Tunajenga Taifa la Wajinga Kujinufaisha Kisiasa - Ati Trilioni 13 zatekeleza miradi ya afya, elimu Mbeya

Tunajenga Taifa la Wajinga Kujinufaisha Kisiasa - Ati Trilioni 13 zatekeleza miradi ya afya, elimu Mbeya

Ata hiyo sidhani kama imefika...mi nadhan Serikali itakua imetumia 13T kwa miradi tajwa kwa nchi nzima.
Hata wewe nadhani huna tofauti na huyo NW kiakili na kiufahamu juu ya takwimu na mambo ya fedha..

Ukitaka kujua kuwa sikuonei kukuambia hivyo, hebu jaribu kufikiri haya;

1. Makusanyo ya kodi ya nchi kwa mwaka 2021/2022 yalikuwa shilingi ngapi?

2. Bajeti yote ya nchi kwa mwaka 2021/2022 ilikuwa shilingi ngapi?

3. Ni kiasi gani kilitengwa kwa ajili ya matumizi ya kawaida, maendeleo, na kulipia deni la taifa?

✓ Ukijibu vyama maswali haya utagundua kuwa fedha ya maendeleo kwa ujumla wake kwa mwaka wa fedha wa 2021/2022 ktk sekta zote i.e afya, elimu, miundo mbinu ya barabara, reli nk nk ilikuwa haizidi trilioni 10...!!

✓ Sasa cha ajabu NW anasema uongo kuwa kwa mwaka mmoja tu na Mbeya tu tena kwenye sekta ya afya pekee eti trilioni 13 zimetekeleza miradi ya afya...!!

Ingekuwa kweli, nakuambia hivi Mbeya ingekuwa ni PARADISO YA TANZANIA. Lakini ukweli ni kuwa Mbeya ilivyokuwa miaka ile ndivyo ilivyo leo pamoja na hizo trilioni 13 za uongo...!!!!

Labda ndugu yangu huijui trilioni ni nini achilia mbali hizo 13...
 
Makosa ya kiuandishi,sahihi Ni 1.3Trilioni
Hata 1.3 trilioni ni kubwa sana kwa mkoa mmoja tu tena ktk:sekta ya afya tu na tena ktk mwaka mmoja pekee 2021/202 wa kifedha...

Hizo ni takwimu za wanasiasa tu kudanganyia watu. Hakuna uhalisia kwenye hilo...

Trilioni 1.3 ndani ya mkoa mmoja ktk sekta ya afya pekee ingekuwa na impact kubwa balaa. Lakini iko wapi hiyo...?
 
MAMBUZI BANA ...

Yani kama vile yanavyolia Bandani Meee! lingine kule Meee! Makelele yasiyo na maana mwisho wa siku yanaishia kuchinjwa kuliwa Nyama

Ndio hivyo hivyo utasikia Trilioni 13, lingine kule tunamshukuru Mama kutoa fedha za maendeleo lingine huko sijui miradi imetekelezwa ....

Yaani makelele ya kudanganyana mwisho wa siku yanaishia kuiba na kunufaisha Mambuzi makubwa kwa makelele ya uongo
 
Hata 1.3 trilioni ni kubwa sana kwa mkoa mmoja tu tena ktk:sekta ya afya tu na tena ktk mwaka mmoja pekee 2021/202 wa kifedha...

Hizo ni takwimu za wanasiasa tu kudanganyia watu. Hakuna uhalisia kwenye hilo...

Trilioni 1.3 ndani ya mkoa mmoja ktk sekta ya afya pekee ingekuwa na impact kubwa balaa. Lakini iko wapi hiyo...?
Sio sekta ya Afya tuu Bali sekta zote za Uchumi kuanzia Afya Hadi barabara
 
Sio sekta ya Afya tuu Bali sekta zote za Uchumi kuanzia Afya Hadi barabara
Kama ina - cover project zote katika sekta zote za kijamii yaani elimu, afya, miundombinu ya barabara, nk , then it makes some senses..

Lakini ingekuwa sekta moja tu kama ilivyoripotiwa na mwandishi wa Mwananchi, isingeingia akilini kwa sababu ktk financial year moja, hakuna mkoa unaopata fedha za maendeleo trilioni kadhaa labda kipekee ukiutoa mkoa wa DSM....
 
Huyu Naibu Waziri wa Maji ni kiazi mbatata, nashangaa mnamuita Mhandisi. Yeye ameamua kuwa Chawa wa Tulia Ackson kwa vile ndiye aliyempihania kumpa ubunge wa viti maalum.
Mhandisi hawezi kuwa kiazi mbatata.
 
