Tunajifunza nini kutokana na kitendo cha Raila Odinga kumpokea Rais Uhuru Kenyatta mjini Kisumu katika ziara ya kiserikali?

Tunajifunza nini kutokana na kitendo cha Raila Odinga kumpokea Rais Uhuru Kenyatta mjini Kisumu katika ziara ya kiserikali?

Hukuwa na nia ya sisi kujifunza kitu hapa
Lengo ilikuwa kuuelezea udhaifu wa mweshimiwa
.
.
Hata hivyo ngoja wajuvi waje.
Mimi lengo langu ni kutaka tujifunze kitu hapa kuwa kutofautiana kwa mawazo hakuwafanyi muwe maadui na badala yake kupokea "constructive critisism" kutafanya nchi isonge mbele kwa njia iliyo sahihi.
 
Tumeshuhudia wale wapinzani wakubwa wa kisiasa wa kisiasa nchini Kenya, Rais Uhuru Kenyatta na Raila Odibga, wakiwa kwenye meza moja, mjini Kisumu wakicheka na kutaniana, katika ziara aliyofanya Rais Uhuru Kenyatta mjini huko

Tukumbuke kuwa uhasama uliokuwepo kati ya Uhuru Kenyatta na Raika Odinga ilikuwa mkubwa, baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi Mkuu mwaka Jana ambapo Rais Uhuru Kenyatta alitangazwa mshindi katika duru ya pili, baada ya duru ya kwanza kutangazwa na mahakama nchini humo kuwa matokeo yake yalikuwa batili

Tukumbuke pia Raila Odinga akifikia hatua ya kujiapisha kuwa Rais wa wananchi, lakini kitendo hicho alichofanya Raila, ingawa kilikuwa cha kuvunja Katiba ya nchi, hatukumuona Rais, akiyaagiza majeshi "yake" yamkamate na kumweka ndani Raila Odinga

Nimefurahishwa na hatua iliyofikiwa na wahasimu hao wakubwa wa kisiasa nchini Kenya, ya kuombana msamaha kutokana na yaliyotokea Siku za nyuma na kauli zilizotolewa na viongozi hao wawili kuwa wanasimamia maslahi mapana ya Taifa lao na wanaweka pembeni maslahi yao binafsi

Hali ni tofauti sana nchini kwetu ambapo siasa za chuki ndizo zinazotawala

Tukumbuke kuwa kiongozi Mkuu wa Chama kikuu cha upinzani nchini,Freeman Mbowe, yupo Segerea hivi sasa kwa karibu mwezi mzima sasa, baada ya kufutiwa dhamana, kwa "maelekezo" ya Mkuu wa nchi, pale Chuo kikuu cha Dar, alipokuwa akifungua maktaba mpya, pale alipotamka hadharani na kumwambia aliyekuwa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, kuwa awaambie viongozi wenzake wa Chadema, wa-behave, ama sivyo wataishia magerezani!

Ndicho tunachokiona hivi sasa kwa mahakama nchini, kutekeleza "amri" ya Mkuu wa nchi, kuwafanya akina Mbowe waozee gerezani!

Tunajua kuwa Rais wetu hapendi kabisa kukosolewa na huko ku-behave anakoongelea yeye Rais ni kuwataka wapinzani hao wote wajiunge katika timu ya kusifu na kuabudu, juhudi za Mheshimiwa Rais katika kuwaletea maendeleo watanzania

Lakini Mheshimiwa Rais anasahau kuwa haitatokea hata Siku moja wapinzani wa nchi hii wakaungana na wanaccm na wananchi wengine, katika kutoa sifa pekee kwa Mheshimiwa Rais.

