Tunalaani uwanja Chato, nchi hii upendeleo ulianza zamani Wachaga mkiongoza

Tunalaani uwanja Chato, nchi hii upendeleo ulianza zamani Wachaga mkiongoza

Una ignorance yenye innocence. Yaani ubaguzi umekuingia kiasi kwamba huoni kama unatenda makosa. Kwa nini umechagua machache ktk habari hiyo? Jibu hili dogo tu! Kwa nini Huwezi kuuza maji ya Uhai ndani ya mji wa Moshi? Kwa nini huwezi kuuza soda za pesi ndani ya mji wa Moshi? Hao wahindi waliondoka mji wa moshi tu! Miji mingine walipoondoka ndo wachaga wakaingia?

Leo hii Mchaga ni mbunge wa Arusha, hebu fikiria mbunge wa Moshi atoke Arusha. Au utamwita bushman kama unavyoandika? Leo hii watu wa Moshi wananufaika na biashara wanazotengeza miji mikoa mingine au unadhani huko kuna bushmen?

Ubaguzi wa kipuuzi tu wakati uchagani bado ignorance iko juu.Rudia kusoma hiyo quote ya Mchunguzi yote, ndo utajua sasa makabila mengine yanawafahamu na mutaumia. Politically, pia mutaumizwa maana Chama cha kikabila hakifiki kokote!

Proof by counterexample annuls hypothesis. Scientific fact. Basta! Kiswahili chake sijui.

Ukinyofolewa kanyama kadogo ili vision yako ifunguke na ukubaliane na ukweli kwamba kujikita kwa boksi la MAMBO YA UKABILA ni UPUUZI uliopitiliza na kwamba kanyama hakohako kakinyofolewa kwa Mwafrika mwingine kutoka Burkina Faso na kuwekwa pamoja haitaweza kutofautisha kile cha nani na hiki cha nani itoshe kukumbushia kwamba UKABILA wowote ule hauna NAFASI karne hii. Rejea pia kauli za Mwalimu (RIP Baba). Ati zamu yetu sasa! Supersillious tena.
 
Ngoja na mimi nigombee uRais nijenge kijijini kwanguHospital ya Rufaa,Tawi la UDSM,International airport,Ikulu ndogo lakini kubwa kuliko ile ya magogoni nahamishia na tausi wote wa magogoni Ikulu ndogo,Makao makuu ya kanda kijijini kwangu,...........

Hakuna kulalamika kwasababu vitu vyote vitakuwa vimejengwa Tanzania.
 
Hapa JF, uependeleo na ubaguzi unalaaniwa kwa nguvu zote. Kwa vyama vya upinzani, uwanja wa Chato unatumika kama ishara ya upendeleo usiotakiwa. Hakika upendeleo ni mbaya. Tuambizane ukweli.

Ukimuacha Nyerere ktk ugawaji wa raslimali, waliofuata wote hata mawaziri wa Nyerere, walijaa upendeleo wa wazi wa makabila na dini zao. Kelele zetu kwa sasa ni kujisikia kwamba wewe haumo kwenye kundi linalopendelewa. Hatusemi yaliyofanyika kupendelea makabila yetu na dini zetu.

Elinawinga alihamisha vijana wa Mkoa wa Kilimanjaro hasa Wachaga na kuwapeleka mikoa hadi Kigoma na Tabora ili kukwepa quarter system iliyokuwa imeanzishwa na Nyerere. Wakatumia majina ya makanisani bila kuweka yale ya ukoo hadi walipomaliza shule. Leo hii hatusemi. Msuya akahamisha pesa za maendeleo na kuzipeleka kuweka umeme mkoa wa Kilimanjaro Mwanga, ikapata umeme hadi kwenye migomba na palachichi.

Wale wa kanda hiyo munafurahia hadi leo eti, mumeendelea kuliko wengine. kuweni mashujaa kulaani tabia hiyo, hata kama ni ya zamani.

Baada ya Nyerere, alikuja Mwinyi. Yeye aliegemea dini yake kwa nguvu zote maeneo ya wazi yalivamiwa kujenga misikiti na miradi ya mafuta, kwa wale wa dini yake. Zanzibar alijichukulia eneo kubwaaaa na watu wakadeka. Waliofuta ikawa kama kawa! Awamu ya 4 ndo kabisaaa! Ilikuwa Dar na Pwani basi! Familia yake na marafiki ndo ilikuwa inatafutiwa maisha bora. Hata chama ikawa ni ni yeye mtoto na mkewe!

