Tunakumbushana: Marumo Gallants walishafungwa Ugenini 4-1 na USM Algers, 2-0 na Al Akhdar ila kwao wakashinda 4-1 na 2-0 na kuvuka

Tunakumbushana: Marumo Gallants walishafungwa Ugenini 4-1 na USM Algers, 2-0 na Al Akhdar ila kwao wakashinda 4-1 na 2-0 na kuvuka

Umeniwah mkuu yan nikionaga post zake najiuliza uju ni mwanaume au ??
Yaani kama mwanamke mwanamke tu maneno yake. Lazima kuna shida fulani kwa huyu binadamu. Kwa sisi wenye kuunga dot zile za Mossad kwa jinsi alivyo na wafuasi wengi unajua tu hapo kuna jambo
 
Una s
Tuendelee kufurahia mara ya mwisho mwisho Ushindi wa kumfunga Marumo Gallants FC Goli 2 za kindondocha kwani tarehe 17 Mei, 2023 tutakuwa na huzuni kubwa na kurejea kuendelea na Madafu NBC Rushwa Rushwa GSM Premier League yetu.

Wenye akili tunajua Yanga SC ameshatoka tayari katika hatua hii ya Nusu Fainali ya CAFCC kwani hata afanyeje hawezi kutoka Afrika Kusini wiki ijayo.

Kudadadeki.

ANGALIZO: Kwa wewe (kisokolokwinyo (muwashwaji muwashwaji) unayejijua humpendi GENTAMYCINE na mada zake/Uwasilishaji wake hapa JamiiForums tafadhali tusichoshane na acha kabisa kusoma na hata kuchangia bali watafute Members wengine unaowaona ni bora kwako na unawakubali kuliko mimi.

Nimemaliza.

Tuendelee kufurahia mara ya mwisho mwisho Ushindi wa kumfunga Marumo Gallants FC Goli 2 za kindondocha kwani tarehe 17 Mei, 2023 tutakuwa na huzuni kubwa na kurejea kuendelea na Madafu NBC Rushwa Rushwa GSM Premier League yetu.

Wenye akili tunajua Yanga SC ameshatoka tayari katika hatua hii ya Nusu Fainali ya CAFCC kwani hata afanyeje hawezi kutoka Afrika Kusini wiki ijayo.

Kudadadeki.

ANGALIZO: Kwa wewe (kisokolokwinyo (muwashwaji muwashwaji) unayejijua humpendi GENTAMYCINE na mada zake/Uwasilishaji wake hapa JamiiForums tafadhali tusichoshane na acha kabisa kusoma na hata kuchangia bali watafute Members wengine unaowaona ni bora kwako na unawakubali kuliko mimi.

Nimemaliza.
Una shida
 
Tuendelee kufurahia mara ya mwisho mwisho Ushindi wa kumfunga Marumo Gallants FC Goli 2 za kindondocha kwani tarehe 17 Mei, 2023 tutakuwa na huzuni kubwa na kurejea kuendelea na Madafu NBC Rushwa Rushwa GSM Premier League yetu.

Wenye akili tunajua Yanga SC ameshatoka tayari katika hatua hii ya Nusu Fainali ya CAFCC kwani hata afanyeje hawezi kutoka Afrika Kusini wiki ijayo.

Kudadadeki.

ANGALIZO: Kwa wewe (kisokolokwinyo (muwashwaji muwashwaji) unayejijua humpendi GENTAMYCINE na mada zake/Uwasilishaji wake hapa JamiiForums tafadhali tusichoshane na acha kabisa kusoma na hata kuchangia bali watafute Members wengine unaowaona ni bora kwako na unawakubali kuliko mimi.

Nimemaliza.
"Dua la kuku halimpati mwewe."Mwewe huwapitia vifaranga tu pasi na taabu yoyote na kuwapelekea wanae huku akiahidi kuwamaliza vifaranga wote wa mama kuku.

Hiyo timu wasukuma wanaiita MALOMO GA MBITI ambayo ni aina fulani ya mpunga , imekwisha umaliza mwendo kama wazee wa kufa kiume.
 
Yanga atafungwa Goli 3 kwa 0 au 4 kwa 1 huko Afrika Kusini dhidi ya Marumo Gallants FC tarehe 17 May, 2023 na Kutolewa kabisa. Niamini na tunza hii Post yangu tafadhali.
Hakuna Timu pale mkuu wataingia kwa kushambulia ili wapate magoli kama Yanga wakijaza kiungo watafungwa na kwao hizo tarehe ilitakiwa niwe huo mji naona ratiba zinabana ningekutumia picha za magoli ya Yanga Live...
 
Tuendelee kufurahia mara ya mwisho mwisho Ushindi wa kumfunga Marumo Gallants FC Goli 2 za kindondocha kwani tarehe 17 Mei, 2023 tutakuwa na huzuni kubwa na kurejea kuendelea na Madafu NBC Rushwa Rushwa GSM Premier League yetu.

Wenye akili tunajua Yanga SC ameshatoka tayari katika hatua hii ya Nusu Fainali ya CAFCC kwani hata afanyeje hawezi kutoka Afrika Kusini wiki ijayo.

Kudadadeki.

ANGALIZO: Kwa wewe (kisokolokwinyo (muwashwaji muwashwaji) unayejijua humpendi GENTAMYCINE na mada zake/Uwasilishaji wake hapa JamiiForums tafadhali tusichoshane na acha kabisa kusoma na hata kuchangia bali watafute Members wengine unaowaona ni bora kwako na unawakubali kuliko mimi.

Nimemaliza.
So what we makolo!!!
 
Tuendelee kufurahia mara ya mwisho mwisho Ushindi wa kumfunga Marumo Gallants FC Goli 2 za kindondocha kwani tarehe 17 Mei, 2023 tutakuwa na huzuni kubwa na kurejea kuendelea na Madafu NBC Rushwa Rushwa GSM Premier League yetu.

Wenye akili tunajua Yanga SC ameshatoka tayari katika hatua hii ya Nusu Fainali ya CAFCC kwani hata afanyeje hawezi kutoka Afrika Kusini wiki ijayo.

Kudadadeki.

ANGALIZO: Kwa wewe (kisokolokwinyo (muwashwaji muwashwaji) unayejijua humpendi GENTAMYCINE na mada zake/Uwasilishaji wake hapa JamiiForums tafadhali tusichoshane na acha kabisa kusoma na hata kuchangia bali watafute Members wengine unaowaona ni bora kwako na unawakubali kuliko mimi.

Nimemaliza.
Unajisikiaje sasa?
Sijui nikuite kenge au popo?
 
Tuendelee kufurahia mara ya mwisho mwisho Ushindi wa kumfunga Marumo Gallants FC Goli 2 za kindondocha kwani tarehe 17 Mei, 2023 tutakuwa na huzuni kubwa na kurejea kuendelea na Madafu NBC Rushwa Rushwa GSM Premier League yetu.

Wenye akili tunajua Yanga SC ameshatoka tayari katika hatua hii ya Nusu Fainali ya CAFCC kwani hata afanyeje hawezi kutoka Afrika Kusini wiki ijayo.

Kudadadeki.

ANGALIZO: Kwa wewe (kisokolokwinyo (muwashwaji muwashwaji) unayejijua humpendi GENTAMYCINE na mada zake/Uwasilishaji wake hapa JamiiForums tafadhali tusichoshane na acha kabisa kusoma na hata kuchangia bali watafute Members wengine unaowaona ni bora kwako na unawakubali kuliko mimi.

Nimemaliza.
Habari mkuu, unasemaje kuhusu match ya Yanga VS US Alger?
 
Back
Top Bottom