Tunajenga Taifa la Wajinga Kujinufaisha Kisiasa - Ati Trilioni 13 zatekeleza miradi ya afya, elimu Mbeya

Trilioni 12 kwa madarasa 464 ina maana kila darasa liligharimu bilioni 25. Duh! Hawa viongozi baadhi wanafanya CCM ikejeliwe
 
CCM MAFISADI INAMMANA WAMEGAWANA MATRILLION
 
Ccm wanatabia mbaya Sana ,wamealibu asilimia kubwa ya fikra KWa vijana
 
Hakuna mjanja wa hii Dunia bali ni Mwenye Enzi Mungu tu!
Kwani tumewaona wangapi?
Hata waliko peperushwa na Mungu hapa eleweki walahi!
Atatenda tu! Walahi[emoji24]
Vilio vyetu haviendi bure!
 
Zigo la lawama ktk tarakimu zisizo sawa watasukumiwa waandishi wa habari wa kiTanzania wasio makini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…