Ishirini walioteuliwa hii ikiwa ni ratio ile ile ya 20% Waislamu na 80% Christians. Ningependa kujua, hii ni by design au kuna mchezo mchafu?

Kuna watu wanajenga hoja kuwa, hii ishu haina maana bali uchapakazi wa mtu —Hii hoja yangu bado ni muhimu kwa sababu zifuatazo

1. Hizi teuzi ni chanzo cha kipato, ni keki ya Taifa, Unapokuwa na watu janii moja wanaenjoy keki hii kuliko wengine maana yake unawaandalia hata vizazi vyao elimu bora zaidi, huduma bora zaidi za afya, nyumba bora zaidi kwa hiyo maana yake vizazi vya hawa wanaoenjoy sehemu kubwa ya keki ya Taifa leo, wana nafasi ya vizazi vyao kuendelea kuwa tabaka la juu katika nchi wakati hawa wengine wakiendelea kuwa kama raia wa daraja la pili!. Hili hakikubaliki.

2. Lakini teuzi za hivi zinazolalia upande mmoja ni hatari kwa umoja, amani na mshikamano wa Kitaifa—Haiwezekani teuzi za hivi zilalie upande mmoja halafu udhani kuwa wale wengine ambao wako marginalized wafurahi, hilo haliwezi kutokea

Kwa hiyo natoa wito sasa Kwa mamlaka za juu za serikali.

1. Lazima uchunguzi ufanyike kwa timu nzima inayohusika na kupeleka majina ya teuzi mbalimbali kwa Rais, Je hakuna udini katika kuchuja kwao majina?, na kama hakuna udini kwa nini hii pattern ya 20% by 80% inajirudiarudia, Kwa nini kwa mfano hatujawahi kuona teuzi zenye wauslamu 80% na Wakiristo 20%?

2. Tunataka kujua, je ni kweli hakuna waislamu wa kutosha kushika nafasi za juu kwa ratio nzuri? —Kama hawapo kwa nini? Na kama wapo kwa nini ratio inaendelea kuwa katika mtindo huo wa ALWAYS WAISLAMU NAMBA ZAO ZIWE Chini?

Suala la pili ni suala la Jinsia
Nimeona pia idadi ya wanawake walioteuliwa katika nafasi za makatibu wakuu ni almost negligible. Je, kwa utaratibu tuliokuwa tumeanza kukubaliana wa kufanya women empowerment, teuzi za namna hii zinasaidiaje katika ajenda hii?

Mada hii nataka iwafikie wafuatao

1. Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
2. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
3. Mkurugenzi Mkuu wa TISS
Binafsi ningependa suala la udini katika uteuzi liwe na ratio nzur ila unakuta ukichakata wasomi huwakuti waislam kihivo.
Wengi wanaosoma wanajikita kwenye elimu ya dini (theology) badala ya kijikita kwenye elimu dunia (universal education).
So inakuwa vigumu kufanya vetting upande wa wakristo.
Nilipokuwa chuo 98% ya ma-lecturers walikuwa wakrsto sijui waislam wanaendaga wapi?
 
Rais = Muslim
Waziri Mkuu = Muslim
Rais wa Zanzibar na makamu wke = Muslims
Jaji mkuu= Muslim
Katibu mkuu Kiongozi= Muslim

Mtoa mada akili hazikutoshi na inaonyesha una makengeza . Hiyo safu hapo juu ya wafanya maamuzi wakuu wa nchi hii haitoshi kuwawakilisheni? .
Ni kipya unataka kwamba tuingie kuzungumzia uwiano sawa wa kidini hata kama hawana competency zinazotakiwa?. Wakati JK aliwajaza kwenye nafasi za wakuu what difference did you make ? JPM amewajengea hadi misikiti lakini huna shukrani unamwita mdini. Wewew una matatizo.
 
Hajui mipaka ya kimamlaka.

Akiwa anaongea anaongea utadhani yeye ndiye Rais wa nchi hii.
Lakini mtu anaweza kusema kuwa unaona hafai kwa sababu sio muislamu. Angekuwa muislamu ungesema kuwa ni waizi kuwa anaongea kwa niaba ya Rais.

Amandla...
 
Rais = Muslim
Waziri Mkuu = Muslim
Rais wa Zanzibar na makamu wke = Muslims
Jaji mkuu= Muslim
Katibu mkuu Kiongozi= Muslim

Mtoa mada akili hazikutoshi na inaonyesha una makengeza . Hiyo safu hapo juu ya wafanya maamuzi wakuu wa nchi hii haitoshi kuwawakilisheni? .
Ni kipya unataka kwamba tuingie kuzungumzia uwiano sawa wa kidini hata kama hawana competency zinazotakiwa?. Wakati JK aliwajaza kwenye nafasi za wakuu what difference did you make ? JPM amewajengea hadi misikiti lakini huna shukrani unamwita mdini. Wewew una matatizo.
Serikali ni dubwana kubwa sana, hao uliowataja ni watumishi wachache tu miongoni wa watumishi wengi wa serikali kwa ujumla wake.

