Tunalalamika mvua hazinyeshi na maji yanakatika tazama huu msululu wa mkaa

Tunalalamika mvua hazinyeshi na maji yanakatika tazama huu msululu wa mkaa

Atakuwa mtaalam uchwara!!!!....mwanza haina maji na iko ziwani.
Mkuu nakubaliana na hoja zako za chini ila ili kuwaita wataalamu uchwara hapana ,maji mengi yapo ardhini kuliko yaliyo kwenye surface.(Fresh water) ,kwahiyo wataalam wapo sahihi....Maji ya ardhini tumetumia only 2% tu.
 
ILa kuna madhara ya kutumia ayo maji ya ardhini bila restriction.
Bado tuna surface water za kutosha maziwa na habari na mito

Nazungumzia fresh water yaliyopo ardhini mkuu ambayo tayari washafanyia utafiti,serikali wanayo taasisi ya Water Institute-Chuo Cha Maji - Rwegarulila near UDSM wanafanya anaysis ya maji ya visima..

Lengo la maji ya ardhini ni kwamba tusiwe dependent kwenye single source tu ambapo mvua isiponyesha tunaathirika.

Halafu kipindi cha mvua hatuvuni maji iwe personally au kiserikali ,serikali inabidi ivune maji na ihifadhi kwenye dams/reservoirs ili tuje kutumia kipindi kukiwa na scarcity ,nakumbuka kwenye geography form iv tulisoma TVA -Tennessee valley authority project ,tukidesa kidogo mule tunaweza kupunguza kwa kihasi kikubwa au kuondoa kabisa tatizo la mgao wa maji kipindi cha ukame.
 
Ulitaka watu wapikie nini? Namibia ni muuzaji mkubwa wa Mkaa Ulaya sasa sijui mnasemaje.hapo
Wewe usilinganishe nchi yetu na namibia, namibia idadi ya watu ni milioni mbili hawafiki hata milioni tatu, halafu hawajasambaa kotekote kwenye nchi yao kama sisi tulivyotapakaa kila kona

Halafu washazoea ukame sio sisi

Sisi tukikosa mvua ni janga la kibinadamu, ni tatizo gumu kulitatua
 
Jana nimemsikia mtaalamu wa maswala ya maji ITV ,amesema kwamba maji(stock) iliyopo tu ardhini ni ya kutosha na mpaka sasa tume utilize only 2 % tu.......Tuwekeze kwenye visima ,serikali iache kununua ma V8 unawapa sijui DED/RC na watu wanaofanana na hao ambao wana mishahara mikubwa na marupurupu kibao,mbona walimu tu wana magari yao binafsi na wanalipwa laki 5 ? Inakuwaje unamnunulia V8 mtu anayelipwa milioni 20 kwa mwezi wakati anaweza kuafford kujinunulia au anayo yake nyumbani? Hao viongozi wapewe tu allowance ya mafuta basi ila gari atumie la kwake ,hela ya kununua V8 tuchimbe visima kila kata/vitongoji kama alivyshauri Selemani Bishagazi -ITV Malumbano ya Hoja Jana.
Hivyo visima utamwagilizia mashamba ya mpunga kyera?
 
Jana nimemsikia mtaalamu wa maswala ya maji ITV ,amesema kwamba maji(stock) iliyopo tu ardhini ni ya kutosha na mpaka sasa tume utilize only 2 % tu.......Tuwekeze kwenye visima ,serikali iache kununua ma V8 unawapa sijui DED/RC na watu wanaofanana na hao ambao wana mishahara mikubwa na marupurupu kibao,mbona walimu tu wana magari yao binafsi na wanalipwa laki 5 ? Inakuwaje unamnunulia V8 mtu anayelipwa milioni 20 kwa mwezi wakati anaweza kuafford kujinunulia au anayo yake nyumbani? Hao viongozi wapewe tu allowance ya mafuta basi ila gari atumie la kwake ,hela ya kununua V8 tuchimbe visima kila kata/vitongoji kama alivyshauri Selemani Bishagazi -ITV Malumbano ya Hoja Jana.
Hapa ndo namkumbuka na kumlilia Chuma angeshatoa haya maamuzi kimamlaka tena angesema maji ya visma yatolewe bureee kwa wanyonge
 
