Tunakwenda wapi? Gachuma awamu ya tano Mwalifu, awamu ya sita mjumbe bodi ya TANESCO

Tunakwenda wapi? Gachuma awamu ya tano Mwalifu, awamu ya sita mjumbe bodi ya TANESCO

telegram huna busara. Huyo unayamtukana ndiye aliyeleta ushindi CCM. Na ndiyo huyo wewe na genge lako mliahirisha kumuua ili uchaguzi ashinde ili akifa awaachie nchi mtawale kiurahisi. Ila sasa badala ya kuwa wauaji wastaarabu mnajitokeza kumbeza huyo huyo mliyemuua mkidhani mtabaki salama. Hakuna dhambi isiyokuwa na mwisho. Onyo ni kuwa shangilieni mkijua Mungu huyu huyu aliyeruhusu Yesu Kristo
Akateswa na kufa ndiyo huyo huyo alimfufua Yesu na kumfanya amuangamize shetani. Na hata leo Jina la Yesu Kristo linamtesa sana shetani aliyeshangilia kifo cha Yesu akidhani kifo chake kilikuwa mwisho. Shetani muda wake ulikuwa ni siku ya kwanza na ya pili na ya tatu ilikuwa ushindi kwa Yesu Kristo alipoyashinda Mauti.

Kiama chenu chaja!
Na Mungu huyo huyo ndiye aliyemnusuru TL kuchomoka kwenye tundu la umauti, isitoshe Mungu huyo huyo ndiye aliyemchukua Dikteta na watanzania kufarijika kwa kuondokewa na shujaa.
 
Na Mungu huyo huyo ndiye aliyemnusuru TL kuchomoka kwenye tundu la umauti, isitoshe Mungu huyo huyo ndiye aliyemchukua Dikteta na watanzania kufarijika kwa kuondokewa na shujaa.
Kama wanavyofarijika sasa baada ya gaidi kukamatwa
 
Upo sahihi, Bad things ni kuwa Kingai , Mahita Jr na wanaoshuhudia uongo wapo katika dimbwi la sonona kuu.
Bad things ni kwamba wale walioshangilia kifo cha shujaa ndio hao wako rumande huku wafuasi wao wakilia lia hovyo tu
 
Kinachokwenda kuvalishwa hapa ni makundi yakiutawala ambayo, utaishi vizuri tu flani akiwa Rais lakini ikiwa tofauti utaishia kulia na kusaga meno. Tukiendelea na huu mfumo wakula nchi kirafiki na kidini au kikanda tunamomonyoa hata kile kidogo kilichobaki kutuunganisha
Sad truth...Wa maombi tutaonekana kama hamnazo but njia ya mwovu imejaa kizaa na utelezi just give it time....God never lies...
Be warned!
 
Wengi huwa mnakaza sana fuvu mkiambiwa mdai katiba mpya bora itakayopunguza mamlaka ya wanasiasa sasa leo mnalia badala ya kutafuta uvumbuzi wa kudumu.

Hizi nafasi zitakua za weledi endapo tu mamlaka ya uteuzi yataondolewe kwa waziri/rais na yawe chini ya committe maalum ya wataalam wa jambo husika.
 
Tulisaidie Taifa kwa maombi au kwa njia yoyote inayofaa. Awamu iliyopita Gachuma alikamatwa kwa tuhuma mbalimbali na kufikishwa mahakamani Kisha kunyimwa dhamana.

Wakati tukiwa kwenye sintofahamu kuhusu uhalifu aliotenda, Serikali ile ile, chama kilekile na watu walewale leo hii wameteu mtu yuleyule kwenda kwenye bodi nyeti ya Tanesco.

Naomba kujua kwanini hatuna utaratibu wa kuweka vigezo kupata watu kwenye taasisi nyeti na maeneo nyeti?

Kwamba wakati wa awamu ya Tano alionewa na kudhalilishwa bila hatia au imekaaje?
Samahani mkuu, nadhani umesahau kidogo, lakini kwa kukukumbusha Gachuma hakuwahi kushtakiwa popote enzi za awamu ya tano, na kwa kukusaidia ndiye mtu aliekua akimpokea mkuu mara zote akiwa na ziara jijini Mwanza, ni vile mafaili yako umeyaweka mbali kidogo, mtu aliyepata maswaibu hapa ni rafiki yake Gachuma aitwae Peter Zakaria kuhusu suala la Nyanza corporation na si Gachuma kama unavyotaka kuaminisha umma hapa,

wakati mwingine fanya kautafit kidogo kabla ya kuleta habari inayoweza kuzua taharuki zisizo za lazima

nawasilisha,
 
Wengi huwa mnakaza sana fuvu mkiambiwa mdai katiba mpya bora itakayopunguza mamlaka ya wanasiasa sasa leo mnalia badala ya kutafuta uvumbuzi wa kudumu.

Hizi nafasi zitakua za weledi endapo tu mamlaka ya uteuzi yataondolewe kwa waziri/rais na yawe chini ya committe maalum ya wataalam wa jambo husika.
Hivi kuna watu walitegemea Janwari kujinyea atafanya jambo lolote la maana hapo wizara ya madini?
 
Yani hamna kitu kinauzi Kama Kila siku serekalini ajira zikijaa watu Ni wale waleee....waliowai kupitaa kwani hakuna wengineee
Wana 'Connection' ndio maana wanapata wale wale kila siku.
Kama alikuwa mualifu na kushtakiwa mahakamani kesi yake iliishaje??

Yule jamaa alikuwa na chuki sana na matajiri, aliifilisi nchi akawa anakamata matajiri na kuwalazimisha wampe pesa. Ukimkatalia ndio unaishia kukutwa na hayo mambo.
Dah!...let the man rest.
 
Wewe mleta mada ebu acha uwongo wako! Ebu eleza vizuri ni lini Christopher Mwita Gachuma alikamatwa wakati wa Serikali ya awamu ya 5!
Mzee Gachuma ni kiongozi na mfanyabiashara anayeheshimika Nchini na ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (MNEC), Mjumbe na Mwenyekiti wa Bodi mbalimbali hapa Nchini na Mwekezaji Mkubwa katika Sekta ya Viwanda ( Anajua umuhimu wa Umeme)! Sasa wewe ulitaka uteuliwe wewe kwenye hiyo Bodi ya TANESCO!
Tatizo nyie vijana wa CHADEMA akili zenu zimedumaa sana! Mnadhani kila kazi ni Ajira! Ujumbe wa Bodi unahitaji mtu mwenye uzoefu mpana acha chuki za kijinga!
😍
 
Tulisaidie Taifa kwa maombi au kwa njia yoyote inayofaa. Awamu iliyopita Gachuma alikamatwa kwa tuhuma mbalimbali na kufikishwa mahakamani Kisha kunyimwa dhamana.

Wakati tukiwa kwenye sintofahamu kuhusu uhalifu aliotenda, Serikali ile ile, chama kilekile na watu walewale leo hii wameteu mtu yuleyule kwenda kwenye bodi nyeti ya Tanesco.

Naomba kujua kwanini hatuna utaratibu wa kuweka vigezo kupata watu kwenye taasisi nyeti na maeneo nyeti?

Kwamba wakati wa awamu ya Tano alionewa na kudhalilishwa bila hatia au imekaaje?
Samia aje atujibu, naache kutumia kodi zetu vibaya!
 
Yani hamna kitu kinauzi Kama Kila siku serekalini ajira zikijaa watu Ni wale waleee....waliowai kupitaa kwani hakuna wengineee
Ifike muda tuingie mtaani!! maana kodi zetu zinatumika vibaya!
 
Back
Top Bottom