Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Ila haifuti ukweli kuwa mtabutuliwa1. Simba washapiga BILIONI 5 ZA SUPER LEAGUE.
2. Simba inawakilisha TAIFA kwenye Super league
3. Marais WA Fifa na CAF watakuja Tanzania kwaajili ya ufunguzi WA mashindano ya super League.
4. KUTANGAZA vivutio vya Utalii ndani ya nchi.
5. Kukarabatiwa kwa uwanja wa Benjamin Mkapa.
UTOPOLO MAPUMBAFU SANA.
WENYE AKILI NI WAWILI TU.
Sema robo final. Au unajitoa uf...Nguvu moya out mapema tu
Sawa dada unateseka ukiwa wapPira Papatu papatu wanaenda kuliaibisha Taifa!!
Kuandika kwako tu shida. Vp humo kichwan?Papatu papatu fc mechi yao moja tu! Nimekaa pale gizani Buza kwa Mpalanger nawasubiri Makolo fc waje kushtaki timu pinzani eti imechezesha mamluki kina Sadio Mane, Ronaldo, Naymar na Benzema!
Hii ligi itaonesha panapovuja kwa vibonde Simba guvu moya!
Na ni timu nane tu Afrika, hivyo mashabiki wa timu nyingine ambazo hazimo hawapaswi kufuatilia na kutoa comments. Inawezekana timu nyingine zimejisahau zinadhani na zenyewe zimo, ni vizuri ukaweka orodha ya timu nane bora hapa zitakazoshirikiNarudia tena, hakuna makundi ni mtoano mpaka mwisho!!