wenzio walijaribu hiyo gear ya "vijiji vya ujamaa"; hadi leo hajajitokeza mtu hata mmoja ambaye ameweza kutoa madai au uthibitisho kuwa:
a. Ndugu yake aliliwa na fisa au simba
b. Huyo ndugu yake aliwahi kuwepo!
c. Hakuna mtu mwenye idadi ya kusema ni wangapi waliliwa na wanyama na wapi.
Nimesikia habari hizi siku nyingi kweli lakini hadi leo hakuna ushahidi wa kuonesha kama kuna mtu aliliwa na simba au fisa ni sababu ya vijiji vya ujamaa kwani hadi leo hii kuna maeneo bado watu wanaliwa na fisi, simba na sungura!! na hakuna harakati za vijiji vya ujamaa. So, kama una ushahidi angalau wa mtu, kijiji, au mahali ambapo watu "maelfu" waliliwa na wanyama useme au nipe contacts mimi nitafuatilia.