Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Unajua ni vigezo gani watu wa vetting wanaangalia?Rais anapelekewa pool ya majina ya kuteua kutoka kwenye mamlaka za vetting, kama vetting imelalia upande mmoja basi chance ya wateuliwa wengi italalia upande huo, unless rais specifically aseme kuiambia mamlaka ya uteuzi imletee list pana ya watu wanaozingatia vigezo vya kazi lakini na demographia ya nchi ili aunde timu wakilishi!
Au unalalamika tu?
Oh rais aangalie demography,sijui aangalie nini.
Hizo mamlaka ziko kisheria. lazima vetting ilalie qualifications only. na ndicho wanachofanya.
No qualifications no rights. simple as thats. dini tupa kule