Tunamkumbuka Edward Sokoine - Mtu wa Watu

Tunamkumbuka Edward Sokoine - Mtu wa Watu

Just curious hivi uchunguzi wa kifo cha Prof Mwaikusa kimefikia wapi? How about Mkemia wa serikali? Mwenye info please

Kuna watu ambao walishakamatwa kuhusiana na tukio hilo,na tuliambiwa uchunguzi yakinifu bado unaendelea!!
 
I will never believe kama mchonga anaweza kufanya hayo. Mnachofanya nyie ni kuunganisha matukio yasiyo hata na mahusiano ya kiukweli na hali halisi. Mnapata dhambi. Mnaweza kuniambia kama mwl alishiriki kifo cha s4 ni kwa sababu zipi? Hakika hakuna hata 1. Asumptions! Jamani kuna watu wangeweza kuunganishwa na tukio hilo but hakika not mwalimu. Nakumbuka alitoa speech ambayo nahisi alikuwa akitoa machozi. Lilikuwa ni jembe lake la uhakika. Wapo walofanya hayo na wengine wamekufa miaka michache iliyopita au muda mchache ulopita na wengine wapo mafisadi wa wakati ule wanasherehekea b...d...!msiwe wepesi wa kutoa matamko yasiyo na ukweli jamani.

precisely,sokoine aliuwawa na viongozi maarufu wawili ambao walikuwa mawaziri wakuu wa zamani,mmoja alifariki siku za hivi karibuni na kuzikwa nje ya jiji la Dar es salaam kama unaenda bagamoyo na mwingine ni kiongozi maarufu sana kanda ya kaskazini ambaye aliyefanya beth dai yake hivi karibuni!
 
mie ningependa pia kujua kuhusu Sheikh Abeid Karume kifo chake ,na chenyeewe kilikua Planned

Sisi tupo Tanganyika,na tunajadili mabo yetu ya nchi yetu kwa faida yetu na wewe unataka kutupeleka Zanzibar,unataka tuacha na hoja za nchi yetu na tuanze kujadili hoja za nchi ya jirani!!!
 
EDWARD MORINGE SOKOINE, FROM MONDULI.
n58634759683_1416986_7388336.jpg
 
Hatujawahi na sidhani kama tutakaa tupate Waziri mkuu mchapakazi, mzalendo kwenye maamuzi ya busara kama huyu. Unapokuawa na waziri strong kama Sokoine mambo ya nidhamu ya ku utendaji / uwajibikaji ndani ya serikali inakuwa safi.



Kwa sasa watanganyika tuna kila sababu ya kumkumbuka mpiganaji na mtetezi wa wanyonge - RIP.
 
Wakati tunajadili kifo cha Sokoine baba, naomba mwenye taarifa za kama ni kweli kuna mwanae wa kike aliyekufa katika ajali nyingine yenye utata na akafia hospitali ya Mount Meru Arusha, akisema, "Mume wangu wameniua" akiwa na chuma kichwani. Hiyo itatusaidia kujua mengi na pengine kujua kama kuna mwanae wa kiume ambaye anakuja Tanzania kuingia katika siasa. Huyo wa kike anaelezwa kwamba alikuwa anania ya/ au anagombea ubunge kupitia wanawake wa CCM mwaka 2005.

Huyu mtoto wake unaemsema ni yule aliekufa kwa ajali ya gari alipokuwa anatokea monduli na mume wake ni Dr Toure wa Mount meru hospital?
 
Katika safari ndefu, kiongozi anakuwa peke yake , mlinzi na dereva. Nyuma ya gari yake kuna escort na baada ya escort huwa kuna gari la kubebea wasiadizi wake km private secretary, press secretary.
Sokoine alifariki kwa sababu hakuwa amevaa mkanda (safety belt). Dreva na milinzi wake walipona kwa sababu walikuwa wamevaa mikanda.
Tukirudi kwenye hizi conspiracy theories, kama kuna mtu/watu walifanya hila na kumua Sokoine, ni kitu gani kinacho washinda ku msilence Shaba?
Wale wote waliyokuwa kwenye msafara je nao ni part and parcel ya huo mpango?
Hakuna siri zaidi ya mtu mmoja!
Heri asante kwa hii.
Nyie wote wenye conspiracy theory behind kifo cha EMS, endelezeni conspiracy theories zenu, lakini hili la kumuhusisha Mwalimu JKN, ni kutenda dhambi na mtahukumiwa kwa hilo kupitia mahakama ya 'karma'.

