Tunakumbushana tu! Hakuna pointi ni mtoano tu!

Tunakumbushana tu! Hakuna pointi ni mtoano tu!

I
1. Simba washapiga BILIONI 5 ZA SUPER LEAGUE.

2. Simba inawakilisha TAIFA kwenye Super league

3. Marais WA Fifa na CAF watakuja Tanzania kwaajili ya ufunguzi WA mashindano ya super League.

4. KUTANGAZA vivutio vya Utalii ndani ya nchi.

5. Kukarabatiwa kwa uwanja wa Benjamin Mkapa.

UTOPOLO MAPUMBAFU SANA.

WENYE AKILI NI WAWILI TU.
Ila haifuti ukweli kuwa mtabutuliwa
 
Hii kitu ni maumivu sana kwa YANGA, asikwambie mtu..

Hii LEAGUE itafifisha ACL..
 
Nashangaa kuna watu litimu lao halishiriki still haiwaumi wako comfortable kabisa.
 
Papatu papatu fc mechi yao moja tu! Nimekaa pale gizani Buza kwa Mpalanger nawasubiri Makolo fc waje kushtaki timu pinzani eti imechezesha mamluki kina Sadio Mane, Ronaldo, Naymar na Benzema!

Hii ligi itaonesha panapovuja kwa vibonde Simba guvu moya!
Kuandika kwako tu shida. Vp humo kichwan?
 
Narudia tena, hakuna makundi ni mtoano mpaka mwisho!!
Na ni timu nane tu Afrika, hivyo mashabiki wa timu nyingine ambazo hazimo hawapaswi kufuatilia na kutoa comments. Inawezekana timu nyingine zimejisahau zinadhani na zenyewe zimo, ni vizuri ukaweka orodha ya timu nane bora hapa zitakazoshiriki
 
Back
Top Bottom