Tunajenga Taifa la Wajinga Kujinufaisha Kisiasa - Ati Trilioni 13 zatekeleza miradi ya afya, elimu Mbeya

Tunajenga Taifa la Wajinga Kujinufaisha Kisiasa - Ati Trilioni 13 zatekeleza miradi ya afya, elimu Mbeya

tutafikatu

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2011
Posts
3,327
Reaction score
4,624
Ati Mkoa wa Mbeya umetumia Trilioni 13 kutekeleza miradi mbali ya maji, elimu na afya kwa mwaka 2021/2022. Hii ikiwa ni zaidi ya robo ya bajeti Taifa iliyotengwa na serikali kwa mwaka wa fedha 2021/2022 ambayo ilikuwa ni kiasi cha trilioni 41. Ikiwa kila mkoa umetumia trilioni kiasi kama hicho basi Taifa zima litakuwa limetumia zaidi ya trilioni 400 kwa mwaka huo huku makusanyo yetu kila mwezi yakivunja record ni kama trilioni 2.

Wanasiasa huu uwongo mnaotengeneza utaligharimu taifa.

Trilioni 13 zatekeleza miradi ya afya, elimu Mbeya

1672114872308.png

Naibu Waziri wa Maji na Mbunge Viti Maalum mkoa wa Mbeya, Mhandisi Maryprisca Mahundi akizungumza na wanachama wa Umoja wa Wanawake ( UWT) kutoka Wilaya sana za Mkoa wa Mbeya. Picha na Hawa Mathias.

By Hawa Mathias

Muktasari:​

  • Mkoa wa Mbeya umetumia zaidi ya Sh13 trilioni katika utekelezaji wa miradi ya Maendeleo ikiwepo elimu na afya ambapo kati ya hizo Sh12 trilioni zimetumika katika ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa kipindi cha mwaka 2021/22.

Mkoa wa Mbeya umetumia zaidi ya Sh13 trilioni katika utekelezaji wa miradi ya Maendeleo ikiwepo elimu na afya ambapo kati ya hizo Sh12 trilioni zimetumika katika ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa kipindi cha mwaka 2021/22.

Naibu Waziri wa Maji na Mbunge Viti Maalum Mkoa wa Mbeya, Mhandisi Maryprisca Mahundi amesema hayo leo Jumatatu Desemba 26, 2022 wakati akizungumza na wajumbe wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) kutoka Wilaya saba za Mkoa wa Mbeya.

Mhandisi Mahundi amesema kati ya fedha hizo Sh1 trilioni zimetumika katika ujenzi ya miundombinu ya vituo vya afya katika Wilaya za Chunya, Kyela, Rungwe, Mbeya Jiji na Mbeya vijijini huku trilion 12 zimetumika katika ujenzi wa vyumba vya madarasa 464 na Shule 172 kupitia Uviko-19.

Amesema “Tunaona vivyo hivyo katika Sekta ya Maji Mkoa (Mbeya) umepokea zaidi ya Sh250 bilioni kwa ajili ya kuanza utekelezaji wa mradi mkubwa wa maji kutoka mto Kiwira Wilaya ya Rungwe ambao utakuwa mwarobaini wa tatizo la maji”amesema.

Akifungua Mkutano huo, Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amesema licha ya uwekezaji mkubwa wa Serikali katika Mkoa wa Mbeya bado kuna changamoto ya suala la usafi katika maeneo mengi ya Jiji la Mbeya kutokuwa salama.

“Niwaombe madiwani wakati Serikali inaendelea kufanya mambo makubwa tuangalie namna ya kusimamia suala la usafi ikiwepo pembezoni mwa miundombinu ya barabara ambazo zinaendelea kujengwa kwani uchafu wa mazingira imekuwa tishio''amesema.

Mwenyekiti wa CCM, Wilaya ya Mbarali, Mary Mbilo amesema kuwa kazi kubwa zinazofanywa na Serikali ya awamu ya sita ikiwepo kwenye Sekta ya afya, elimu, maji na barabara vinawafanya kutembea kifua mbele.

