Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kakukosea nini jamani huyu binadamuNaomba afe hata kesho ... Mnafiki ukimuombea uhai unapata dhambi
halafu mimi simuelewagi huyu jamaa anafanya kazi gani mpaka anakuwa maarufu hivi halafu sikujua kumbe ni mtoto wa waziri mkuu mstaafu mzee malecela ana dili gai huyu jamaa mjini hapa?
Mbona kapungua sanaView attachment 1088949
Pichani ni Mwanamuziki Diamond Platnumz akimfariji Mfalme wa Social Media , Le Mutuz Nation .
Wito kwa wana jf wenzangu tumuombee rafiki yetu huyu
Naomba kuwasilisha
Huyu Diamond keshampa pole babaake kwa kuumwa miguu kweli?
UKO DUNIA GANI MKUU? WATU WAMEKUTANA NA KUCHEZA MZIKI PAMOJAHuyu Diamond keshampa pole babaake kwa kuumwa miguu kweli?
63Hivi atakuwa ana umri gani ?
Duh ! Kikongwe .
Ni msaidizi binafsi wa Makondahalafu mimi simuelewagi huyu jamaa anafanya kazi gani mpaka anakuwa maarufu hivi halafu sikujua kumbe ni mtoto wa waziri mkuu mstaafu mzee malecela ana dili gai huyu jamaa mjini hapa?
Wewe kweli Mnya -nyembeNaomba afe hata kesho ... Mnafiki ukimuombea uhai unapata dhambi
Baada ya songombingo la kufa mtu, ila kwa Le bebezz kama uji na mgonjwa.UKO DUNIA GANI MKUU? WATU WAMEKUTANA NA KUCHEZA MZIKI PAMOJA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ugonjwa wake ni 5 star? Kama sio 5 star hatumuombei.
Ni kweli Gukuu!! Ukimuombea uhai unapata dambiWewe kweli Mnya -nyembe
Kila siku unaombea watu wafe huwa wamekukosea nini? Shetani mkubwa wewe usiseme kitu.kakukosea nini jamani huyu binadamu
Huoni yuko JKCI? Wanaendaga wenye matatizo ya Moyo tu hapo. Get well soon Le Mutuz.Hivi anasumbuliwa na nini? Ni muda sasa toka nimesikia yuko Hospitali
Pole kwake..!
Dudu la Yuyu naona kama kaajiriwa Tanesko. Siyo kwa mashavu Yale jamani.Yule mzee haitaji pole ya maneno anataka pesa akanywee gongo
Huyu lazima aumwe kwa tumbo hilo.. Ana tumbo kama kiboko