Tunakwenda wapi? Gachuma awamu ya tano Mwalifu, awamu ya sita mjumbe bodi ya TANESCO

Tunakwenda wapi? Gachuma awamu ya tano Mwalifu, awamu ya sita mjumbe bodi ya TANESCO

Tulisaidie Taifa kwa maombi au kwa njia yoyote inayofaa. Awamu iliyopita Gachuma alikamatwa kwa tuhuma mbalimbali na kufikishwa mahakamani Kisha kunyimwa dhamana.

Wakati tukiwa kwenye sintofahamu kuhusu uhalifu aliotenda, Serikali ile ile, chama kilekile na watu walewale leo hii wameteu mtu yuleyule kwenda kwenye bodi nyeti ya Tanesco.

Naomba kujua kwanini hatuna utaratibu wa kuweka vigezo kupata watu kwenye taasisi nyeti na maeneo nyeti?

Kwamba wakati wa awamu ya Tano alionewa na kudhalilishwa bila hatia au imekaaje?
Hata Mie kumbukumbu zangu zinasema alikaa sero muda mrefu Sana leo si anapewa fadhila huyo

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Tulisaidie Taifa kwa maombi au kwa njia yoyote inayofaa. Awamu iliyopita Gachuma alikamatwa kwa tuhuma mbalimbali na kufikishwa mahakamani Kisha kunyimwa dhamana.

Wakati tukiwa kwenye sintofahamu kuhusu uhalifu aliotenda, Serikali ile ile, chama kilekile na watu walewale leo hii wameteu mtu yuleyule kwenda kwenye bodi nyeti ya Tanesco.

Naomba kujua kwanini hatuna utaratibu wa kuweka vigezo kupata watu kwenye taasisi nyeti na maeneo nyeti?

Kwamba wakati wa awamu ya Tano alionewa na kudhalilishwa bila hatia au imekaaje?
WAHARIFU wote wa AWAMU ya 5 WANARAMBA TEUZI
CCM OYEE
 
Tulisaidie Taifa kwa maombi au kwa njia yoyote inayofaa. Awamu iliyopita Gachuma alikamatwa kwa tuhuma mbalimbali na kufikishwa mahakamani Kisha kunyimwa dhamana.

Wakati tukiwa kwenye sintofahamu kuhusu uhalifu aliotenda, Serikali ile ile, chama kilekile na watu walewale leo hii wameteu mtu yuleyule kwenda kwenye bodi nyeti ya Tanesco.

Naomba kujua kwanini hatuna utaratibu wa kuweka vigezo kupata watu kwenye taasisi nyeti na maeneo nyeti?

Kwamba wakati wa awamu ya Tano alionewa na kudhalilishwa bila hatia au imekaaje?
Aisee, connection mkuu
 
Tanzania kuna vijana wengi tu wasomi na wenye kujua mambo mengi ya kufanya katika nchi yao ila ninashangaa kila siku wanaletwa watu wenye tuhuma, sijui hata kama kuna vetting zinafanyika kupata viongozi kwenye mashirika ya umma kwa ajili ya maslahi mapana ya nchi na wanachi kwa ujumla
 
Unamjua Gachuma au umeandika ukijua kila tajiri awamu ya tano alikua mhalifu.
Gachuma hana rekodi ya kukamatwa au umemfananisha na Zakaria ?
 
  • Thanks
Reactions: Ilu
Unamjua Gachuma au umeandika ukijua kila tajiri awamu ya tano alikua mhalifu.
Gachuma hana rekodi ya kukamatwa au umemfananisha na Zakaria ?
Hata mimi nahisi amemfananisha na Zakaria. Sijawahi sikia Gachuma amewekwa ndani. Aliyekaa muda mrefu ndani ni Zakaria na mkewe kwa kesi ya ML.
 
Tulisaidie Taifa kwa maombi au kwa njia yoyote inayofaa. Awamu iliyopita Gachuma alikamatwa kwa tuhuma mbalimbali na kufikishwa mahakamani Kisha kunyimwa dhamana.

Wakati tukiwa kwenye sintofahamu kuhusu uhalifu aliotenda, Serikali ile ile, chama kilekile na watu walewale leo hii wameteu mtu yuleyule kwenda kwenye bodi nyeti ya Tanesco.

Naomba kujua kwanini hatuna utaratibu wa kuweka vigezo kupata watu kwenye taasisi nyeti na maeneo nyeti?

Kwamba wakati wa awamu ya Tano alionewa na kudhalilishwa bila hatia au imekaaje?
Magufuli leo hii akiambiwa aorodheshe magaidi hapa nchini hakika ataanza na jina la aliyekuwa makamu wake wa Rais
 
Yani hamna kitu kinauzi Kama Kila siku serekalini ajira zikijaa watu Ni wale waleee....waliowai kupitaa kwani hakuna wengineee
Mnafikiri wale wanaojilipua kule Somalia na Afghanstan wanapenda , kuna mambo ya hovyo kama haya ya Tanzania huwa yanachangia watu wajitoe muhanga. Ni vile tu watz wamezoea kupelekwa pelekwa na uvumilivu wao wa kiboya boya.
 