Tusisahau akina Sumayi na mikakati ya uwanja wa Arusha. Mwandosya na Songwe, Pinda na mkoa wa katavi wenye population chini kabisa! Sitta na ofisi ya spika Urambo. Tunajuana kwa ubaguzi wetu. Na sasa kuna uhakika kwamba kuna makabila yanayoongoza kwa ubaguzi; Wachaga, wahehe, wahaya, wengine wanafuata.
Kwa vyovyote vile utakavyotetea awamu ya tano imevunja rekodi. Kila idara, kila wizara, kila ofisi. Kwa bahati mbaya wote ni waimba mapambio, wasanii hata nyumba za makazi za mwanza geita zisibomolewe za dar moro zibomolewe, biashara za machinga mwanza wapange hata barabarani si ribarabara rao, wa dar waaondolewe tuweke jiji safi/ katika mpango mzuri
 
Hapa JF, uependeleo na ubaguzi unalaaniwa kwa nguvu zote. Kwa vyama vya upinzani, uwanja wa Chato unatumika kama ishara ya upendeleo usiotakiwa. Hakika upendeleo ni mbaya. Tuambizane ukweli.

Ukimuacha Nyerere ktk ugawaji wa raslimali, waliofuata wote hata mawaziri wa Nyerere, walijaa upendeleo wa wazi wa makabila na dini zao. Kelele zetu kwa sasa ni kujisikia kwamba wewe haumo kwenye kundi linalopendelewa. Hatusemi yaliyofanyika kupendelea makabila yetu na dini zetu.

Elinawinga alihamisha vijana wa Mkoa wa Kilimanjaro hasa Wachaga na kuwapeleka mikoa hadi Kigoma na Tabora ili kukwepa quarter system iliyokuwa imeanzishwa na Nyerere. Wakatumia majina ya makanisani bila kuweka yale ya ukoo hadi walipomaliza shule. Leo hii hatusemi. Msuya akahamisha pesa za maendeleo na kuzipeleka kuweka umeme mkoa wa Kilimanjaro Mwanga, ikapata umeme hadi kwenye migomba na palachichi.

Wale wa kanda hiyo munafurahia hadi leo eti, mumeendelea kuliko wengine. kuweni mashujaa kulaani tabia hiyo, hata kama ni ya zamani.

Baada ya Nyerere, alikuja Mwinyi. Yeye aliegemea dini yake kwa nguvu zote maeneo ya wazi yalivamiwa kujenga misikiti na miradi ya mafuta, kwa wale wa dini yake. Zanzibar alijichukulia eneo kubwaaaa na watu wakadeka. Waliofuta ikawa kama kawa! Awamu ya 4 ndo kabisaaa! Ilikuwa Dar na Pwani basi! Familia yake na marafiki ndo ilikuwa inatafutiwa maisha bora. Hata chama ikawa ni ni yeye mtoto na mkewe!

Tusisahau akina Sumayi na mikakati ya uwanja wa Arusha. Mwandosya na Songwe, Pinda na mkoa wa katavi wenye population chini kabisa! Sitta na ofisi ya spika Urambo. Tunajuana kwa ubaguzi wetu. Na sasa kuna uhakika kwamba kuna makabila yanayoongoza kwa ubaguzi; Wachaga, wahehe, wahaya, wengine wanafuata.
Message sent......................asante sana mkuu
 
Proof by counterexample annuls hypothesis. Scientific fact. Basta! Kiswahili chake sijui.

Ukinyofolewa kanyama kadogo ili vision yako ifunguke na ukubaliane na ukweli kwamba kujikita kwa boksi la MAMBO YA UKABILA ni UPUUZI uliopitiliza na kwamba kanyama hakohako kakinyofolewa kwa Mwafrika mwingine kutoka Burkina Faso na kuwekwa pamoja haitaweza kutofautisha kile cha nani na hiki cha nani itoshe kukumbushia kwamba UKABILA wowote ule hauna NAFASI karne hii. Rejea pia kauli za Mwalimu (RIP Baba). Ati zamu yetu sasa! Supersillious tena.
Wearing a mask is gravely dangerous because it makes you pretend to be. What is being discussed is the chronic problem of Tanzania, in fact of Africa. No single tribal grouping can claim to be developed plus educated to being above this problem. Persistent denial of such problem is another evidence of corroded mind. Once, Alan moor said when you wear a mask for so long, you forget who you were beneath it.

