Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Awajue mara ngapiSirro keshajua akina nani walimpiga Lissu risasi na kumpoteza Azory Gwanda na Ben Saanane?
Alishwajua kabla hata Tundu hajachakazwa kwa mabomu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Awajue mara ngapiSirro keshajua akina nani walimpiga Lissu risasi na kumpoteza Azory Gwanda na Ben Saanane?
Mwambie mabeberu wameshasema mashataka atafunguliwa yeye personally na sio hicho cheo chake.
Jiwe asingekuwa muuaji na mvunjifu wa demokrasia na haki za binadamu tungemuunga mkono tu, kwa sasa usitupangie chochote Mkuu.Nachowapendea wapinzani ni mikwara yao inayoishia hewani tu.
Ni haki yake kupatiwa ulinzi akishapitishwa kuwa mgombea.Amesema Tundu Lissu akipitishwa kuwa mgombea watampatia ulinzi.
Na wewe kwa hiyo akili yako ya elfu saba unadhani hayatawezana hayo?Yaani na wee na akiri yako unadhani hayo yanawezekana kijinga kijinga hivyo?
Unataka waje wakung'oe hizo korodani ndipo uwaamini?Nachowapendea wapinzani ni mikwara yao inayoishia hewani tu.
Si ili alindwe vizuri, likitokea la kutokea basi PT walalamikiwe kama hamtaki tujue basi likitokea la kutokea basi hakuna haja ya kulalamika.Booo! WTF? Really come on dude!
Siro utafikiri hajaenda shule kabisa! Anaongelea amani, baraka ya kusisitiza haki kutendeka ili kuepusha uvunjifu wa amani?!
Hivi anajufanganya polisi wanaweza kukabiliana na wananchi wakiamua kutetea haki yao inayoelekea kuporwa!
Anajidanganya na anongea kimaamuma kabisa! Ulimwengu wa leo hakunaga polisi inaweza kuleta amani wananchi wakiamua! Aache kutisha watu kijinga
Hakuna awamu ambayo hamkosi sababu ya kupinga utawala uliopo ,Jiwe asingekuwa muuaji na mvunjifu wa demokrasia na haki za binadamu tungemuunga mkono tu, kwa sasa usitupangie chochote Mkuu.
Nilidhani unafahamu hadi ukajibu.Booo ndio nini wewee[emoji34][emoji34][emoji34]
IweweEti nini?
Mbaaff!
Msikilize kwa makini IGP Sirro kuanzia dakika ya 33 hadi mwisho.
OK lakini huyo ndo Sirro mkuu, IGP wetu watanzania.
Usiombeee waamua kufanya kweli tutaumia woteNachowapendea wapinzani ni mikwara yao inayoishia hewani tu.
Kitu kinachonifurahisha ndio hicho jina likiwa la kizungu tu basi Wanaharakati na Chadema wanaharisha. Kazi kweli kweli. Bado mna mawazo ya kikoloni, Tanzania ni nchi huru aje huyo mjinga wenu tutamweka ndani shwaini kabisa.Robert Amsterdam yupo anawazoom tu ila siku wakija kupelekwa the heague aliyewatuma atawakana kilomita 6
anajua hawataweza kutumia nguvu kubwa hivyo anajaribu kuwatisha wananchi waogope kutekeleza haki zao kama kukusanyika na kulinda kura.Huyu siro anaongea, sana siku hizi kaacha ukamanda amekuwa mwanasiasa.