Mkuu nakubaliana na hoja zako za chini ila ili kuwaita wataalamu uchwara hapana ,maji mengi yapo ardhini kuliko yaliyo kwenye surface.(Fresh water) ,kwahiyo wataalam wapo sahihi....Maji ya ardhini tumetumia only 2% tu.
Utaalam wa maneno matupu. Yawezekana hata kwake anategemea surface water(maji ya bomba)
 
Punguza bei ya gesi, bwawa wa Nyerere litoe umeme bei iwe chini kwa unit kila mtu ataacha kupikia mkaa.
 
Wewe Ni mtu Mjinga unayeamini wanasiasa wakati wewe haulipwi Kama wao .

We hapa unapambana uuze Gas yako kwa kueneza propaganda sio?

Hayo maji ya baharani kwanini wasiyafanyie recycle?

Pia nenda huko Kivule au kitunda hapa hapa dsm watu wana visima na wanapata maji ya kufua kuoga na kunywa na kumwagilia bustani

Nchi inaongozwa na watu wajinga kama mtu mmoja anaweza kuchimba kisima Serikali inashindwa Nini


Tatizo la maji ni upumbavu wa Serikali pathetic.
 
Wewe usilinganishe nchi yetu na namibia, namibia idadi ya watu ni milioni mbili hawafiki hata milioni tatu, halafu hawajasambaa kotekote kwenye nchi yao kama sisi tulivyotapakaa kila kona

Halafu washazoea ukame sio sisi

Sisi tukikosa mvua ni janga la kibinadamu, ni tatizo gumu kulitatua
Umejibu swali la msingi? Ulitaka wapikie makanyagio yako?
 
Wanakata Miti ila pia wana Kampeni yao Kubwa ya Kuipanda na Kuitunza kama Mboni ya Jicho ili nchi yoo isiwe Jangwa na ikakosa Mvua na Wanalizingatia sana je, kwa hapa Tanzania Kwetu Umakini kama huu na Nidhamu kama hii tunao / ipo?
Tanzania ni ya kwanza Duniani kuwa na eneo kubwa lililohifadhiwa sasa hapo nani alitakiwa kuwa kwenye advantage side?
 
Hii nchi sijui nani katuroga?
Umeme bei juu alafu hupatikani fikiria asilimia kubwa ya uchumi wetu unategemea Nishati ya umeme kupitia ajira binafsi au kuajiriwa sasa mamlaka inakata umeme saa mbili asubuhi unarudisha saa sita usiku unategemea nini?
 
Bongo wahuni wanatumia V 8 kubebea maji wakati wangeweza kusitisha ununuzi wa hayo mavieti ili waweke miundombinu ya kupatikana maji salama...
 
Nazungumzia fresh water yaliyopo ardhini mkuu ambayo tayari washafanyia utafiti,serikali wanayo taasisi ya Water Institute-Chuo Cha Maji - Rwegarulila near UDSM wanafanya anaysis ya maji ya visima..

Lengo la maji ya ardhini ni kwamba tusiwe dependent kwenye single source tu ambapo mvua isiponyesha tunaathirika.

Halafu kipindi cha mvua hatuvuni maji iwe personally au kiserikali ,serikali inabidi ivune maji na ihifadhi kwenye dams/reservoirs ili tuje kutumia kipindi kukiwa na scarcity ,nakumbuka kwenye geography form iv tulisoma TVA -Tennessee valley authority project ,tukidesa kidogo mule tunaweza kupunguza kwa kihasi kikubwa au kuondoa kabisa tatizo la mgao wa maji kipindi cha ukame.
TVA ni project ya kucopy na kupaste iko applicable maeneo mengi Tz
 
Back
Top Bottom