Ajue kuwa wajibu mkubwa wa viongozi wa vyama vya upinzani ni kuikosoa serikali ili ijirekebishe kwa ajili ya kuwaletea maendeleo chanya kwa wananchi wake

Inabidi Rais Magufuli aige mfano wa mwenzie wa Kenya, Uhuru Kenyatta, na kuona kuwa mpinzani wako siyo adui na unaweza kukaa naye meza moja na mkabadilishana mawazo kwa lengo la kuipeleka nchi mbele kimaendeleo

Ikiwa Rais Magufuli ana mawazo ya kuifanya nchi hii sote tuwe tunaimba mapambio ya kumsifu yeye tu, basi atasubiri sana na Siku hiyo kamwe haitafika, kwa kuwa ni sawasawa na kusubiri mto Rufiji, ukauke kabisa maji yake yanayotiririka!

Mungu ibariki Tanzania
Siku ya kwanza alipolihutubia Bunge wapinzani wakiongozwa na Mbowe walimsusia Jiwe ungetegemea Jiwe angewapigia magoti.
 
Tumeshuhudia wale wapinzani wakubwa wa kisiasa wa kisiasa nchini Kenya, Rais Uhuru Kenyatta na Raila Odibga, wakiwa kwenye meza moja, mjini Kisumu wakicheka na kutaniana, katika ziara aliyofanya Rais Uhuru Kenyatta mjini huko

Tukumbuke kuwa uhasama uliokuwepo kati ya Uhuru Kenyatta na Raika Odinga ilikuwa mkubwa, baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi Mkuu mwaka Jana ambapo Rais Uhuru Kenyatta alitangazwa mshindi katika duru ya pili, baada ya duru ya kwanza kutangazwa na mahakama nchini humo kuwa matokeo yake yalikuwa batili

Tukumbuke pia Raila Odinga akifikia hatua ya kujiapisha kuwa Rais wa wananchi, lakini kitendo hicho alichofanya Raila, ingawa kilikuwa cha kuvunja Katiba ya nchi, hatukumuona Rais, akiyaagiza majeshi "yake" yamkamate na kumweka ndani Raila Odinga

Nimefurahishwa na hatua iliyofikiwa na wahasimu hao wakubwa wa kisiasa nchini Kenya, ya kuombana msamaha kutokana na yaliyotokea Siku za nyuma na kauli zilizotolewa na viongozi hao wawili kuwa wanasimamia maslahi mapana ya Taifa lao na wanaweka pembeni maslahi yao binafsi

Hali ni tofauti sana nchini kwetu ambapo siasa za chuki ndizo zinazotawala

Tukumbuke kuwa kiongozi Mkuu wa Chama kikuu cha upinzani nchini,Freeman Mbowe, yupo Segerea hivi sasa kwa karibu mwezi mzima sasa, baada ya kufutiwa dhamana, kwa "maelekezo" ya Mkuu wa nchi, pale Chuo kikuu cha Dar, alipokuwa akifungua maktaba mpya, pale alipotamka hadharani na kumwambia aliyekuwa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, kuwa awaambie viongozi wenzake wa Chadema, wa-behave, ama sivyo wataishia magerezani!

Ndicho tunachokiona hivi sasa kwa mahakama nchini, kutekeleza "amri" ya Mkuu wa nchi, kuwafanya akina Mbowe waozee gerezani!

Tunajua kuwa Rais wetu hapendi kabisa kukosolewa na huko ku-behave anakoongelea yeye Rais ni kuwataka wapinzani hao wote wajiunge katika timu ya kusifu na kuabudu, juhudi za Mheshimiwa Rais katika kuwaletea maendeleo watanzania

Lakini Mheshimiwa Rais anasahau kuwa haitatokea hata Siku moja wapinzani wa nchi hii wakaungana na wanaccm na wananchi wengine, katika kutoa sifa pekee kwa Mheshimiwa Rais.

Ajue kuwa wajibu mkubwa wa viongozi wa vyama vya upinzani ni kuikosoa serikali ili ijirekebishe kwa ajili ya kuwaletea maendeleo chanya kwa wananchi wake

Inabidi Rais Magufuli aige mfano wa mwenzie wa Kenya, Uhuru Kenyatta, na kuona kuwa mpinzani wako siyo adui na unaweza kukaa naye meza moja na mkabadilishana mawazo kwa lengo la kuipeleka nchi mbele kimaendeleo

Ikiwa Rais Magufuli ana mawazo ya kuifanya nchi hii sote tuwe tunaimba mapambio ya kumsifu yeye tu, basi atasubiri sana na Siku hiyo kamwe haitafika, kwa kuwa ni sawasawa na kusubiri mto Rufiji, ukauke kabisa maji yake yanayotiririka!