Kwa wanaomjua Julius, mimi nilisoma primary enzi zake, kama hakuhitaji, hakopeshi, hutangazwa kwenye habari za saa 2:00 RTD. Alikuwa habembelezi wala hajikombimbi kombi kwa wenye nazo kama wafanyavyo waliopo. Hakuwa na sababu yoyote ya kutumia njio hiyo kumueliminate mtu wakati tunajua there were 1001 ways clean, sefer na more silent ways za kutumika.

Kitu ambacho nakubaliana na baadhi ya wachangiaji, ni kweli ajali na kifo vimetokea kwenye mazingira ya kutatanisha, lakini ukweli unabaki kuwa ni ajali ya kawaida, kama ajali ya Wangwe pia ni ajali ya kawaida lakini watu walisema sana na wanaendelea kusema. Ajali ya Mama Mbatia pia ni ajali ya kawaida, lakini watu weanasema sema. Ajali ya Akukweti ni ajali ya kawaida, lakini watu wamesema, na aliyemrithi amefarikika kwa kifo cha kutatanisha na wameendelea kusema.

Kifo cha Kolimba ni natural death, wakusema wamesema, kofo cha Malima ni natural death, wakusema wamesema. Yaani mkubwa au mtu maarufu akifa kwenye ajali, kuna kitu, tangu anzi za Salum Abdala, alikuwa kwenye siti ya abiria teksi ikagonga mlingoti wa daraja pale moro, mlango ukafunguka, jamaa kachomoka na kuporomea darajani, wakusema wakasema, vivyo hivyo Mbaraka Muhishee nae kafa kwa ajali, wakusema, wamesema, hata mtoto wa Dandu wakusema wamesema, hata hii ya juzi ya Abou Semhondo wakusema wamesema.

Kwa wale tuliopitia kusoma imani za East, tunaelewa, there is nothing new under the sun, whataver happens, hata kiwe ni cha miaka mingapi mbele, it is a pre meditated move, na kitatokea tuu kile ambacho kilikuwa kitokee, hivyo chochote ambacho kinatokea na kusababisha kifo, ndivyo kilivyokuwa kimepangwa na kitokee, na kama kilikuwa hakikupangwa, kifo hakitokei hata ajali iwe mbaya kiasi gani, ndio maana kuna watu wana survive ajali za kutisha huku wengine wakijifia isingizini.

Kifo cha Sokoine ndio siku yake ilifika, na kilikuwa kitokee kwa ajali ya kawaida nothing more nothing less.

RIP Edward Moringe Sokoine.

Pasco.
 
Arusha, vichwa vipo. Havijapewa nafasi tu. Alikuwepo Sarwat ( Mgombea huru pekee tuliewahi kuwa naye).

Akaja EMS ambaye kwa utendaji na uadilifu wake hakuna mfanowe. Hivi karibuni tumekuwa na akina EL, FTS na sasa Dr Slaa. Sokoine hakuuwawa kwa kuwa hata uamuzi kuja Dar kwa barabara aliufanya yeye mwenyewe tena dakika za mwisho.

Alikuwa haelewi ni kwa nini magari yarudi matupu Dar huku yeye akipanda ndege. Aliona huo ni ufujaji wa pesa za UMMA.
 
ina maana mbele ya msafara wa waziri mkuu kulikuwa hakuna gari lililotangulia? I think no body have proved anything here and case remains half-per-half. That is, may be he was killed may be something else happened.
That is where I stand
 
Hamna haja ya kuishi katika speculations za kujianzishia wenyewe kama hii, kumbukeni kuwa Mhandishi wa habari ni mtu mdogo sana katika msafara wa waziri mkuu, UWT lazima kuna kosa walifanya ambalo ni lazima walilifuta mara moja, maana UWT katika nchni yetu wanampa Waziri Mkuu ulinzi mkubwa kuliko hata makamu wa Rais.

Wengine walidai CIA ndio waliomuuwa jamaa kupitia kwa UWT na Mwl hakujua lakini yote ni speculations, wengine wanasema ni ajali ya kishirikina na kuwa alichukuliwa msukule na kuwa mara kadhaa walikuta amesahini mafahili yake Bungeni yote ni speculation, mara nyingi akifa mtu ambaye unamtumaini lazima swali la kwanini kafa lije maana amekufa wakati unamtegemea, speculations hutoa watu kwenye uhalisia na kupeleka hisia katika mambo ya kudhania kama uchawi na pengine u-Yahya, na hata kutokuaminia wenyewe kwa wenyewe.