Mwananchi
 
Ati Mkoa wa Mbeya umetumia Trilioni 13 kutekeleza miradi mbali ya maji, elimu na afya kwa mwaka 2021/2022. Hii ikiwa ni zaidi ya robo ya bajeti Taifa iliyotengwa na serikali kwa mwaka wa fedha 2021/2022 ambayo ilikuwa ni kiasi cha trilioni 41. Ikiwa kila mkoa umetumia trilioni kiasi kama hicho basi Taifa zima litakuwa limetumia zaidi ya trilioni 400 kwa mwaka huo huku makusanyo yetu kila mwezi yakivunja record ni kama trilioni 2.

Wanasiasa huu uwongo mnaotengeneza utaligharimu taifa.

Trilioni 13 zatekeleza miradi ya afya, elimu Mbeya

View attachment 2459432
Naibu Waziri wa Maji na Mbunge Viti Maalum mkoa wa Mbeya, Mhandisi Maryprisca Mahundi akizungumza na wanachama wa Umoja wa Wanawake ( UWT) kutoka Wilaya sana za Mkoa wa Mbeya. Picha na Hawa Mathias.

By Hawa Mathias

Muktasari:​

  • Mkoa wa Mbeya umetumia zaidi ya Sh13 trilioni katika utekelezaji wa miradi ya Maendeleo ikiwepo elimu na afya ambapo kati ya hizo Sh12 trilioni zimetumika katika ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa kipindi cha mwaka 2021/22.

Mkoa wa Mbeya umetumia zaidi ya Sh13 trilioni katika utekelezaji wa miradi ya Maendeleo ikiwepo elimu na afya ambapo kati ya hizo Sh12 trilioni zimetumika katika ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa kipindi cha mwaka 2021/22.

Naibu Waziri wa Maji na Mbunge Viti Maalum Mkoa wa Mbeya, Mhandisi Maryprisca Mahundi amesema hayo leo Jumatatu Desemba 26, 2022 wakati akizungumza na wajumbe wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) kutoka Wilaya saba za Mkoa wa Mbeya.

Mhandisi Mahundi amesema kati ya fedha hizo Sh1 trilioni zimetumika katika ujenzi ya miundombinu ya vituo vya afya katika Wilaya za Chunya, Kyela, Rungwe, Mbeya Jiji na Mbeya vijijini huku trilion 12 zimetumika katika ujenzi wa vyumba vya madarasa 464 na Shule 172 kupitia Uviko-19.

Amesema “Tunaona vivyo hivyo katika Sekta ya Maji Mkoa (Mbeya) umepokea zaidi ya Sh250 bilioni kwa ajili ya kuanza utekelezaji wa mradi mkubwa wa maji kutoka mto Kiwira Wilaya ya Rungwe ambao utakuwa mwarobaini wa tatizo la maji”amesema.

Akifungua Mkutano huo, Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amesema licha ya uwekezaji mkubwa wa Serikali katika Mkoa wa Mbeya bado kuna changamoto ya suala la usafi katika maeneo mengi ya Jiji la Mbeya kutokuwa salama.

“Niwaombe madiwani wakati Serikali inaendelea kufanya mambo makubwa tuangalie namna ya kusimamia suala la usafi ikiwepo pembezoni mwa miundombinu ya barabara ambazo zinaendelea kujengwa kwani uchafu wa mazingira imekuwa tishio''amesema.

Mwenyekiti wa CCM, Wilaya ya Mbarali, Mary Mbilo amesema kuwa kazi kubwa zinazofanywa na Serikali ya awamu ya sita ikiwepo kwenye Sekta ya afya, elimu, maji na barabara vinawafanya kutembea kifua mbele.

Huyo Waziri aorodheshe hiyo miradi ili kila mtu aijue.
 
Ati Mkoa wa Mbeya umetumia Trilioni 13 kutekeleza miradi mbali ya maji, elimu na afya kwa mwaka 2021/2022. Hii ikiwa ni zaidi ya robo ya bajeti Taifa iliyotengwa na serikali kwa mwaka wa fedha 2021/2022 ambayo ilikuwa ni kiasi cha trilioni 41. Ikiwa kila mkoa umetumia trilioni kiasi kama hicho basi Taifa zima litakuwa limetumia zaidi ya trilioni 400 kwa mwaka huo huku makusanyo yetu kila mwezi yakivunja record ni kama trilioni 2.

Wanasiasa huu uwongo mnaotengeneza utaligharimu taifa.

Trilioni 13 zatekeleza miradi ya afya, elimu Mbeya

View attachment 2459432
Naibu Waziri wa Maji na Mbunge Viti Maalum mkoa wa Mbeya, Mhandisi Maryprisca Mahundi akizungumza na wanachama wa Umoja wa Wanawake ( UWT) kutoka Wilaya sana za Mkoa wa Mbeya. Picha na Hawa Mathias.

