Tunamkumbuka Edward Sokoine - Mtu wa Watu

Tunamkumbuka Edward Sokoine - Mtu wa Watu

RIP to sokoine na wapambanaji wote waliokuwa na nia mjema na Taifa letu
 
Hivi kuna mtu mwenye repot ya uchunguzi wa kifo cha Moringe, kama yupo aimwage plz.
 
jamani embu mtujuze ukweli kuhusu kifo cha edward moringe sokoine wengine ndiyo tulikuwa wadogo wengine hata kuzaliwa ilikuwa bado wenye kufahamu watujuze

nenda kwenye jukwa la intdelligence kuna watalamu wameidadavua vya kutosha huko utatoka umeshiba
 
Hvi kuna mtu mwenye repot ya uchunguzi wa kifo cha moringe, kama yupo aimwage plz.

Kwa mujibu wa Profesa Shaba akiwa kwenye ulevi alisema sokoine alipigwa risasi na wauaji wakatengeneza ajali feki . Ngoja niwaekee hiyo sredi.
 
hapa ni bongo,yaani town! Ukimzibia mtu anakurestisha in peace! hata jamaa zangu nifanyao nao kazi wanasema wazi,ukimzinga mbele ya riziki wanakuondoa! Hata hivo tuombe isiwe kwa akina Mwakimbe ! Mungu aepushie hilo balaa lisiendelee kuwapoteza watu wenye rekodi nzuri!
 
Duh nimeitafuta hiyo sredi nimeikosa labda mtu amwombe invisible airushe . Ilichangiwa vizuri sana . Mtaipenda.
 
That is another controversial incidence happened in our land.
 
me nasikia aliuliwa akiwa dodoma wakamsafirisha mpaka dumila wakatengeneza ajali ili aonekane amekufa kwa ajali..ila yamesemwa mengi sana kuhusu kifo hiko baadhi ya wanaohusishwa ni salim a salim, kawawa,aboud jumbe.

Miaka mingi imepita bado watanganyika tunaendelea kufichwa ukweli wa kifo hiko.
 
,Edo,alitaka cheo cha katibu mkuu wa CCM kipigiwe kura na siyo mtu kupewa bila ya idhaa ya wananchi! unajua wakati ule katibu mkuu wa ccm alikuwa mara mbili ya waziri mkuu kwa cheo. mshikaji wake Yona mwakasendo naye alipigwa sindano ya sumu ! nakuambia heri kufa kwa ukomunisti maana nchi hii ilikuwa inatisha kwa watu kupotea kisirisiri. wewe ona kifo cha kanali Andrew Shija mpaka leo hakieleweki! KIfo cha koliimba kutetetmeka katika spika wakati anajieleza! KIfo cha sokoine kupata ajali hakieleweki! Haya yote yatakuja eleweka tuu na wahusika kuanikwa wazi wapende wasipende!

Mkuu ni wachache sana wanamfahamu Col. Andrew Shija. Nadhani alikuwa CC huyu jamaa. Namkumbuka sana wakati wa harakati za ujio wa vyama vingi. Shija alikuwa jeshini huku akiwa pia CCM si mnakumbuka wakati ule wa chama kushika hatamu na Makamisaa wa Siasa majeshini. Kulikuwa na makada wengi na makini ndani ya majeshi yetu; Shija alikuwa mmoja wao.
 
me nasikia aliuliwa akiwa dodoma wakamsafirisha mpaka dumila wakatengeneza ajali ili aonekane amekufa kwa ajali..ila yamesemwa mengi sana kuhusu kifo hiko baadhi ya wanaohusishwa ni salim a salim, kawawa,aboud jumbe.
Miaka mingi imepita bado watanganyika tunaendelea kufichwa ukweli wa kifo hiko.

haiwezekani waziri mkuu auwawe alafu mkuu wa kaya asijue alafu rais kama mchonga.
 
than nyerere?

yule masai angekamata hii nji tungekuwa mbali japo nlikuwa dogo lakin natambua mambo aliyotaka kuyafanya japo kidogo tu!na nji hii ukionuesha uzalendo wa ukweli wanakupoteza aisee,
 
Acha wafu wawazike wafu wenzao. Inawezakana siku yake imefika nyie mnaleta zengewe eti aliuawa.
 
na mengi aliyokuwa akipingana nayo ndo hawa jamaa wakayafanya baada ya kifo chake.Lakini km kumbukumbu zangu ziko sawa HK aliondoka kwnda exile.

Kolimba na Sokoine walikuwa marafiki na walikuwa wote Dodoma siku Sokoine aliyouawa.

Kolimba alikataa kurudi Dar na msafara wa Sokoine akidai yeye alikuwa na tiketi ya ndege.

Ni wazi alijua kinachokwenda kumsibu mwenzie ila akapiga kimya.
Ndicho kilichompa kiburi cha kuweza kujibishana na Nyerere katika miaka ya 93 na 94. na si ajabu ndicho kilichomuua baadae alipojaribu kuwa blackmail ccm kuwa angetoa hiyo siri. akapigwa kaput chimwanga ukumbi ule ule alimouawa Sokoine.

Mzimu wa rafiki yake ulimfuata na kumsuta ukisema, "walichonifanyia 1984 na wewe ukanyamaza ndicho kinachokupata sasa! "
 
Kolimba na Sokoine walikuwa marafiki na walikuwa wote Dodoma siku Sokoine aliyouawa.
Kolimba alikataa kurudi Dar na msafara wa Sokoine akidai yeye alikuwa na tiketi ya ndege.
Ni wazi alijua kinachokwenda kumsibu mwenzie ila akapiga kimya.
Ndicho kilichompa kiburi cha kuweza kujibishana na Nyerere katika miaka ya 93 na 94.
na si ajabu ndicho kilichomuua baadae alipojaribu kuwa blackmail ccm kuwa angetoa hiyo siri. akapigwa kaput chimwanga ukumbi ule ule alimouawa Sokoine.
Mzimu wa rafiki yake ulimfuata na kumsuta ukisema, "walichonifanyia 1984 na wewe ukanyamaza ndicho kinachokupata sasa! "

kwahiyo mauaji ya sokoine yalipangwa na kolimba?? Maana kuna watu wanasema kolimba ndie aliyekuwa mkuu wa msafara siku ya ajali
 
Jamani hao washakufa mnaanza kuwadiscuss ili iweje?
Tugange yajayo!
Ila nikimkumbuka Sokoine roho inauma yaani sipati picha kama baada ya Mwinyi raisi angekuwa Sokoine!
 
iko siku tutajua ukweli tu . hata kama ni mbinguni .
 
nenda kwenye jukwa la intdelligence kuna watalamu wameidadavua vya kutosha huko utatoka umeshiba

nimeipata ule uzi wa sokoine ipo jukwaa la siasa mtajifunza mengi mkiisoma .
 
Back
Top Bottom