Serikali ina maDAS, naRAS, Wakuu wa mikoa, Wakuu wa wilaya, Wakurugenzi, makatibu wakuu, nabalozi, mawaziri, wenyeviti wa bodi etc—Sasa huko kooote kukiwa na waislamu wachache, then kwenye hizo nafasi za juu hata wakikaa waislamu watupu bado haiamaanishi waislamu wa kutosha wamo serikalini.

Yaani ni heri hata nafasi za juu zikaliwa na watu wasio waislamu lakini wawe fair kwa waislamu kwenye mgawanyo wa keki ya taifa ikiwemo utumishi ndani ya serikali!
 
Naunga mkono hoja, kwa maoni yangu rais kwenye uteuzi Kuna hatari ya kuzungukwa Kwa mfano uteuzi wa Sasa wa mama Sio Siri hauko balanced hasa ukiangalia jinsia. Hivi kweli kwenye utumishi wa umma katika idara zake zote hatuna kina mama wenye uwezo wa kuongoza taasisi au wizara? Mfumo wetu wa vetting umejaa who know you badala ya wenye sifa stahiki.

Ushauri wangu ni kwamba utumishi wa umma na menejiment zake zitengeneze database strong za watumishi wote wa umma na utendaji wao. Inapotokea uteuzi asiangaliwe mtu kwa jina Bali kwa sifa. Pia vyombo vya usalama vitumike kuchunguza na sio vyenyewe kutumia sifa hiyo kujiteua.
Kule Zanzibar vipi teuzi zake zina usawa?
 
Unasemaje kuhusu teuzi za serikali ya mapinduzi?
Serikali ni dubwana kubwa sana, hao uliowataja ni watumishi wachache tu miongoni wa watumishi wengi wa serikali kwa ujumla wake.

Serikali ina maDAS, naRAS, Wakuu wa mikoa, Wakuu wa wilaya, Wakurugenzi, makatibu wakuu, nabalozi, mawaziri, wenyeviti wa bodi etc—Sasa huko kooote kukiwa na waislamu wachache, then kwenye hizo nafasi za juu hata wakikaa waislamu watupu bado haiamaanishi waislamu wa kutosha wamo serikalini.

Yaani ni heri hata nafasi za juu zikaliwa na watu wasio waislamu lakini wawe fair kwa waislamu kwenye mgawanyo wa keki ya taifa ikiwemo utumishi ndani ya serikali!
 
Unasemaje kuhusu teuzi za serikali ya mapinduzi?
Sijawahi kushiriki uchaguzi wowote wa zanzibar, sina hata haki ya kupiga kura huko. Sasa kusemea namna wanavyounda serikali yao nawaachia Wazanzibari wenyewe walalamike au washangilie.

Mimi niko Interested na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hii mimi ndo huwa napiga kura na kulipa kodi, Kiufupi serikali ya JMT ndo nina "mtaji" wangu ndani yake, hiyo serikali nyingine nawaachia wenye serikali yao wao wenyewe.
 
MADA HII IMEJIKITA KATIKA TEUZI ZA MAKATIBU WAKUU ULIOFANYIKA TAREHE 4/4/2021

Mimi kama raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye anaishi katika nchi inayoongozwa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ninayo haki ya kutoa maoni juu ya mustakbali wa nchi hii.

Katiba yetu inatambua kuwa, palipo na binadamu hapawezi kukosekana mapungufu ya kibinadamu ikiwemo ubaguzi, uonevu upendeleo n. k, ndiyo maana Katiba ikapiga marufuku vitu hivyo.

Sasa kwa muda mrefu, nimekuwa hapa JF nakemea teuzi ambazo haziakisi demografia ya nchi yetu, nilikemea teuzi zilizokaa kidini, kijinsia na kikanda. Kuna watu humu JF wako comfortable kukemea teuzi zilizokaa kikanda, au kikabila lakini wanafumba macho teuzi zilizokaa kidini, na wanakuwa wakali kwelikweli pindi ukilisemea. Kuna wengine wanakua comfortable kukemea teuzi zilizojaa ujinsia lakini wanaogopa kukemea teuzi zinazonuka udini. Na Tupo wengine tuko tayari kukemea kila viashiria vya teuzi zenye sura ya udini, Ukanda, Ujinsia, Ukabila n. k

Sasa kuna Pattern ninayoiona katika Teuzi hizi kuanzia serikali ya Magufuli na ninaona zimeanza kujitokeza katika utawala wa Samia

Kwanini overall teuzi nyingi zinakuwa na Ratio zaidi ya (75-80%) Wakiristo na only( 20%-25%) Waislamu, Hii ratio inakuwaje fixed, Hii imetokea tu kwa nasibu au imewekwa by design?