I am not expecting any positive comments from a person whose life has probably accelerated or, he is wishing to accelerate through such foolish vehicle.
 
Wearing a mask is gravely dangerous because it makes you pretend to be. What is being discussed is the chronic problem of Tanzania, in fact of Africa. No single tribal grouping can claim to be developed plus educated to being above this problem. Persistent denial of such problem is another evidence of corroded mind. Once, Alan moor said when you wear a mask for so long, you forget who you were beneath it.

I am not expecting any positive comments from a person whose life has probably accelerated or, he is wishing to accelerate through such foolish vehicle.

Such gross ethnocentric perspective by virtue of ones percieved "thickness" is probably culpable for such generalisations as this, and I quote, " No single tribal grouping can claim to be developed plus educated to being above this problem" Ha ha ha ! You probably have the statistic. Very daft!
 
Such gross ethnocentric perspective by virtue of ones percieved "thickness" is probably culpable for such generalisations as this, and I quote, " No single tribal grouping can claim to be developed plus educated to being above this problem" Ha ha ha ! You probably have the statistic .......... Very daft!
Naona kama unashindana na watu hapa. Calm down! Better comprehension needs settled mind. Why all these typos and language misuse? Tulia tulia tulia!

Masahihisho: Such gross ethnocentric perspective by virtue of ones ones' percieved perceived "thickness" is probably culpable for such generalisations as like this, and I quote, " No single tribal grouping can claim to be developed plus educated to being above this problem" Ha ha ha ! You probably have the statistic .......... Very daft!

Ni matatizo ya siku nyingi mkuu. Hebu click thrds hizo chini.


 
Hapa JF, uependeleo na ubaguzi unalaaniwa kwa nguvu zote. Kwa vyama vya upinzani, uwanja wa Chato unatumika kama ishara ya upendeleo usiotakiwa. Hakika upendeleo ni mbaya. Tuambizane ukweli.

Ukimuacha Nyerere ktk ugawaji wa raslimali, waliofuata wote hata mawaziri wa Nyerere, walijaa upendeleo wa wazi wa makabila na dini zao. Kelele zetu kwa sasa ni kujisikia kwamba wewe haumo kwenye kundi linalopendelewa. Hatusemi yaliyofanyika kupendelea makabila yetu na dini zetu.

Elinawinga alihamisha vijana wa Mkoa wa Kilimanjaro hasa Wachaga na kuwapeleka mikoa hadi Kigoma na Tabora ili kukwepa quarter system iliyokuwa imeanzishwa na Nyerere. Wakatumia majina ya makanisani bila kuweka yale ya ukoo hadi walipomaliza shule. Leo hii hatusemi. Msuya akahamisha pesa za maendeleo na kuzipeleka kuweka umeme mkoa wa Kilimanjaro Mwanga, ikapata umeme hadi kwenye migomba na palachichi.

Wale wa kanda hiyo munafurahia hadi leo eti, mumeendelea kuliko wengine. kuweni mashujaa kulaani tabia hiyo, hata kama ni ya zamani.

Baada ya Nyerere, alikuja Mwinyi. Yeye aliegemea dini yake kwa nguvu zote maeneo ya wazi yalivamiwa kujenga misikiti na miradi ya mafuta, kwa wale wa dini yake. Zanzibar alijichukulia eneo kubwaaaa na watu wakadeka. Waliofuta ikawa kama kawa! Awamu ya 4 ndo kabisaaa! Ilikuwa Dar na Pwani basi! Familia yake na marafiki ndo ilikuwa inatafutiwa maisha bora. Hata chama ikawa ni ni yeye mtoto na mkewe!