Hv inakuwaje Naibu Waziri anashindwa kutofautisha B na T ?? ccm kwa uongo tu , nadhani huwa wanasomea kwanza uongo ndo uteuzi unafuata ..
 
Ati Mkoa wa Mbeya umetumia Trilioni 13 kutekeleza miradi mbali ya maji, elimu na afya kwa mwaka 2021/2022. Hii ikiwa ni zaidi ya robo ya bajeti Taifa iliyotengwa na serikali kwa mwaka wa fedha 2021/2022 ambayo ilikuwa ni kiasi cha trilioni 41. Ikiwa kila mkoa umetumia trilioni kiasi kama hicho basi Taifa zima litakuwa limetumia zaidi ya trilioni 400 kwa mwaka huo huku makusanyo yetu kila mwezi yakivunja record ni kama trilioni 2.

Wanasiasa huu uwongo mnaotengeneza utaligharimu taifa.

Trilioni 13 zatekeleza miradi ya afya, elimu Mbeya

View attachment 2459432
Naibu Waziri wa Maji na Mbunge Viti Maalum mkoa wa Mbeya, Mhandisi Maryprisca Mahundi akizungumza na wanachama wa Umoja wa Wanawake ( UWT) kutoka Wilaya sana za Mkoa wa Mbeya. Picha na Hawa Mathias.

By Hawa Mathias

Muktasari:​

  • Mkoa wa Mbeya umetumia zaidi ya Sh13 trilioni katika utekelezaji wa miradi ya Maendeleo ikiwepo elimu na afya ambapo kati ya hizo Sh12 trilioni zimetumika katika ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa kipindi cha mwaka 2021/22.

Mkoa wa Mbeya umetumia zaidi ya Sh13 trilioni katika utekelezaji wa miradi ya Maendeleo ikiwepo elimu na afya ambapo kati ya hizo Sh12 trilioni zimetumika katika ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa kipindi cha mwaka 2021/22.

Naibu Waziri wa Maji na Mbunge Viti Maalum Mkoa wa Mbeya, Mhandisi Maryprisca Mahundi amesema hayo leo Jumatatu Desemba 26, 2022 wakati akizungumza na wajumbe wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) kutoka Wilaya saba za Mkoa wa Mbeya.

Mhandisi Mahundi amesema kati ya fedha hizo Sh1 trilioni zimetumika katika ujenzi ya miundombinu ya vituo vya afya katika Wilaya za Chunya, Kyela, Rungwe, Mbeya Jiji na Mbeya vijijini huku trilion 12 zimetumika katika ujenzi wa vyumba vya madarasa 464 na Shule 172 kupitia Uviko-19.

Amesema “Tunaona vivyo hivyo katika Sekta ya Maji Mkoa (Mbeya) umepokea zaidi ya Sh250 bilioni kwa ajili ya kuanza utekelezaji wa mradi mkubwa wa maji kutoka mto Kiwira Wilaya ya Rungwe ambao utakuwa mwarobaini wa tatizo la maji”amesema.

Akifungua Mkutano huo, Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amesema licha ya uwekezaji mkubwa wa Serikali katika Mkoa wa Mbeya bado kuna changamoto ya suala la usafi katika maeneo mengi ya Jiji la Mbeya kutokuwa salama.

“Niwaombe madiwani wakati Serikali inaendelea kufanya mambo makubwa tuangalie namna ya kusimamia suala la usafi ikiwepo pembezoni mwa miundombinu ya barabara ambazo zinaendelea kujengwa kwani uchafu wa mazingira imekuwa tishio''amesema.

Mwenyekiti wa CCM, Wilaya ya Mbarali, Mary Mbilo amesema kuwa kazi kubwa zinazofanywa na Serikali ya awamu ya sita ikiwepo kwenye Sekta ya afya, elimu, maji na barabara vinawafanya kutembea kifua mbele.

Mwananchi
Magazeti haya haya.
Jana wamesema Kuna upungufu wa madaraka 4000 (elfu nne) !
Yaani kuwafanya waTanzania mambuluma au?!
Kulikuwa na ujenzi wankutumia pesa ya COVID 19. Badala ya kuelekea pesa Kwa afya kuhusiana na tatizo lenyewe wao wamepeleka kujengwa madarasa ambayo Sasa mengine ni hewa!!
Hii ni aibu Kwa Taifa linalojinasibu kukua!! Sifa hizi zinazoendelea walah ni balaah Kwa kizazi kijacho!

Simamieni haki na utawala Bora..
 
"Mbeya vijijini huku trilion 12 zimetumika katika ujenzi wa vyumba vya madarasa 464 na Shule 172 kupitia Uviko-19."

Hii haipo sawa..
 