By Hawa Mathias

Muktasari:​

  • Mkoa wa Mbeya umetumia zaidi ya Sh13 trilioni katika utekelezaji wa miradi ya Maendeleo ikiwepo elimu na afya ambapo kati ya hizo Sh12 trilioni zimetumika katika ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa kipindi cha mwaka 2021/22.

Mkoa wa Mbeya umetumia zaidi ya Sh13 trilioni katika utekelezaji wa miradi ya Maendeleo ikiwepo elimu na afya ambapo kati ya hizo Sh12 trilioni zimetumika katika ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa kipindi cha mwaka 2021/22.

Naibu Waziri wa Maji na Mbunge Viti Maalum Mkoa wa Mbeya, Mhandisi Maryprisca Mahundi amesema hayo leo Jumatatu Desemba 26, 2022 wakati akizungumza na wajumbe wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) kutoka Wilaya saba za Mkoa wa Mbeya.

Mhandisi Mahundi amesema kati ya fedha hizo Sh1 trilioni zimetumika katika ujenzi ya miundombinu ya vituo vya afya katika Wilaya za Chunya, Kyela, Rungwe, Mbeya Jiji na Mbeya vijijini huku trilion 12 zimetumika katika ujenzi wa vyumba vya madarasa 464 na Shule 172 kupitia Uviko-19.

Amesema “Tunaona vivyo hivyo katika Sekta ya Maji Mkoa (Mbeya) umepokea zaidi ya Sh250 bilioni kwa ajili ya kuanza utekelezaji wa mradi mkubwa wa maji kutoka mto Kiwira Wilaya ya Rungwe ambao utakuwa mwarobaini wa tatizo la maji”amesema.

Akifungua Mkutano huo, Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amesema licha ya uwekezaji mkubwa wa Serikali katika Mkoa wa Mbeya bado kuna changamoto ya suala la usafi katika maeneo mengi ya Jiji la Mbeya kutokuwa salama.

“Niwaombe madiwani wakati Serikali inaendelea kufanya mambo makubwa tuangalie namna ya kusimamia suala la usafi ikiwepo pembezoni mwa miundombinu ya barabara ambazo zinaendelea kujengwa kwani uchafu wa mazingira imekuwa tishio''amesema.

Mwenyekiti wa CCM, Wilaya ya Mbarali, Mary Mbilo amesema kuwa kazi kubwa zinazofanywa na Serikali ya awamu ya sita ikiwepo kwenye Sekta ya afya, elimu, maji na barabara vinawafanya kutembea kifua mbele.

Hao ni viongozi wasiojua kusoma, kundika na kuhesabu.
 
Ccm ni warongo kwenye kila wanalofanya. Halafu mtu huyo anaesema hivyo mbunge. Inamaanisha kwenye kutunga sheria ni hovyo kabisa.

Pia lawama ziende kwa mhariri wa gazeti la mwananchi.
Gazeti la mwananchi hapo limetumika kutudanganya.
 
Hii ni aibu sana pale wenye nafasi kubwa hawana uelewa wa kutosha, kuna mmoja aliulizwa kuhusu $296,500 anasema ni zaidi ya TZS 6 billions, Naamini wapo wenye sifa nzuri lakini nahisi mamlaka za uteuzi hufuata utashi binafsi na sio merits
 
Kuna mawili;

1. Aidha ni kosa la mwandishi kumnukuu msemaji huyo vibaya. Na kama ndivyo hivi, mwandishi na gazeti wawe responsible kwa kukosa umakini kwa kuandika uongo kiasi cha kuzua taharuki...

2. AU ni kosa la msemaji (huyo naibu waziri). Na kama ndivyo hivi, basi huyu naibu waziri hastahili kuwa kiongozi maana hatumii akili yake vizuri..

Anawezaje kubeba tu takwimu za uongo na kuziropoka kwa umma bila hata kupima athari zake?

Ina maana hata yeye huyu naibu waziri hajui kabisa fedha trilioni 13 kwa mwaka mmoja tu zinaweza kuleta impact ya kimaendeleo kubwa kiasi gani tena ktk mkoa mmoja tu na katika sekta moja tu ya Afya...!