Tusisahau akina Sumayi na mikakati ya uwanja wa Arusha. Mwandosya na Songwe, Pinda na mkoa wa katavi wenye population chini kabisa! Sitta na ofisi ya spika Urambo. Tunajuana kwa ubaguzi wetu. Na sasa kuna uhakika kwamba kuna makabila yanayoongoza kwa ubaguzi; Wachaga, wahehe, wahaya, wengine wanafuata.
Hata malaria ilianza zamani lakini hatujaacha kupambana nayo. Wrong is just that, wrong!
 
Hata malaria ilianza zamani lakini hatujaacha kupambana nayo. Wrong is just that, wrong!
Is this different from what appears in the thrd? Tunasema, tulaani wote na wale wote walioonyesgha upendeleo tangu mwanza wa Tanganyika na Tanzania. Kuna watu sasa hivi ni kelele kubwa kuliko tulivyotegemea utadhani ni jambo jipya! Na siyo kwamba wao wamekoma, wanatafuta nafasi kufanya hayo hayo!
 
Hapa JF, uependeleo na ubaguzi unalaaniwa kwa nguvu zote. Kwa vyama vya upinzani, uwanja wa Chato unatumika kama ishara ya upendeleo usiotakiwa. Hakika upendeleo ni mbaya. Tuambizane ukweli.

Ukimuacha Nyerere ktk ugawaji wa raslimali, waliofuata wote hata mawaziri wa Nyerere, walijaa upendeleo wa wazi wa makabila na dini zao. Kelele zetu kwa sasa ni kujisikia kwamba wewe haumo kwenye kundi linalopendelewa. Hatusemi yaliyofanyika kupendelea makabila yetu na dini zetu.

Elinawinga alihamisha vijana wa Mkoa wa Kilimanjaro hasa Wachaga na kuwapeleka mikoa hadi Kigoma na Tabora ili kukwepa quarter system iliyokuwa imeanzishwa na Nyerere. Wakatumia majina ya makanisani bila kuweka yale ya ukoo hadi walipomaliza shule. Leo hii hatusemi. Msuya akahamisha pesa za maendeleo na kuzipeleka kuweka umeme mkoa wa Kilimanjaro Mwanga, ikapata umeme hadi kwenye migomba na palachichi.

Wale wa kanda hiyo munafurahia hadi leo eti, mumeendelea kuliko wengine. kuweni mashujaa kulaani tabia hiyo, hata kama ni ya zamani.

Baada ya Nyerere, alikuja Mwinyi. Yeye aliegemea dini yake kwa nguvu zote maeneo ya wazi yalivamiwa kujenga misikiti na miradi ya mafuta, kwa wale wa dini yake. Zanzibar alijichukulia eneo kubwaaaa na watu wakadeka. Waliofuta ikawa kama kawa! Awamu ya 4 ndo kabisaaa! Ilikuwa Dar na Pwani basi! Familia yake na marafiki ndo ilikuwa inatafutiwa maisha bora. Hata chama ikawa ni ni yeye mtoto na mkewe!

Tusisahau akina Sumayi na mikakati ya uwanja wa Arusha. Mwandosya na Songwe, Pinda na mkoa wa katavi wenye population chini kabisa! Sitta na ofisi ya spika Urambo. Tunajuana kwa ubaguzi wetu. Na sasa kuna uhakika kwamba kuna makabila yanayoongoza kwa ubaguzi; Wachaga, wahehe, wahaya, wengine wanafuata.
Hizo laana zikurudie wewe mwenyewe
 
Pumbavu zako
Hapa JF, uependeleo na ubaguzi unalaaniwa kwa nguvu zote. Kwa vyama vya upinzani, uwanja wa Chato unatumika kama ishara ya upendeleo usiotakiwa. Hakika upendeleo ni mbaya. Tuambizane ukweli.

Ukimuacha Nyerere ktk ugawaji wa raslimali, waliofuata wote hata mawaziri wa Nyerere, walijaa upendeleo wa wazi wa makabila na dini zao. Kelele zetu kwa sasa ni kujisikia kwamba wewe haumo kwenye kundi linalopendelewa. Hatusemi yaliyofanyika kupendelea makabila yetu na dini zetu.

Elinawinga alihamisha vijana wa Mkoa wa Kilimanjaro hasa Wachaga na kuwapeleka mikoa hadi Kigoma na Tabora ili kukwepa quarter system iliyokuwa imeanzishwa na Nyerere. Wakatumia majina ya makanisani bila kuweka yale ya ukoo hadi walipomaliza shule. Leo hii hatusemi. Msuya akahamisha pesa za maendeleo na kuzipeleka kuweka umeme mkoa wa Kilimanjaro Mwanga, ikapata umeme hadi kwenye migomba na palachichi.