Hata wewe nadhani huna tofauti na huyo NW kiakili na kiufahamu juu ya takwimu na mambo ya fedha..

Ukitaka kujua kuwa sikuonei kukuambia hivyo, hebu jaribu kufikiri haya;

1. Makusanyo ya kodi ya nchi kwa mwaka 2021/2022 yalikuwa shilingi ngapi?

2. Bajeti yote ya nchi kwa mwaka 2021/2022 ilikuwa shilingi ngapi?

3. Ni kiasi gani kilitengwa kwa ajili ya matumizi ya kawaida, maendeleo, na kulipia deni la taifa?

✓ Ukijibu vyama maswali haya utagundua kuwa fedha ya maendeleo kwa ujumla wake kwa mwaka wa fedha wa 2021/2022 ktk sekta zote i.e afya, elimu, miundo mbinu ya barabara, reli nk nk ilikuwa haizidi trilioni 10...!!

✓ Sasa cha ajabu NW anasema uongo kuwa kwa mwaka mmoja tu na Mbeya tu tena kwenye sekta ya afya pekee eti trilioni 13 zimetekeleza miradi ya afya...!!

Ingekuwa kweli, nakuambia hivi Mbeya ingekuwa ni PARADISO YA TANZANIA. Lakini ukweli ni kuwa Mbeya ilivyokuwa miaka ile ndivyo ilivyo leo pamoja na hizo trilioni 13 za uongo...!!!!

Labda ndugu yangu huijui trilioni ni nini achilia mbali hizo 13...
Duh...jifunze kusoma mabandiko/maoni ya wenzako vizuri kàbla hujatoa maoni yako...Kujua kusoma na kuandika nadhani ndio basic qualifications kujiunga jukwaa hili.
 
Ati Mkoa wa Mbeya umetumia Trilioni 13 kutekeleza miradi mbali ya maji, elimu na afya kwa mwaka 2021/2022. Hii ikiwa ni zaidi ya robo ya bajeti Taifa iliyotengwa na serikali kwa mwaka wa fedha 2021/2022 ambayo ilikuwa ni kiasi cha trilioni 41. Ikiwa kila mkoa umetumia trilioni kiasi kama hicho basi Taifa zima litakuwa limetumia zaidi ya trilioni 400 kwa mwaka huo huku makusanyo yetu kila mwezi yakivunja record ni kama trilioni 2.

Wanasiasa huu uwongo mnaotengeneza utaligharimu taifa.

Trilioni 13 zatekeleza miradi ya afya, elimu Mbeya

View attachment 2459432
Naibu Waziri wa Maji na Mbunge Viti Maalum mkoa wa Mbeya, Mhandisi Maryprisca Mahundi akizungumza na wanachama wa Umoja wa Wanawake ( UWT) kutoka Wilaya sana za Mkoa wa Mbeya. Picha na Hawa Mathias.

By Hawa Mathias

Muktasari:​

  • Mkoa wa Mbeya umetumia zaidi ya Sh13 trilioni katika utekelezaji wa miradi ya Maendeleo ikiwepo elimu na afya ambapo kati ya hizo Sh12 trilioni zimetumika katika ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa kipindi cha mwaka 2021/22.

Mkoa wa Mbeya umetumia zaidi ya Sh13 trilioni katika utekelezaji wa miradi ya Maendeleo ikiwepo elimu na afya ambapo kati ya hizo Sh12 trilioni zimetumika katika ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa kipindi cha mwaka 2021/22.

Naibu Waziri wa Maji na Mbunge Viti Maalum Mkoa wa Mbeya, Mhandisi Maryprisca Mahundi amesema hayo leo Jumatatu Desemba 26, 2022 wakati akizungumza na wajumbe wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) kutoka Wilaya saba za Mkoa wa Mbeya.

Mhandisi Mahundi amesema kati ya fedha hizo Sh1 trilioni zimetumika katika ujenzi ya miundombinu ya vituo vya afya katika Wilaya za Chunya, Kyela, Rungwe, Mbeya Jiji na Mbeya vijijini huku trilion 12 zimetumika katika ujenzi wa vyumba vya madarasa 464 na Shule 172 kupitia Uviko-19.

Amesema “Tunaona vivyo hivyo katika Sekta ya Maji Mkoa (Mbeya) umepokea zaidi ya Sh250 bilioni kwa ajili ya kuanza utekelezaji wa mradi mkubwa wa maji kutoka mto Kiwira Wilaya ya Rungwe ambao utakuwa mwarobaini wa tatizo la maji”amesema.

Akifungua Mkutano huo, Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amesema licha ya uwekezaji mkubwa wa Serikali katika Mkoa wa Mbeya bado kuna changamoto ya suala la usafi katika maeneo mengi ya Jiji la Mbeya kutokuwa salama.