Yaani hajui kabisa kuwa trilioni 13 zikiachiliwa kwa Mbeya yote si ktk afya tu bali ktk sekta zote yaani barabara, maji, elimu, usafirishaji nk nk , basi Mbeya ingeshakuwa ni Paradiso nyingine kabisa isiyokuwepo Tanzania..!!
 
Ati Mkoa wa Mbeya umetumia Trilioni 13 kutekeleza miradi mbali ya maji, elimu na afya kwa mwaka 2021/2022. Hii ikiwa ni zaidi ya robo ya bajeti Taifa iliyotengwa na serikali kwa mwaka wa fedha 2021/2022 ambayo ilikuwa ni kiasi cha trilioni 41. Ikiwa kila mkoa umetumia trilioni kiasi kama hicho basi Taifa zima litakuwa limetumia zaidi ya trilioni 400 kwa mwaka huo huku makusanyo yetu kila mwezi yakivunja record ni kama trilioni 2.

Wanasiasa huu uwongo mnaotengeneza utaligharimu taifa.

Trilioni 13 zatekeleza miradi ya afya, elimu Mbeya

View attachment 2459432
Naibu Waziri wa Maji na Mbunge Viti Maalum mkoa wa Mbeya, Mhandisi Maryprisca Mahundi akizungumza na wanachama wa Umoja wa Wanawake ( UWT) kutoka Wilaya sana za Mkoa wa Mbeya. Picha na Hawa Mathias.

By Hawa Mathias

Muktasari:​

  • Mkoa wa Mbeya umetumia zaidi ya Sh13 trilioni katika utekelezaji wa miradi ya Maendeleo ikiwepo elimu na afya ambapo kati ya hizo Sh12 trilioni zimetumika katika ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa kipindi cha mwaka 2021/22.

Mkoa wa Mbeya umetumia zaidi ya Sh13 trilioni katika utekelezaji wa miradi ya Maendeleo ikiwepo elimu na afya ambapo kati ya hizo Sh12 trilioni zimetumika katika ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa kipindi cha mwaka 2021/22.

Naibu Waziri wa Maji na Mbunge Viti Maalum Mkoa wa Mbeya, Mhandisi Maryprisca Mahundi amesema hayo leo Jumatatu Desemba 26, 2022 wakati akizungumza na wajumbe wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) kutoka Wilaya saba za Mkoa wa Mbeya.

Mhandisi Mahundi amesema kati ya fedha hizo Sh1 trilioni zimetumika katika ujenzi ya miundombinu ya vituo vya afya katika Wilaya za Chunya, Kyela, Rungwe, Mbeya Jiji na Mbeya vijijini huku trilion 12 zimetumika katika ujenzi wa vyumba vya madarasa 464 na Shule 172 kupitia Uviko-19.

Amesema “Tunaona vivyo hivyo katika Sekta ya Maji Mkoa (Mbeya) umepokea zaidi ya Sh250 bilioni kwa ajili ya kuanza utekelezaji wa mradi mkubwa wa maji kutoka mto Kiwira Wilaya ya Rungwe ambao utakuwa mwarobaini wa tatizo la maji”amesema.

Akifungua Mkutano huo, Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amesema licha ya uwekezaji mkubwa wa Serikali katika Mkoa wa Mbeya bado kuna changamoto ya suala la usafi katika maeneo mengi ya Jiji la Mbeya kutokuwa salama.

“Niwaombe madiwani wakati Serikali inaendelea kufanya mambo makubwa tuangalie namna ya kusimamia suala la usafi ikiwepo pembezoni mwa miundombinu ya barabara ambazo zinaendelea kujengwa kwani uchafu wa mazingira imekuwa tishio''amesema.

Mwenyekiti wa CCM, Wilaya ya Mbarali, Mary Mbilo amesema kuwa kazi kubwa zinazofanywa na Serikali ya awamu ya sita ikiwepo kwenye Sekta ya afya, elimu, maji na barabara vinawafanya kutembea kifua mbele.

Huyu Naibu Waziri wa Maji ni kiazi mbatata, nashangaa mnamuita Mhandisi. Yeye ameamua kuwa Chawa wa Tulia Ackson kwa vile ndiye aliyempihania kumpa ubunge wa viti maalum.

Itawezekana vipi Mbeya pekee iwe imetekeleza miradi ya maendeleo ambayo ni karibu nusu ya bajeti mzima ya nchi.