Kwanini pattern hii inajirudiarudia kila mara, pindi uteuzi unaoinvolve watu wengi unapofanyika?

Mimi kama Mwananchi, mpenda mshikamano wa Kitaifa, ninaona kuna harufu ya ubaguzi wa makusudi katika kugawa keki hii ya Taifa, na kwangu mimi binafsi naamini na naamini pia maelfu ya Watanzania wenzangu wengi wapenda haki bila kujali dini zao hawalipendi hili, kwa hiyo ninasema wazi kuwa hili halikubaliki hata kidogo.

Nimeangalia leo teuzi za makatibu wakuu, naona kuna ratio kama ya waislamu Watatu au Wanne katika timu nzima ya makatibu wakuu Ishirini walioteuliwa hii ikiwa ni ratio ile ile ya 20% Waislamu na 80% Christians. Ningependa kujua, hii ni by design au kuna mchezo mchafu?

Kuna watu wanajenga hoja kuwa, hii ishu haina maana bali uchapakazi wa mtu —Hii hoja yangu bado ni muhimu kwa sababu zifuatazo

1. Hizi teuzi ni chanzo cha kipato, ni keki ya Taifa, Unapokuwa na watu janii moja wanaenjoy keki hii kuliko wengine maana yake unawaandalia hata vizazi vyao elimu bora zaidi, huduma bora zaidi za afya, nyumba bora zaidi kwa hiyo maana yake vizazi vya hawa wanaoenjoy sehemu kubwa ya keki ya Taifa leo, wana nafasi ya vizazi vyao kuendelea kuwa tabaka la juu katika nchi wakati hawa wengine wakiendelea kuwa kama raia wa daraja la pili!. Hili hakikubaliki.

2. Lakini teuzi za hivi zinazolalia upande mmoja ni hatari kwa umoja, amani na mshikamano wa Kitaifa—Haiwezekani teuzi za hivi zilalie upande mmoja halafu udhani kuwa wale wengine ambao wako marginalized wafurahi, hilo haliwezi kutokea

Kwa hiyo natoa wito sasa Kwa mamlaka za juu za serikali.

1. Lazima uchunguzi ufanyike kwa timu nzima inayohusika na kupeleka majina ya teuzi mbalimbali kwa Rais, Je hakuna udini katika kuchuja kwao majina?, na kama hakuna udini kwa nini hii pattern ya 20% by 80% inajirudiarudia, Kwa nini kwa mfano hatujawahi kuona teuzi zenye wauslamu 80% na Wakiristo 20%?

2. Tunataka kujua, je ni kweli hakuna waislamu wa kutosha kushika nafasi za juu kwa ratio nzuri? —Kama hawapo kwa nini? Na kama wapo kwa nini ratio inaendelea kuwa katika mtindo huo wa ALWAYS WAISLAMU NAMBA ZAO ZIWE Chini?

Suala la pili ni suala la Jinsia
Nimeona pia idadi ya wanawake walioteuliwa katika nafasi za makatibu wakuu ni almost negligible. Je, kwa utaratibu tuliokuwa tumeanza kukubaliana wa kufanya women empowerment, teuzi za namna hii zinasaidiaje katika ajenda hii?

Mada hii nataka iwafikie wafuatao

1. Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
2. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
3. Mkurugenzi Mkuu wa TISS
Watanzania wanataka maendeleo,na ww unawaza udini,ukabila,na ukanda na ndio zimekuwa akili kama ulivyo sema,yaani unataka viongozi wakalie ujinga wa kukaa mezani na kusema tuahitaji wakristo kumi na waislamu kumi na kwa mawazo yako suala la utaalamu kwako halina nafasi isipokuwa udini,ukabila na ukanda.Rudi kwenye mawazo yako uone kama uko sahihi yawezekana kuna sehemu utagundua unatereza kila wakati,jaribu vilevile kuo na athari za hayo unayoyataka yatokee kama yana umuhimu kwa nchi au hayana,mwishoni utaelewa vzr na vilevile unaonekana kutaka kusikilizwa haya mawazo yako lkn ww hauko tayari kusikiliza wenzako pia ili na ww ujifunze kitu zaidi na zaidi.
 
Back
Top Bottom