“Niwaombe madiwani wakati Serikali inaendelea kufanya mambo makubwa tuangalie namna ya kusimamia suala la usafi ikiwepo pembezoni mwa miundombinu ya barabara ambazo zinaendelea kujengwa kwani uchafu wa mazingira imekuwa tishio''amesema.

Mwenyekiti wa CCM, Wilaya ya Mbarali, Mary Mbilo amesema kuwa kazi kubwa zinazofanywa na Serikali ya awamu ya sita ikiwepo kwenye Sekta ya afya, elimu, maji na barabara vinawafanya kutembea kifua mbele.

Mwananchi
Ni pale mtumwa anapopanda farasi wakati tajiri akienda Kwa mguu,

Ni pale WASOMI wanapozurura mitaani bila ajira wakati ajira wakigawiwa UVCCM wasio na vyeti.

Imekwisha. Amen
 
Ati Mkoa wa Mbeya umetumia Trilioni 13 kutekeleza miradi mbali ya maji, elimu na afya kwa mwaka 2021/2022. Hii ikiwa ni zaidi ya robo ya bajeti Taifa iliyotengwa na serikali kwa mwaka wa fedha 2021/2022 ambayo ilikuwa ni kiasi cha trilioni 41. Ikiwa kila mkoa umetumia trilioni kiasi kama hicho basi Taifa zima litakuwa limetumia zaidi ya trilioni 400 kwa mwaka huo huku makusanyo yetu kila mwezi yakivunja record ni kama trilioni 2.

Wanasiasa huu uwongo mnaotengeneza utaligharimu taifa.

Trilioni 13 zatekeleza miradi ya afya, elimu Mbeya

View attachment 2459432
Naibu Waziri wa Maji na Mbunge Viti Maalum mkoa wa Mbeya, Mhandisi Maryprisca Mahundi akizungumza na wanachama wa Umoja wa Wanawake ( UWT) kutoka Wilaya sana za Mkoa wa Mbeya. Picha na Hawa Mathias.

By Hawa Mathias

Muktasari:​

  • Mkoa wa Mbeya umetumia zaidi ya Sh13 trilioni katika utekelezaji wa miradi ya Maendeleo ikiwepo elimu na afya ambapo kati ya hizo Sh12 trilioni zimetumika katika ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa kipindi cha mwaka 2021/22.

Mkoa wa Mbeya umetumia zaidi ya Sh13 trilioni katika utekelezaji wa miradi ya Maendeleo ikiwepo elimu na afya ambapo kati ya hizo Sh12 trilioni zimetumika katika ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa kipindi cha mwaka 2021/22.

Naibu Waziri wa Maji na Mbunge Viti Maalum Mkoa wa Mbeya, Mhandisi Maryprisca Mahundi amesema hayo leo Jumatatu Desemba 26, 2022 wakati akizungumza na wajumbe wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) kutoka Wilaya saba za Mkoa wa Mbeya.

Mhandisi Mahundi amesema kati ya fedha hizo Sh1 trilioni zimetumika katika ujenzi ya miundombinu ya vituo vya afya katika Wilaya za Chunya, Kyela, Rungwe, Mbeya Jiji na Mbeya vijijini huku trilion 12 zimetumika katika ujenzi wa vyumba vya madarasa 464 na Shule 172 kupitia Uviko-19.

Amesema “Tunaona vivyo hivyo katika Sekta ya Maji Mkoa (Mbeya) umepokea zaidi ya Sh250 bilioni kwa ajili ya kuanza utekelezaji wa mradi mkubwa wa maji kutoka mto Kiwira Wilaya ya Rungwe ambao utakuwa mwarobaini wa tatizo la maji”amesema.

Akifungua Mkutano huo, Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amesema licha ya uwekezaji mkubwa wa Serikali katika Mkoa wa Mbeya bado kuna changamoto ya suala la usafi katika maeneo mengi ya Jiji la Mbeya kutokuwa salama.

“Niwaombe madiwani wakati Serikali inaendelea kufanya mambo makubwa tuangalie namna ya kusimamia suala la usafi ikiwepo pembezoni mwa miundombinu ya barabara ambazo zinaendelea kujengwa kwani uchafu wa mazingira imekuwa tishio''amesema.

Mwenyekiti wa CCM, Wilaya ya Mbarali, Mary Mbilo amesema kuwa kazi kubwa zinazofanywa na Serikali ya awamu ya sita ikiwepo kwenye Sekta ya afya, elimu, maji na barabara vinawafanya kutembea kifua mbele.

Mwananchi
Tuwekee clip ya video tumsikilize wenyewe! Haiwezekani!
 
Back
Top Bottom