Halafu hiyo miradi yenyewe mbona hatuioni? Iko kwenye Makabtasha tu
 
Ati Mkoa wa Mbeya umetumia Trilioni 13 kutekeleza miradi mbali ya maji, elimu na afya kwa mwaka 2021/2022. Hii ikiwa ni zaidi ya robo ya bajeti Taifa iliyotengwa na serikali kwa mwaka wa fedha 2021/2022 ambayo ilikuwa ni kiasi cha trilioni 41. Ikiwa kila mkoa umetumia trilioni kiasi kama hicho basi Taifa zima litakuwa limetumia zaidi ya trilioni 400 kwa mwaka huo huku makusanyo yetu kila mwezi yakivunja record ni kama trilioni 2.

Wanasiasa huu uwongo mnaotengeneza utaligharimu taifa.

Trilioni 13 zatekeleza miradi ya afya, elimu Mbeya

View attachment 2459432
Naibu Waziri wa Maji na Mbunge Viti Maalum mkoa wa Mbeya, Mhandisi Maryprisca Mahundi akizungumza na wanachama wa Umoja wa Wanawake ( UWT) kutoka Wilaya sana za Mkoa wa Mbeya. Picha na Hawa Mathias.

By Hawa Mathias

Muktasari:​

  • Mkoa wa Mbeya umetumia zaidi ya Sh13 trilioni katika utekelezaji wa miradi ya Maendeleo ikiwepo elimu na afya ambapo kati ya hizo Sh12 trilioni zimetumika katika ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa kipindi cha mwaka 2021/22.

Mkoa wa Mbeya umetumia zaidi ya Sh13 trilioni katika utekelezaji wa miradi ya Maendeleo ikiwepo elimu na afya ambapo kati ya hizo Sh12 trilioni zimetumika katika ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa kipindi cha mwaka 2021/22.

Naibu Waziri wa Maji na Mbunge Viti Maalum Mkoa wa Mbeya, Mhandisi Maryprisca Mahundi amesema hayo leo Jumatatu Desemba 26, 2022 wakati akizungumza na wajumbe wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) kutoka Wilaya saba za Mkoa wa Mbeya.

Mhandisi Mahundi amesema kati ya fedha hizo Sh1 trilioni zimetumika katika ujenzi ya miundombinu ya vituo vya afya katika Wilaya za Chunya, Kyela, Rungwe, Mbeya Jiji na Mbeya vijijini huku trilion 12 zimetumika katika ujenzi wa vyumba vya madarasa 464 na Shule 172 kupitia Uviko-19.

Amesema “Tunaona vivyo hivyo katika Sekta ya Maji Mkoa (Mbeya) umepokea zaidi ya Sh250 bilioni kwa ajili ya kuanza utekelezaji wa mradi mkubwa wa maji kutoka mto Kiwira Wilaya ya Rungwe ambao utakuwa mwarobaini wa tatizo la maji”amesema.

Akifungua Mkutano huo, Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amesema licha ya uwekezaji mkubwa wa Serikali katika Mkoa wa Mbeya bado kuna changamoto ya suala la usafi katika maeneo mengi ya Jiji la Mbeya kutokuwa salama.

“Niwaombe madiwani wakati Serikali inaendelea kufanya mambo makubwa tuangalie namna ya kusimamia suala la usafi ikiwepo pembezoni mwa miundombinu ya barabara ambazo zinaendelea kujengwa kwani uchafu wa mazingira imekuwa tishio''amesema.

Mwenyekiti wa CCM, Wilaya ya Mbarali, Mary Mbilo amesema kuwa kazi kubwa zinazofanywa na Serikali ya awamu ya sita ikiwepo kwenye Sekta ya afya, elimu, maji na barabara vinawafanya kutembea kifua mbele.

Wizi
 
Mhandisi gani hajui hisabati. Alipenya penya vipi kwenye Physics?

Labda gazeti halijamnukuu vizuri.
 
Ata hiyo sidhani kama imefika...mi nadhan Serikali itakua imetumia 13T kwa miradi tajwa kwa nchi nzima.
Hiyo imefika,GDP ya Mbeya Ni zaidi ya 9 kwa hiyo investment ya serikali kwenye miradi yote kwa mwaka mzima na sekta zote hiyo Pesa unafika na chenji inabaki..
 
Back
Top Bottom