Mungu ibariki Tanzania
Kenyatta hana lakufanya Jamaa ana nguvu sana itabidi ambembeleze vinginevyo anakinukisha imagine viongozi wakubwa wa mataifa ya nje wakienda Kenya lazima wakamsalimie Raila; Kenya ni kama ina Marais wawili
 
Siku ya kwanza alipolihutubia Bunge wapinzani wakiongozwa na Mbowe walimsusia Jiwe ungetegemea Jiwe angewapigia magoti.
Kwa hiyo jamaa ameona na yeye alipize kisasi kwa kumnyang'anya mike, mbunge John Heche wa Chadema,mbele ya wapiga kura wake, katika ziara yake hivi karibuni??

Hicho kitendo kilikuwa ni pure cha kishamba!
 
Ndiyo maana huwezi linganisha Kenya na Tanzania,, Kenya wametuzidi kielimu mpaka maendeleo,, sisi bado sana
 
Upinzani si uadui, mnaweza kuwa wapinzani lakini bado mnaweka mbele maslahi ya Nchi, kukaa meza moja, kujadiliana kustaarabu kutojenga chuki na uhasama wa hali ya juu hadi kufikia kutaka kutoana roho.
Karibu tena mkuu Mimi sijakuona kitambo sasa.
 
Siasa si uadui. Yaliyopita si ndwele tugange yajayo.
If you can't beat them, join them.
Acha misemo ya kingese.

Yani upinzani ni kupigana?Katiba si ingesema kuwe na chama kimoja?

Bunge lililopitisha kuwa na vyama vingi si lilikuwa na wana CCM pekee?kwanini waliruhusu upinzani?

Watanzania mna IQ ndogo sana manina zenu,
 
Raisi ana chuki,watu wake wa Protocal hawaandai wala kualika mpinzani na akija anawekwa kwa wananchi wa kawaida wakativijikada vya chama vipo haitebo.

Na akianza hotuba yake ya ovyo anawashambulia kwa matusi,nani avumilie
 
Uhuru atacheka na Odinga sawa ila hata wakifanya uchaguzi leo jioni na Odinga akashinda Uhuru hatokubali na hatoachia kijiti. Nchi nyingi za Afrika vyama tawala ni vyama vilivyomuondoa mkoloni vingine viliendesha mapambano kutokea msituni, vyenyewe huamini waliokuja baada ya wao ni mapandakizi ya wakoloni. Ni nadra kwa chama tawala kuachia madaraka kisa matokeo ya boksi la kura.
Kuombana msamaha haijamsaidia Odinga kumfutia mawazo hayo Uhuru.
Chama kilicho lrta uhuru kulikuwa siku nyingi Uhuru anawakilisha jubilee, muungano wa vyama
 
Tumeshuhudia wale wapinzani wakubwa wa kisiasa wa kisiasa nchini Kenya, Rais Uhuru Kenyatta na Raila Odibga, wakiwa kwenye meza moja, mjini Kisumu wakicheka na kutaniana, katika ziara aliyofanya Rais Uhuru Kenyatta mjini huko

Tukumbuke kuwa uhasama uliokuwepo kati ya Uhuru Kenyatta na Raika Odinga ilikuwa mkubwa, baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi Mkuu mwaka Jana ambapo Rais Uhuru Kenyatta alitangazwa mshindi katika duru ya pili, baada ya duru ya kwanza kutangazwa na mahakama nchini humo kuwa matokeo yake yalikuwa batili

Tukumbuke pia Raila Odinga akifikia hatua ya kujiapisha kuwa Rais wa wananchi, lakini kitendo hicho alichofanya Raila, ingawa kilikuwa cha kuvunja Katiba ya nchi, hatukumuona Rais, akiyaagiza majeshi "yake" yamkamate na kumweka ndani Raila Odinga

