Tunakuomba Mungu umponye Le Mutuz , arudi tena kwenye shughuli zake kama siku zote , Amina

Tunakuomba Mungu umponye Le Mutuz , arudi tena kwenye shughuli zake kama siku zote , Amina

You know nikifa naagwa pale 5 STAR HOTEL serena
 
Pole le bilionea unaemiliki blog.
I mean supa.🤛unatoka mzima hapo maana hamna AC you kno!
Bongo nyonso soon utamuomba x wife akurudishe US Ukamsaidie japo kuosha vyombo.
 
Huyu bwanyenye kumbe ameanza kuumwa muda mrefu?!!!!!! Hi I amepona maana mpaka juzijuzi nilisikia yupo India kwani anaumwa nini?
 
Inakuwaje Mzee Malechela yupo fiti huyo Dogo ndio Hoi Hoi! Shika kweli jamani
Vipi Kigwangala alienda hapo
 
Hes living large at posta down town hes humbled you know hahahaaa!!

LMTZ.jpg
 
Back
Top Bottom