Waliofanya kazi na Sokoine wapo wengi na waliosafiri naye wapo wengi hata Keenja nadhani alifanya nae kama sikosei hamna siri hapa hii ili kuwa ni ajali iliyotokea wakati tunamuhitaji sana lazima tuchanganyikiwe lakini isiwe ni tabia yetu sasa, maana watu wa Imani husema ajali zote ni kazi za shetani na mto roho ufanya kazi yake haraka sana na moja pale kwenye ajali.

Ila watanzania tunaelekea pabaya sasa tumeona mtu akisema anamlinda Rais kwa njia za uchawi lakini hata Rais mwenyewe hakupinga wala kukana, sasa hivi mitaani kuna watu wanasema kuna uchawi mtu ana rogwa anaonekana kama ana ukimwi!!

Vijijini akifa mtu lazima kwa fulani ndio kamuuwa, nimeambiwa zamani watu wakimaliza shule hasa vyuo hawarudi makwao maana wata uwawa, tunapenda maisha ya kudhaania zaidi kuliko uhalisi.
 
Arusha, vichwa vipo. Havijapewa nafasi tu. Alikuwepo Sarwat ( Mgombea huru pekee tuliewahi kuwa naye). Akaja EMS ambaye kwa utendaji na uadilifu wake hakuna mfanowe. Hivi karibuni tumekuwa na akina EL, FTS na sasa Dr Slaa. Sokoine hakuuwawa kwa kuwa hata uamuzi kuja Dar kwa barabara aliufanya yeye mwenyewe tena dakika za mwisho. Alikuwa haelewi ni kwa nini magari yarudi matupu Dar huku yeye akipanda ndege. Aliona huo ni ufujaji wa pesa za UMMA.

Huyo kwenye RED ni nani vile, halafu naona umesahau kumtaja BB (Batlida Buriani)....:sick:
 
Tanzania tuna bahati mbaya sana ya kukosa kuongozwa na Bw Moringe.

Yule alikuwa ni kiongozi wa ukweli, safi, asiyeogopa na mchukia rushwa kwa vitendo; alikufa sababu tu alikuwa tishio kwa makundi flani ya watu.

Mi nina vitu vitatu vya kuongozea:

1. Baada ya ile ajali na mazingira yalivyotokea, watu wa marcedes benz walitaka kuja kufanya research yao kwa ile gari ni custom made na ilitengezwa kwa matumizi ya viongozi wakubwa. Jamaa walikataa!

2. Ukisoma kitabu cha Horace Kolimba alichokiandika kuhusu Sokoine, kuna sehemu kabla ya kutoka DOM alikwenda kumtembelea Kolimba hospitali (alikuwa amelezwa). Wakaja watu wakamwambia "Mheshimiwa kwa nini usirudi Dar kwa ndege?" akakaata akisema kuwa hawezi kuwaacha watu aliokuja nao.

ILIKUWA NGUMU KUMCOMVICE ZAIDI KWANI HUO MPANGO ULIHUSIHA WATU WENGI KATIKA TAASISI NYETI.WALIOTAKA KUMPANDISHA KWA NDEGE WALISHTULIWA A DAY BEFORE KUHUSU PLOT HIYO. MIE NAISHIA HAPA ILA MAELEZO NI MAREFU SANA

3. Stori yote hiyo ilitoka kwenye article ya gazeti la AFRICAN EVENTS (watu wa zamani wanalijua hili gazeti). Waliobahatika kusoma toleo hilo ni wachache sana kwani asilimia 95 ya nakala zilinunuliwa zote na kuchomwa. MJIULIZE KWA NINI ?
 
Clever Mwalimu had to take him out so that me and you could fly out oneday and be educated and make up our own my minds based on our independent reasoning. Stupidd Masai Rot in Hell for wanting Tanzanians to queue just for sugar.

Mwalimu couldnot take Sokoine who seemed to understand better the model of Ujamaa than himself, He is the one who opened the bourders for imports of soap and sugar, he is the one who allowed daladala, Ujwuku was among the first to respond. He was optimising Ujamaa. But the ruthless characteristics of few greedy leaders who where in a big comflict with him were chearful on his death. Not SAS, Mzee Mwinyi even Mwalimu himself. (Funika kombe mwanaharamu apite).

