Tunalalamika mvua hazinyeshi na maji yanakatika tazama huu msululu wa mkaa

Tunalalamika mvua hazinyeshi na maji yanakatika tazama huu msululu wa mkaa

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Mkaa wote huu unaelekea Dar es Salaam.
Je tutuwezaje kupona ukame?
Screenshot_20221104_161914.jpg


Nishati safi ndio chanjo pekee.
 
Jana nimemsikia mtaalamu wa maswala ya maji ITV ,amesema kwamba maji(stock) iliyopo tu ardhini ni ya kutosha na mpaka sasa tume utilize only 2 % tu.......Tuwekeze kwenye visima ,serikali iache kununua ma V8 unawapa sijui DED/RC na watu wanaofanana na hao ambao wana mishahara mikubwa na marupurupu kibao,mbona walimu tu wana magari yao binafsi na wanalipwa laki 5 ? Inakuwaje unamnunulia V8 mtu anayelipwa milioni 20 kwa mwezi wakati anaweza kuafford kujinunulia au anayo yake nyumbani? Hao viongozi wapewe tu allowance ya mafuta basi ila gari atumie la kwake ,hela ya kununua V8 tuchimbe visima kila kata/vitongoji kama alivyshauri Selemani Bishagazi -ITV Malumbano ya Hoja Jana.
 
Wekezeni kwenye miti ya muda mfupi ya mkaa huku mkinusuru misitu na kuhakikisha every household ina mti, mashamba ya miti ya mkaa yawe maalumu kabisa, kwanza mtaokoa mazingira halafu kipato kitakua kikubwa, wakati huo mkihimiza nishati safi punguza bei ya umeme na bei ya gesi huku mkiwafundisha wananchi matumizi ya umeme na gesi huko majumbani kuepuka ajali za mara kwa mara
 
Unadhani tukivuna hayo yaliyopo ardhini bila kutatua tatizo kuuu itasaidia? Kuna makala moja niliona kupitia kituo cha TV Marekani inaonyesha wakulima wa Marekani waliwekeza sana kwenye uvunaji wa maji ya ardhini na sasa imebakia km 20% tu ya hayo maji.Sheria kwenye state mbalimbal zimetungwa kudhibiti uchimbaji wa visima holela ili kunusuru maji kwa ajili ya kunywa na kupikia.
 
Wekezeni kwenye miti ya muda mfupi ya mkaa huku mkinusuru misitu na kuhakikisha every household ina mti, mashamba ya miti ya mkaa yawe maalumu kabisa, kwanza mtaokoa mazingira halafu kipato kitakua kikubwa, wakati huo mkihimiza nishati safi punguza bei ya umeme na bei ya gesi huku mkiwafundisha wananchi matumizi ya umeme na gesi huko majumbani kuepuka ajali za mara kwa mara

Gesi tunavuna kwetu huko "Ntwara" wapunguze bei ,kama bei ikiwa kubwa watu wataendelea tu kukata miti.
 
Wapunguze bei ya umeme na gesi tupikie umeme na gesi.
 
Jana nimemsikia mtaalamu wa maswala ya maji ITV ,amesema kwamba maji(stock) iliyopo tu ardhini ni ya kutosha na mpaka sasa tume utilize only 2 % tu.......Tuwekeze kwenye visima ,serikali iache kununua ma V8 unawapa sijui DED/RC na watu wanaofanana na hao ambao wana mishahara mikubwa na marupurupu kibao,mbona walimu tu wana magari yao binafsi na wanalipwa laki 5 ? Inakuwaje unamnunulia V8 mtu anayelipwa milioni 20 kwa mwezi wakati anaweza kuafford kujinunulia au anayo yake nyumbani? Hao viongozi wapewe tu allowance ya mafuta basi ila gari atumie la kwake ,hela ya kununua V8 tuchimbe visima kila kata/vitongoji kama alivyshauri Selemani Bishagazi -ITV Malumbano ya Hoja Jana.
Mkuu vipi huko minjingu si umeshapasafisha kwa kuchoma mkaa?
 
Back
Top Bottom