Huoti, you just imagine..Lets wait and see!
I see the red sea coming to its reality; unabii unatimilika just like this...Lets watch and see; those who know where their power is are like mountains, never moved!

Lalalaaa, what did I say in 2012...Kuna watu hawajifunzi eeh? The power hand is changed...You just chasing wind and from where you never know shall blow you off, do I sound like am just warning myself!
 
Mnafikiri wale wanaojilipua kule Somalia na Afghanstan wanapenda , kuna mambo ya hovyo kama haya ya Tanzania huwa yanachangia watu wajitoe muhanga. Ni vile tu watz wamezoea kupelekwa pelekwa na uvumilivu wao wa kiboya boya.
Matatizo yenu ya ajira yanawapeleka kukosa kuwa rational...I wish kama mngetambua nchi yenu inawahitaji zaidi kuliko kwenye kutafuta ajira...Kwhiyo hapa ninyi watoto wetu mnafikiria tu kwamba ungepata ajira basi maisha yamekuwa sawa?

Ajira ni pamoja na nchi kuwa at peace, kuweka mifumo thabiti na kujielewa kwamba hakuna mjomba duniani kila kitu kinaliwa kwa jasho, get it!
 
Awamu iliyopita Gachuma alikamatwa kwa tuhuma mbalimbali na kufikishwa mahakamani Kisha kunyimwa dhamana.
Mkuu mbona zikumbuki kama huyu jamaa alikamatwa na kufikishwa mahakamai na ukizingatia alikuwa mbunge? Hebu tukumbushe alikamatwa lini? na kwa tuhuma zipi? isije kuwa unachanganya na Zacharia mkuu?
 
Matatizo yenu ya ajira yanawapeleka kukosa kuwa rational...I wish kama mngetambua bchi yenu inawahitaji zaidi kuliko kwenye kutafuta ajira...Kwhiyo hapa ninyi watoto wetu mnafikiria tu kwamba ungepata ajira basi maisha yamekuwa sawa?

Ajira ni pamoja na nchi kuwa at peace, kuweka mifumo thabiti na kujielewa kwamba hakuna mjomba duniani kila kitu kinaliwa kwa jasho, get it!
Sawa mjuba , nimekumanya halafu kwa comment yako nakufila mpaka kumoyo
 
Ndio jibu lake, legacy ya Mwendawazimu ilikua ya kijambazi jambazi ni legacy HARAMU.
Wewe ni masikini wa kipato na akili pia!

Hao unaowatetea wana mabilioni somewhere ambayo walikupora wewe tangu enzi hizo!

Magufuli na familia yake hakuna hata mmoja atakae u ia kwa ufisadi wa hao unaowatetea hapa. Atakaeumia na bibi na babu zako kule kijijini kwenu.
 
Tulisaidie Taifa kwa maombi au kwa njia yoyote inayofaa. Awamu iliyopita Gachuma alikamatwa kwa tuhuma mbalimbali na kufikishwa mahakamani Kisha kunyimwa dhamana.

Wakati tukiwa kwenye sintofahamu kuhusu uhalifu aliotenda, Serikali ile ile, chama kilekile na watu walewale leo hii wameteu mtu yuleyule kwenda kwenye bodi nyeti ya Tanesco.

Naomba kujua kwanini hatuna utaratibu wa kuweka vigezo kupata watu kwenye taasisi nyeti na maeneo nyeti?

Kwamba wakati wa awamu ya Tano alionewa na kudhalilishwa bila hatia au imekaaje?
Gachuma alituhumiwa kwa kesi gani na kunyimwa dhamana?
 
Tulisaidie Taifa kwa maombi au kwa njia yoyote inayofaa. Awamu iliyopita Gachuma alikamatwa kwa tuhuma mbalimbali na kufikishwa mahakamani Kisha kunyimwa dhamana.

Wakati tukiwa kwenye sintofahamu kuhusu uhalifu aliotenda, Serikali ile ile, chama kilekile na watu walewale leo hii wameteu mtu yuleyule kwenda kwenye bodi nyeti ya Tanesco.

Naomba kujua kwanini hatuna utaratibu wa kuweka vigezo kupata watu kwenye taasisi nyeti na maeneo nyeti?

Kwamba wakati wa awamu ya Tano alionewa na kudhalilishwa bila hatia au imekaaje?
Umesahau na Felsechim Mramba! Huyu naye alitumbuliwa na Magu na kuletwa huyu aliyetumbuliwa na Hangaya. Tanzania haya mambo ni ya kawaida. Nobody takes record. Ni just kitenda cha kuota au kuambiwa na wapambe afu kesho ukafanya uteuzi. Afu CV huwa haziangaliwi, mtu akisharipoti kazini ndio CV zinaangaliwa
 
Back
Top Bottom