Wale wa kanda hiyo munafurahia hadi leo eti, mumeendelea kuliko wengine. kuweni mashujaa kulaani tabia hiyo, hata kama ni ya zamani.

Baada ya Nyerere, alikuja Mwinyi. Yeye aliegemea dini yake kwa nguvu zote maeneo ya wazi yalivamiwa kujenga misikiti na miradi ya mafuta, kwa wale wa dini yake. Zanzibar alijichukulia eneo kubwaaaa na watu wakadeka. Waliofuta ikawa kama kawa! Awamu ya 4 ndo kabisaaa! Ilikuwa Dar na Pwani basi! Familia yake na marafiki ndo ilikuwa inatafutiwa maisha bora. Hata chama ikawa ni ni yeye mtoto na mkewe!

Tusisahau akina Sumayi na mikakati ya uwanja wa Arusha. Mwandosya na Songwe, Pinda na mkoa wa katavi wenye population chini kabisa! Sitta na ofisi ya spika Urambo. Tunajuana kwa ubaguzi wetu. Na sasa kuna uhakika kwamba kuna makabila yanayoongoza kwa ubaguzi; Wachaga, wahehe, wahaya, wengine wanafuata.
 
hata ww ukiwa na mafanikio lazima ujenge kwenu,usipojenga utakuwa kilaza mkubwa.tatizo lenu wapinzani sasa mmeishiwa sela hacha muisome number tuuuh ila JPM muache ahijenge na kuinyosha nchi kwa sasa.
 
Hapa JF, uependeleo na ubaguzi unalaaniwa kwa nguvu zote. Kwa vyama vya upinzani, uwanja wa Chato unatumika kama ishara ya upendeleo usiotakiwa. Hakika upendeleo ni mbaya. Tuambizane ukweli.

Ukimuacha Nyerere ktk ugawaji wa raslimali, waliofuata wote hata mawaziri wa Nyerere, walijaa upendeleo wa wazi wa makabila na dini zao. Kelele zetu kwa sasa ni kujisikia kwamba wewe haumo kwenye kundi linalopendelewa. Hatusemi yaliyofanyika kupendelea makabila yetu na dini zetu.

Elinawinga alihamisha vijana wa Mkoa wa Kilimanjaro hasa Wachaga na kuwapeleka mikoa hadi Kigoma na Tabora ili kukwepa quarter system iliyokuwa imeanzishwa na Nyerere. Wakatumia majina ya makanisani bila kuweka yale ya ukoo hadi walipomaliza shule. Leo hii hatusemi. Msuya akahamisha pesa za maendeleo na kuzipeleka kuweka umeme mkoa wa Kilimanjaro Mwanga, ikapata umeme hadi kwenye migomba na palachichi.

Wale wa kanda hiyo munafurahia hadi leo eti, mumeendelea kuliko wengine. kuweni mashujaa kulaani tabia hiyo, hata kama ni ya zamani.

Baada ya Nyerere, alikuja Mwinyi. Yeye aliegemea dini yake kwa nguvu zote maeneo ya wazi yalivamiwa kujenga misikiti na miradi ya mafuta, kwa wale wa dini yake. Zanzibar alijichukulia eneo kubwaaaa na watu wakadeka. Waliofuta ikawa kama kawa! Awamu ya 4 ndo kabisaaa! Ilikuwa Dar na Pwani basi! Familia yake na marafiki ndo ilikuwa inatafutiwa maisha bora. Hata chama ikawa ni ni yeye mtoto na mkewe!

Tusisahau akina Sumayi na mikakati ya uwanja wa Arusha. Mwandosya na Songwe, Pinda na mkoa wa katavi wenye population chini kabisa! Sitta na ofisi ya spika Urambo. Tunajuana kwa ubaguzi wetu. Na sasa kuna uhakika kwamba kuna makabila yanayoongoza kwa ubaguzi; Wachaga, wahehe, wahaya, wengine wanafuata.
Wewe wacha uongo. Msikiti upi huo ulijengwa eneo la wazi wakati wa Mwinyi? Na miradi ipi ya "mafuta" aliyowapa Waislam?