Iko siku majasusi wetu watafanya kazi yao, maana wanajua kila kitu, mimi sijui. Ila Ukiona mtu anambeza Sokoine anawazakana akawa mmoja wa majasusi wetu.
 
Edward Moringe Sokoine: The Prime Minister people loved

2007-04-12
By Mangengesa Mdimi

Twenty-three years ago today, this nation lost treasure, a true son of our soil, the greatest patriot this country has ever produced, a man of great character, a leader dedicated to the development of his people and country. Edward Moringe Sokoine. May God Almighty rest his soul in eternal bliss. Amen.

Edward Moringe Sokoine was then Prime Minister, and what a Prime Minister he was. He commanded and won respect from over 98 per cent of all Tanzanians.

He deservedly won the respect of the then President, the late Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Edward Moringe Sokoine was a darling to all patriots because he was a great patriot, to all honest people because he was the most honest man, to all hard working people because he was himself the epitome of hard work, to all practical people because he was a man of few words. He was action-oriented. He wanted to see things done and done now, not tomorrow.

But Edward Moringe Sokoine was a terror to majambazi (bandits) because he hated them like poison, he was poison itself to embezzlers; and saboteurs feared him like death.

He was no friend to lazy indecisive workers and managers alike. He was a man of the people, indeed.

Sokoine died in a horrible road accident in mysterious circumstances at Dakawa area on the Dodoma - Morogoro Road that dark April day in 1984 at the tender age of 56 short years.

The news of his death stunned the country; people talked in subdued voices as if death was breathing down their own necks.

Because he was hard working, Mwalimu loved him. Those who had the opportunity to work with him told mourners at his funeral how many hours he was in his office and wondered whether he had any time for his family and private matters.

Because he was honest, Mwalimu trusted him with the management and administration of the government, and he passed with flying colours.

We were told no minister would take any issue to the President without consulting the Prime Minister first, and that Prime Minister was Edward Moringe Sokoine. He was, indeed, head of government. And the ministers respected him.

Sokoine was a darling of the people because he listened to them. He did not only sympathise with them, but he also fought hard to find solutions to their problems. One of the nagging problems in Dar es Salaam, for example, was and still is public and private transport.

Maybe we cannot talk of public transport these days because it is virtually non-existent. During his time, there was UDA (Usafiri Dar es Salalam), which could not cope with the growing population of the city.

It was Edward Moringe Sokoine, the Prime Minister (then) who allowed private minibuses (daladala), which were operating illegally, to operate officially.

These minibuses were charging five shillings per trip, no matter the distance in the city and the five shilling coin was nicknamed dala (I don?t know why), hence, daladala.

But then Sokoine directed that the vehicles ferrying people should be properly designed and the first vehicles to come out following the directive were named chai maharage (city people know why). He was a practical man. Daladala owners and Dar residents have a debt to pay to Sokoine.

Before he was appointed Prime Minister, Sokoine excelled himself as Minister for Defence and National Service.

He served as Prime Minister for a time and resigned to attend to his health during which time he pursued studies in Bulgaria. When he came back he was appointed Prime Minister again, which showed Mwalimu?s trust and confidence in him.

Edward Moringe Sokoine was dismayed at the way the government was being run. It was the time when corruption and all sorts of vices were at their peak.

It was the time when a few young men and women went about with stacks of currency notes tucked under their socks because there was no room in their pockets, but the majority went about with half empty bellies.

Sokoine came to the people`s rescue. The government has not gone to sleep, he said and launched the all famous Operation economic saboteurs (oparesheni wahujumu uchumi).

It was hard to believe what we saw, huge stocks of various consumer goods, including huge sums of hard cash, were thrown away on the roadsides or dumped into the ocean. The name Sokoine meant terror to them.

One of the areas of his priority was agriculture; Sokoine had vowed to improve this sector to modern standards. He worked hard against the removal of government subsidies to farmers and peasants.

His reward was the establishment of a University of Agriculture in his name - Sokoine University of Agriculture (SUA).

Edward Moringe Sokoine was a soft spoken man and you could have mistaken him for a soft man. But his soft-spokenness was deceptive, because he meant every word that came out his mouth.

He was a man of his word and he made close follow ups to every directive he issued to ensure that it was carried out the way he wanted it.