Nimefurahishwa na hatua iliyofikiwa na wahasimu hao wakubwa wa kisiasa nchini Kenya, ya kuombana msamaha kutokana na yaliyotokea Siku za nyuma na kauli zilizotolewa na viongozi hao wawili kuwa wanasimamia maslahi mapana ya Taifa lao na wanaweka pembeni maslahi yao binafsi

Hali ni tofauti sana nchini kwetu ambapo siasa za chuki ndizo zinazotawala

Tukumbuke kuwa kiongozi Mkuu wa Chama kikuu cha upinzani nchini,Freeman Mbowe, yupo Segerea hivi sasa kwa karibu mwezi mzima sasa, baada ya kufutiwa dhamana, kwa "maelekezo" ya Mkuu wa nchi, pale Chuo kikuu cha Dar, alipokuwa akifungua maktaba mpya, pale alipotamka hadharani na kumwambia aliyekuwa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, kuwa awaambie viongozi wenzake wa Chadema, wa-behave, ama sivyo wataishia magerezani!

Ndicho tunachokiona hivi sasa kwa mahakama nchini, kutekeleza "amri" ya Mkuu wa nchi, kuwafanya akina Mbowe waozee gerezani!

Tunajua kuwa Rais wetu hapendi kabisa kukosolewa na huko ku-behave anakoongelea yeye Rais ni kuwataka wapinzani hao wote wajiunge katika timu ya kusifu na kuabudu, juhudi za Mheshimiwa Rais katika kuwaletea maendeleo watanzania

Lakini Mheshimiwa Rais anasahau kuwa haitatokea hata Siku moja wapinzani wa nchi hii wakaungana na wanaccm na wananchi wengine, katika kutoa sifa pekee kwa Mheshimiwa Rais.

Ajue kuwa wajibu mkubwa wa viongozi wa vyama vya upinzani ni kuikosoa serikali ili ijirekebishe kwa ajili ya kuwaletea maendeleo chanya kwa wananchi wake

Inabidi Rais Magufuli aige mfano wa mwenzie wa Kenya, Uhuru Kenyatta, na kuona kuwa mpinzani wako siyo adui na unaweza kukaa naye meza moja na mkabadilishana mawazo kwa lengo la kuipeleka nchi mbele kimaendeleo

Ikiwa Rais Magufuli ana mawazo ya kuifanya nchi hii sote tuwe tunaimba mapambio ya kumsifu yeye tu, basi atasubiri sana na Siku hiyo kamwe haitafika, kwa kuwa ni sawasawa na kusubiri mto Rufiji, ukauke kabisa maji yake yanayotiririka!

Mungu ibariki Tanzania
Hakuna kitu kirahisi duniani kama kutawala watanzania
 
JPM aliyekua mpinzani wake katika uchaguzi ndugu maMvi wanaelewana. JPM hana tatizo na DJ , tatizo lenu mnalazimisha ionekane kuna bifu kati ya JPM na DJ. DJ ameikosea heshma mahakama na mahakama ni mhimili unao jitegemea na Mahakama imeamua kumkumbusha DJ kwamba asiingize siasa uchwara na dharau kwenye kesi inayo endelea.
[emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji1787]mahakama ya Tanzania ni muhimili unaojitegemea? Mahakama ipo hiyo? Iliyowafutia kesi askari waliyo status risasi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Iyo ndyo siasa. Huku kwetu siasa imeingiliwa na mshirikina anayeamini katika visasi, mauwaji na utekaji.
 
Tumejifunza kwamba “penye udhia, penyeza rupia”. Hakuna Mpinzani yeyote mgumu pale ambapo maslahi yake binafsi (cheo, fedha, business opportunities) yanapopaliliwa na kuneemeshwa
 
Kuna siku moja Simba na Yanga wataungana na kuwa timu moja japokuwa sio maadui . Just thinking tu.
 
Back
Top Bottom