ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Inasikitisha sana.......Yani hamna kitu kinauzi Kama Kila siku serekalini ajira zikijaa watu Ni wale waleee....waliowai kupitaa kwani hakuna wengineee
Yule katili ilikuwa lazima afe tu no waytelegram huna busara. Huyo unayamtukana ndiye aliyeleta ushindi CCM. Na ndiyo huyo wewe na genge lako mliahirisha kumuua ili uchaguzi ashinde ili akifa awaachie nchi mtawale kiurahisi. Ila sasa badala ya kuwa wauaji wastaarabu mnajitokeza kumbeza huyo huyo mliyemuua mkidhani mtabaki salama. Hakuna dhambi isiyokuwa na mwisho. Onyo ni kuwa shangilieni mkijua Mungu huyu huyu aliyeruhusu Yesu Kristo
Akateswa na kufa ndiyo huyo huyo alimfufua Yesu na kumfanya amuangamize shetani. Na hata leo Jina la Yesu Kristo linamtesa sana shetani aliyeshangilia kifo cha Yesu akidhani kifo chake kilikuwa mwisho. Shetani muda wake ulikuwa ni siku ya kwanza na ya pili na ya tatu ilikuwa ushindi kwa Yesu Kristo alipoyashinda Mauti.
Kiama chenu chaja!
Allah si ndo alimtokea pangoni huyo mtume wao akampiga mabanzi! Kwa hiyo Allah huwa anaua watu maana unasema hata Magufuli aliuliwa na Allah!Kwa hiyo mkuu hata wewe ukifa ni allah amekuchukua sababu ya unyama wako? Mbona huna akili kiasi hicho? Huyo allah na yeye atakua taahira.
Ulipotea mkuuEveryone is innocent until proven guilty
Hata ww utabinuka tu is just a matter of timeYule katili ilikuwa lazima afe tu no way
Angalia nani kamteua,naaliye mteua alishapitia wapi,mambo mengine ni vifuta machozi vya watu utahangaika na kujiuliza maswali mengi ya bureTulisaidie Taifa kwa maombi au kwa njia yoyote inayofaa. Awamu iliyopita Gachuma alikamatwa kwa tuhuma mbalimbali na kufikishwa mahakamani Kisha kunyimwa dhamana.
Wakati tukiwa kwenye sintofahamu kuhusu uhalifu aliotenda, Serikali ile ile, chama kilekile na watu walewale leo hii wameteu mtu yuleyule kwenda kwenye bodi nyeti ya Tanesco.
Naomba kujua kwanini hatuna utaratibu wa kuweka vigezo kupata watu kwenye taasisi nyeti na maeneo nyeti?
Kwamba wakati wa awamu ya Tano alionewa na kudhalilishwa bila hatia au imekaaje?
Waumini wa allah wengi madishi yameyumba. Zero brain maana huwezi kua na akili timamu ukaamini hicho kiumbe chao. Na wanayokisifi sasa😂😂 hadi inasikitisha.Allah si ndo alimtokea pangoni huyo mtume wao akampiga mabanzi! Kwa hiyo Allah huwa anaua watu maana unasema hata Magufuli aliuliwa na Allah!
Acha kumlinganisha Yesu Kristo na marehemu.telegram huna busara. Huyo unayamtukana ndiye aliyeleta ushindi CCM. Na ndiyo huyo wewe na genge lako mliahirisha kumuua ili uchaguzi ashinde ili akifa awaachie nchi mtawale kiurahisi. Ila sasa badala ya kuwa wauaji wastaarabu mnajitokeza kumbeza huyo huyo mliyemuua mkidhani mtabaki salama. Hakuna dhambi isiyokuwa na mwisho. Onyo ni kuwa shangilieni mkijua Mungu huyu huyu aliyeruhusu Yesu Kristo
Akateswa na kufa ndiyo huyo huyo alimfufua Yesu na kumfanya amuangamize shetani. Na hata leo Jina la Yesu Kristo linamtesa sana shetani aliyeshangilia kifo cha Yesu akidhani kifo chake kilikuwa mwisho. Shetani muda wake ulikuwa ni siku ya kwanza na ya pili na ya tatu ilikuwa ushindi kwa Yesu Kristo alipoyashinda Mauti.
Kiama chenu chaja!
Tulia anaenda kuchuma tenaTulisaidie Taifa kwa maombi au kwa njia yoyote inayofaa. Awamu iliyopita Gachuma alikamatwa kwa tuhuma mbalimbali na kufikishwa mahakamani Kisha kunyimwa dhamana.
Wakati tukiwa kwenye sintofahamu kuhusu uhalifu aliotenda, Serikali ile ile, chama kilekile na watu walewale leo hii wameteu mtu yuleyule kwenda kwenye bodi nyeti ya Tanesco.
Naomba kujua kwanini hatuna utaratibu wa kuweka vigezo kupata watu kwenye taasisi nyeti na maeneo nyeti?