A day before his death, he had promised people from his constituency, Monduli, who had gone to visit him during a Bunge session in Dodoma, that he would be in Monduli in two weeks time and that was when they should see him.

That was the one public promise he never fulfilled, because he died the following day when his car was involved in that fatal accident in Morogoro.

He surely must have made other promises and directives during the previous days or weeks, promises that he never fulfilled, and directives that might have died with him.

Sokoine`s death touched many a heart in Tanzania. But, apart from his family, I doubt if there was anyone more devastated by the sudden death of Edward Moringe Sokoine than Mwalimu Nyerere.

The only time I saw Mwalimu cry was at the death of Edward Moringe Sokoine. Those who did not see Mwalimu announcing the death of Sokoine, must have noticed the tremour in his voice.

Shall we ever have another Edward Moringe Sokoine in our country? Let us be guided by what he stood for and what he fought for. That is the best way to remember him.
 
haijalishi juu ya kifo chake...... naomba spirit yake ije kwangu hata kama alikuwa na udhaifu ili niwakimbize wahujumu uchumii.... mimi na spirit please jamani naumia.....hodiii wanajamiii.
 
Nimepata ushuhuda mpya japo ni second hand news.

Aliyekuwa Mwandishi wake Acadoga Chiledi alisema kuwa yeye ni miongoni mwa watu walioshuhudia ajali kwa macho yake na pia alihusika kumtoa kwenye gari na kumlaza chini pembeni. Amesema Sokoine hakufa on the spot. Alikuwa hai mpaka anapandishwa helcopter ya jeshi.

Chiledi mwenyewe was shocked kusikia eti Sokoine alikufa kwa ajali ile. Naomba nisimtaje source wangu kwa vile aliyasema hayo in confidence yangu nami namhifadhi kwa kutumia haki ya the 'confidentiality of the source'.
 
Nimepata ushuhuda mpya japo ni second hand news.

Aliyekuwa Mwandishi wake Acadoga Chiledi alisema kuwa yeye ni miongoni mwa watu walioshuhudia ajali kwa macho yake na pia alihusika kumtoa kwenye gari na kumlaza chini pembeni. Amesema Sokoine hakufa on the spot. Alikuwa hai mpaka anapandishwa helcopter ya jeshi.

Chiledi mwenyewe was shocked kusikia eti Sokoine alikufa kwa ajali ile. Naomba nisimtaje source wangu kwa vile aliyasema hayo in confidence yangu nami namhifadhi kwa kutumia haki ya the 'confidentiality of the source'.
Sasa hili si jambo la kawaida tu kwa majeruhi kufia njiani akikimbizwa hospitali?

Kesi kama hizo mbona zipo nyingi tu, ajali inatokea, wapo wanaofia eneo la tukio, na majeruhi wengine wanafia njiani, na wengine wanafia hospitali. Lakini wote wataelezewa kuwa wamekufa kutona na ajali.
 
Hizi story kwa kweli zinachanganya, hivi hakuna wapelelezi wanaoweza kufanya kazi ukweli ukajulikana?
 
Nimekuwa nasikiliza vipande vya hotuba za Sokoine akiwa bungeni kupitia TBC1 hivi karibuni
na vimenigusa sana.

Vina ujumbe mzito wa kiuongozi, vinaonyesha njia, vina nguvu ya kiutawala wenye maslahi makubwa sana kwa UMA.Ninapata picha jinsi walivyotengeneza a strong and committed couple with Mwalimu.

Ni vifupi vifupi sana, lakini huwezi kuvilinganisha hata kidogo na hotuba za PINDA, JAKAYA, MKAPA, MWINYI, SHEIN, KARUME JR, MSEKWA, CHILIGATI, SITTA,MWAKYEMBE,MAGUFURI, SENDEKA, MRISHO GUMBO, LIPUMBA, HAMAD RASHID etc all put together (Namtoa Makamba sababu nikimuweka anaweza akaishusha average yao kwa kiwango cha kutisha, we all know he is senseless, Jakaya nimemuweka kwa Heshima niliyonayo kwake as my constitutional President)

Kitu pekee kinachonipa matumaini ni kwamba nguvu zilizo ndani ya hotuba yake naziona kwa wazi kabisa katika misimamo, nia na maelekezo ya DR SLAA.

Vipi wenzangu
 
Back
Top Bottom