Badala ya kuhoji kwa nini makanisa yanahodhi ardhi kubwa baada ya serikali Tanzania hii unaleta uongo.
 
Hapa JF, uependeleo na ubaguzi unalaaniwa kwa nguvu zote. Kwa vyama vya upinzani, uwanja wa Chato unatumika kama ishara ya upendeleo usiotakiwa. Hakika upendeleo ni mbaya. Tuambizane ukweli.

Ukimuacha Nyerere ktk ugawaji wa raslimali, waliofuata wote hata mawaziri wa Nyerere, walijaa upendeleo wa wazi wa makabila na dini zao. Kelele zetu kwa sasa ni kujisikia kwamba wewe haumo kwenye kundi linalopendelewa. Hatusemi yaliyofanyika kupendelea makabila yetu na dini zetu.

Elinawinga alihamisha vijana wa Mkoa wa Kilimanjaro hasa Wachaga na kuwapeleka mikoa hadi Kigoma na Tabora ili kukwepa quarter system iliyokuwa imeanzishwa na Nyerere. Wakatumia majina ya makanisani bila kuweka yale ya ukoo hadi walipomaliza shule. Leo hii hatusemi. Msuya akahamisha pesa za maendeleo na kuzipeleka kuweka umeme mkoa wa Kilimanjaro Mwanga, ikapata umeme hadi kwenye migomba na palachichi.

Wale wa kanda hiyo munafurahia hadi leo eti, mumeendelea kuliko wengine. kuweni mashujaa kulaani tabia hiyo, hata kama ni ya zamani.

Baada ya Nyerere, alikuja Mwinyi. Yeye aliegemea dini yake kwa nguvu zote maeneo ya wazi yalivamiwa kujenga misikiti na miradi ya mafuta, kwa wale wa dini yake. Zanzibar alijichukulia eneo kubwaaaa na watu wakadeka. Waliofuta ikawa kama kawa! Awamu ya 4 ndo kabisaaa! Ilikuwa Dar na Pwani basi! Familia yake na marafiki ndo ilikuwa inatafutiwa maisha bora. Hata chama ikawa ni ni yeye mtoto na mkewe!

Tusisahau akina Sumayi na mikakati ya uwanja wa Arusha. Mwandosya na Songwe, Pinda na mkoa wa katavi wenye population chini kabisa! Sitta na ofisi ya spika Urambo. Tunajuana kwa ubaguzi wetu. Na sasa kuna uhakika kwamba kuna makabila yanayoongoza kwa ubaguzi; Wachaga, wahehe, wahaya, wengine wanafuata.
hamna na wala haitakaa itokee wakabila na wakanda wakuu katika nchi hii kama wasukuma! magufuli amepanda mbegu mbaya, ya akina elinawinga na msuya hapa unajenga hisia zaidi, mbona huko mwanga kuna maeneo mengi tu tena bara bara za wilaya na tan rod hazina lami, mbona maeneo mengi tu hayana umeme? tene hukohuko kwa msuya na elinawinga. KUSOMA KWA WACHAGA NI MWAMKO WA ELIMU WALIOKUWA NAO TANGU ENZI! SHULE ZA PRIVATE PEKEE KATIKA MKOA HUU NI NYINGI SANA NA NDIYO KIMBILIO LA WATANZANIA WENGINE SASA!
 
Wewe wacha uongo. Msikiti upi huo ulijengwa eneo la wazi wakati wa Mwinyi? Na miradi ipi ya "mafuta" aliyowapa Waislam?

Badala ya kuhoji kwa nini makanisa yanahodhi ardhi kubwa baada ya serikali Tanzania hii unaleta uongo.
kidumu chama cha mapinduzi
 
..Uwanja wa ndege wa Chato wananchi wa kule hawana matumizi nao na wala hawauhitaji.

..katika mazingira hayo kwanini mnamlaumu JPM kuwa anapendelea wananchi wa Chato?
tunamlaumu kwa kutumia rasilimali na kodi zetu vibaya!
 
Mtu akipendelewa anasifa moja tu..anahisi ni haki yake..ndo maana kuna msemo...bata akinya....
 
Back
Top Bottom