Tunaitaka Tanganyika yetu! Wakati ni huu...

Tunaitaka Tanganyika yetu! Wakati ni huu...

Ninafuatilia Bunge la katiba kwa umakini. Ninawaona vile wazanzibari wanavyoiongelea nchi yao. Wanaitamani Zanzibar huru. Wanaitamka Tanganyika bila hofu. Wabara wanajiita watanzania bara. Ifike muda muda sasa hawa wajumbe wa bara wavue wogs na kuitamka Tanganyika maana wapende wasipende wazanxibari wanaitaka nchi yao. Wajumbe wetu wajiandae kwa serikali tatu na uzao mpya wa Tanganyika

HATA MIMI NIMEONA , TANGANYIKA ITALETWA na WAZANZIBAR
 
Amen,

At last ndoto za wengi zitatimia.

Huu muungano wa tembo na sisimizi hatuutaki!

Kaka Lukosi, namba zinaongea zaidi kuliko maneno. Matokeo ya Sensa ya mwaka 2012:

(1) Idadi ya Watanzania: 44,928,923
(2) Idadi ya Watanganyika: 43,625,354
(3) Idadi ya Wazanzibari: 1,303,569
(4) Idadi ya Wakazi wa Mkoa wa Ruvuma: 1,376,891
(5) Idadi ya Wakazi wa Wilaya Temeke: 1,368,881
 
Nyerere alitusomesha hivi....kuna watanganyika...kuna wazanzibari....na kuna wazanzibara....unawajua wazanzibara? Tafakari. (2 ) Nyerere alitusomesha tena hivi...ataigeuza pwani kuwa bara na bata kuwa pwani..je unawajua wa pwani? ndio waswahili...jiulize...pwani unaweza kuiita tanzania bara tafakari

Kwanini akili zako zinaongozwa na mfu?
 
Ninafuatilia Bunge la katiba kwa umakini. Ninawaona vile wazanzibari wanavyoiongelea nchi yao. Wanaitamani Zanzibar huru. Wanaitamka Tanganyika bila hofu. Wabara wanajiita watanzania bara. Ifike muda muda sasa hawa wajumbe wa bara wavue wogs na kuitamka Tanganyika maana wapende wasipende wazanxibari wanaitaka nchi yao. Wajumbe wetu wajiandae kwa serikali tatu na uzao mpya wa Tanganyika


Tunaitaka Tanganyika yetu!
 
Ukweli mwingine ni kwamba cheche zimeanza kuonekana. Naibu spika, Ndugai anaonyesha hasira za wazi dhidi ya kauli za wajumbe toka visiwani. Na kwa usalama wao ni bora watenganishwe wajumbe toka pande hizi mbili
 
Mpaka sasa sijapata taarifa yoyote kuhusu upigaji kura, utakuwa wa SIRI au wa DHAHILI? naomba kufahamishwa.
 
Tumepewa waziri feki wa Fedha,kwa ajili ya so called Muungano!

Surely tuna real economists toka Tanganyika from Moshi,Shinyanga,Mtwara hadi Bukoba!!!!!
 
Bombs target church, restaurant in Zanzibar

DAR ES SALAAM Mon Feb 24, 2014 11:51am EST

(Reuters) - Homemade bombs went off near a cathedral and a restaurant popular with tourists on Monday on the semi-autonomous and mainly Muslim Zanzibar islands, where sectarian tensions have been mounting, a police spokesman said.
There were no casualties, Zanzibar police spokesman Mohammed Mhina said. But one tour operator on the island, who asked not to be identified, said at least one person had been wounded.
The Indian Ocean islands are a growing headache for the Tanzanian government because of religious tensions and deep social and economic divisions. Last year there were several attacks on Christian leaders, tourists and churches.
"There were two explosions which occurred at around 1 p.m. this afternoon. The explosions were caused by makeshift bombs," the police spokesman said, without saying who was behind the attacks.
One bomb went off next to an Anglican cathedral near Zanzibar's capital Stone Town, while another at about the same time exploded at a restaurant in the city popular with tourists, he added.
Many Muslims living along Tanzania's coast feel marginalized by the secular government, providing fertile recruitment grounds for Islamist groups such as al Shabaab, which operates in Somalia further north on Africa's east coast.
Tanzanian President Jakaya Kikwete has warned that religious tensions threaten peace in the nation of 45 million people.
Two Christian leaders were killed in Zanzibar last year in separate attacks and there have been arson attacks on churches.
In September, a Roman Catholic priest was the target of an acid attack, while a month earlier two men threw a corrosive liquid over two British teenagers in Zanzibar.
The incidents have hit Tanzania's image as a tourist-friendly destination, hurting a vital industry.
 