Kwamba wakati wa awamu ya Tano alionewa na kudhalilishwa bila hatia au imekaaje?
Mtume ni mbakaji tu angekuwepo saizi angepigwa mvua miaka 30!Acha kumlinganisha Yesu Kristo na marehemu.
Jaribu kuheshimu imani yangu kidogo badi.
Wacha kupotosha lini Gachuma akikamatwaTulisaidie Taifa kwa maombi au kwa njia yoyote inayofaa. Awamu iliyopita Gachuma alikamatwa kwa tuhuma mbalimbali na kufikishwa mahakamani Kisha kunyimwa dhamana.
Wakati tukiwa kwenye sintofahamu kuhusu uhalifu aliotenda, Serikali ile ile, chama kilekile na watu walewale leo hii wameteu mtu yuleyule kwenda kwenye bodi nyeti ya Tanesco.
Naomba kujua kwanini hatuna utaratibu wa kuweka vigezo kupata watu kwenye taasisi nyeti na maeneo nyeti?
Kwamba wakati wa awamu ya Tano alionewa na kudhalilishwa bila hatia au imekaaje?
Mtume yupi huyo unamwongelea?.Mtume ni mbakaji tu angekuwepo saizi angepigwa mvua miaka 30!
Bongo yetu hii, ukizaliwa kwenye umasikini kutoka humo ni mpaka mtu wa kwenye system akupe ABC...
MJINI KILA KITU NI MAELEKEZO.
Awamu ya 5 kilikuwa kipindi cha giza. Huwezi kumhukumu yeyote, kwa kuzingatia mtu huyo alionekana namna gani awamu ya 5. Awamunya 5 ulikuwa ni uongozi wa kinyama. Tulipoteza muda, tunatakiwa kuanza upya. Samia anapokosea sana ni kubeba uozo wa awamu ya 5 katika baadhi ya mambo ya kijinga kabisa kama kubambikia watu kesi.Tulisaidie Taifa kwa maombi au kwa njia yoyote inayofaa. Awamu iliyopita Gachuma alikamatwa kwa tuhuma mbalimbali na kufikishwa mahakamani Kisha kunyimwa dhamana.
Wakati tukiwa kwenye sintofahamu kuhusu uhalifu aliotenda, Serikali ile ile, chama kilekile na watu walewale leo hii wameteu mtu yuleyule kwenda kwenye bodi nyeti ya Tanesco.
Naomba kujua kwanini hatuna utaratibu wa kuweka vigezo kupata watu kwenye taasisi nyeti na maeneo nyeti?
Kwamba wakati wa awamu ya Tano alionewa na kudhalilishwa bila hatia au imekaaje?
hata mimi nimeshangaa kwa kweli.Acha kuchanganya mambo, Zakaria amekuwa Gachuma?
Wameshasahau enzi za CCM ya Kikwete, wanachama kuzomewa na magwanda yao.telegram huna busara. Huyo unayamtukana ndiye aliyeleta ushindi CCM. Na ndiyo huyo wewe na genge lako mliahirisha kumuua ili uchaguzi ashinde ili akifa awaachie nchi mtawale kiurahisi. Ila sasa badala ya kuwa wauaji wastaarabu mnajitokeza kumbeza huyo huyo mliyemuua mkidhani mtabaki salama. Hakuna dhambi isiyokuwa na mwisho. Onyo ni kuwa shangilieni mkijua Mungu huyu huyu aliyeruhusu Yesu Kristo
Akateswa na kufa ndiyo huyo huyo alimfufua Yesu na kumfanya amuangamize shetani. Na hata leo Jina la Yesu Kristo linamtesa sana shetani aliyeshangilia kifo cha Yesu akidhani kifo chake kilikuwa mwisho. Shetani muda wake ulikuwa ni siku ya kwanza na ya pili na ya tatu ilikuwa ushindi kwa Yesu Kristo alipoyashinda Mauti.
Kiama chenu chaja!
sasa mnataka Bodi ya wakurugenzi wa Tanesco tuweke watoto wa shule, au graduates ambao hawana exposure yeyote au walimu wa UDSM? Hizi bodi za mashirika makubwa zinahitaji wasomi wenye exposure yakuendesha mashirika tofautitofauti kwa mafanikio au wafanyabiasahra wakubwa wenye uzeofu na big business....
Nafasi za kupugua kelele kwa mwezangu na mimi wa huku Tandika zipo lakini sio hizi..
mhalifu ni aliyehukumiwa kifungo jela na mahakama zaidi ya hapo sio mhalifu ni uonevuvwa awamu iliyopita kutumia polisi kubambikia kesi siziso na kichwa wala miguu,hushangai upelelezi kuchukua miaka minne baadaye mtu anaachiwa. Ilikuwa awamu ya kijambazi ya kutaka fedha za wenye nazo.Nafasi 5 za kurugenzi Tanesco zipo wazi, zinasubiri Makamba aweke watu wake, so tutegemee wahalifu zaidi