Tunakuomba Mungu umponye Le Mutuz , arudi tena kwenye shughuli zake kama siku zote , Amina

Tunakuomba Mungu umponye Le Mutuz , arudi tena kwenye shughuli zake kama siku zote , Amina

Kageuza ugonjwa mtaji huyo [emoji23]

Ova
 
57488407_463577281115947_3336514755860497643_n.jpg
 
hahahaha unajua Lemutuz anaumwa lakini bado nikimcheki nacheka tuu ni kiwaza vituko vyake...
You know ledaftari la wagonjwa limejaa majina ya mabebi you know.....
You know ugonjwa wangu ni five star....hahahha
Get well soon lemutuz
 
Mange kasema ana Kibamia cha Taifa.
 
Back
Top Bottom