NAitaka Tanganyika kuliko chochte ktk kizazi hiki..CCM acheni upuuzi mkidhani mnacheza siasa za Fitna.Kwa hili Watanganyika na wazenj,na vyma makini km CDM na vyama vya upinzani wote watakuwa kitu kimoja.CCM mtaumia sana ila kwa hili lazima mdhalilike na kupigw amawe mitaani km wachawi. Tuna Tanganyika Motors,tuna Tanganyia Law Society,tuna Tanganyika Chamber of Commerce, tuna Lake Tanganyika....sasa tunahitaji Tanganyika yenye fahari.... TANGANYIKA OYEEEEE....
 
Nguvu au ishara pekee iliyobaki wanayoitegwemea ccm ni muungano. Azimio la Arusha limesha kufa, na hata siasa za Arusha hawanaushawishi nazo tena. CDM wamejikita kwelikweli. Enzi za Nyerere Arusha ilikuwa ngome kuu ya ccm. Kwa sasa, ngome ya ccm kubwa ipo Unguja na Pwani. Hizi sehemu nyingine wanacheza patapotea tu kupata kura. Hauwezi kusema ni ngome. Tatizo ni kwamba nguvu ya CUF Pemba inawasumbua sana huko Zanzibar. Muungano umekuwa kama Jinamizi. Kila kukicha maadui wapya wanajitokeza na ushawishi wa ccm unapungua. Muungano umekuwa kama a hidden treasure in the 'lord of the rings' kwa ccm. CCM is too obsessed na Muungano kiasi kwamba hawataki hata Kuuboresha. Hawasikii, hawaonii, hawaambiliki wala hawashauriki. Sijue ndo kifo cha nyani hicho?

Tatizo kadiri wanavyozidi kuutetea muungano ndo wanavyozidi kuuuwa. Miaka michache iliyopita watanganyika ulikuwa huwasikii wakizungumzia habari ya muungano. Waziri mkuu Pinda alikuwa ajua Zanzibar ni mkoa tu. Sijue ibilisi gani akamwingina Mh Dhaifu, akaruhusu Zanzibar wabadili katiba kuwa nchi, na bendera kabang!! Katika kufurahia mafanikio hayo, Mh Dhaifu akajikuta kumbe ndo kajiongezea maadue maradufu kutoka Tanzania bara, haswa haswa kaskazini na nyanda za juu kusini. Hili jambo lilikera watz sana. Kinacho endelea sasa hivi nikutolewa kwa uhamuzi mwingine wakijinga na viongozi waccm, then utasikia maadui wengine wataibuka, sijue itakuwaje. Ule mtaji wanaoutegemea unazidi kupungua tu. Wao wenyewe kila kukicha ni minyukano tu ndani ya chama. Mwisho wa siku utasikia habari yake, itakuwa kama titanic vile ilivyo zama katikati ya bahari. Abiria chunga mzigo wako.

Sifa moja ya hii trend ni kwamba it is irreversible. CCM siku hizi inapokonyana ubunge na yama vya upinzani!!!! Haijawi kutokea hii. Mbaya zaidi CDM na CUF hawaichii mwanya ipumue hata kidogo, wanagonga mulemule. CDM na NCCR wanagonga mikoani, CUF pwani na Zanzibar kwenye ngome yoa iliyobakia. Lazima kuna kitu kitatokea. Wataalamu wanatumia neno la kitaalamu 'dynamics'. Soon after one generation, ccm itakuwa haina tofauti na vyama vingine kama CUF na CDM. A major catastrophy itakuwa muungano. Ni vigumu kutabiri what will be the outcome ya katiba mpya.
 
kamanda nicholas. endelea kuwatukana makamanda wa chadema waislamu mohamedi mtoi na saidi mohamed
 
NAitaka Tanganyika kuliko chochte ktk kizazi hiki..CCM acheni upuuzi mkidhani mnacheza siasa za Fitna.Kwa hili Watanganyika na wazenj,na vyma makini km CDM na vyama vya upinzani wote watakuwa kitu kimoja.CCM mtaumia sana ila kwa hili lazima mdhalilike na kupigw amawe mitaani km wachawi. Tuna Tanganyika Motors,tuna Tanganyia Law Society,tuna Tanganyika Chamber of Commerce, tuna Lake Tanganyika....sasa tunahitaji Tanganyika yenye fahari.... TANGANYIKA OYEEEEE....

Kinachoniuma zaidi ni hawa wasomi Maprofesa ambao wengi wao wamesomeshwa na fedha za walipakodi watanzania kupata hiyo elimu... Anayenitia kichefuchefu ni Prof. Tibaijuka, msomi, mwanamama aliyeshika nafasi kubwa UN... Nilitegemea kwa usomi na uzoefu alioupata kwenye anga za kimataifa utasaidia kutoka hapa tulipo lakini mawazo na michango yake hayasadifu kabisa na usomi na uzoefu wake... Anazidiwa na mtoto mdogo kama Ester Bulaya mwanasiasa kijana lakini mzalendo...

Kwa kweli huu wasomi wetu hasa hawa maprofesa wetu elimu yao haijasaidia kabisa taifa hili... Ni hasara na mizigo ya taifa...

Lakini CCM ndiyo inakata roho... waliambiwa wajiandae kisaikolojia bado wanashangaa...
 
Unajua nachukia sana watu wa hovyo km wewe


Huyu jamaa anastahili life ban humu jf. Huwa hajengi hoja, kazi yake kubwa ni kukejeli tu na kuharibu threads za watu. Kibaya zaidi anachangia kila threads, almost.

Wakati mwingine unasoma threads ili kujifunza juu ya kitu fulani. Utakuta jamaa kajanza upuuzi tu.

Sijuee id yake wanatumia watu wangapi.
 
Kinachoniuma zaidi ni hawa wasomi Maprofesa ambao wengi wao wamesomeshwa na fedha za walipakodi watanzania kupata hiyo elimu... Anayenitia kichefuchefu ni Prof. Tibaijuka, msomi, mwanamama aliyeshika nafasi kubwa UN... Nilitegemea kwa usomi na uzoefu alioupata kwenye anga za kimataifa utasaidia kutoka hapa tulipo lakini mawazo na michango yake hayasadifu kabisa na usomi na uzoefu wake... Anazidiwa na mtoto mdogo kama Ester Bulaya mwanasiasa kijana lakini mzalendo... Kwa kweli huu wasomi wetu hasa hawa maprofesa wetu elimu yao haijasaidia kabisa taifa hili... Ni hasara na mizigo ya taifa... Lakini CCM ndiyo inakata roho... waliambiwa wajiandae kisaikolojia bado wanashangaa...
Wasomi wa TZ ni bidhaa za besi rahisi km nyingine tuu..nao si ndio hadi leo wanaandika CV kuwa wanaweza fanya kazi under pressure. wakipewa pressure wanwarudia wasiosoma na wajinga wa CCM wawasaidie.
 
Huyu jamaa anastahili life ban humu jf. Huwa hajengi hoja, kazi yake kubwa ni kukejeli tu na kuharibu threads za watu. Kibaya zaidi anachangia kila threads, almost.

Wakati mwingine unasoma threads ili kujifunza juu ya kitu fulani. Utakuta jamaa kajanza upuuzi tu.

Sijuee id yake wanatumia watu wangapi?

wewe umewahi kujenga hoja gani? kwa hiyo nicholas anajenga hoja?
 
Back
Top Bottom