Tunamkumbuka Edward Sokoine - Mtu wa Watu

Tunamkumbuka Edward Sokoine - Mtu wa Watu

Wacha Sokoine! Je mnamkumbuka mtu mmoja alikua anaitwa Horace Kolimba naye alipotea kwenye mazingira ya kutatanisha!
 
Hata mimi hili sili elewi vizuri juzi juzi hapa nilikuwa na kundi la wastaafu katika story za mauji nchi wakamgusia sokoine...mstaafu wa magerza alitamka kuwa ndani ya gari ile alikuwapo EL....baada ya kugngana wali mmalizia kwa risasi...aliemuua alikuwa huyo bwana EL...NA huyo mzee kila ukimtaja EL anakwambia huyo alimuondoa mwenzake huyo.... anaejua ukweli wote embu atufungue macho naona xyz nyingi mno................

huyu EL mmemwandama hivi jamani? Pasco uko wapi uje utetee mtu wako hapa maana naona raia wanazidi kumpa kashfa!
 
Dah,kanali Shija nakumbuka alifia kilima nyege masaki akitokea muhalibwa pub kupata mbili tatu usiku,utata mtupu
 
Chanzo cha ajali iliyokosakosa kumuua MWAKYEMBE ndio chanzo cha ajali iliyomuua SOKOINE tofauti na wahusika tu waliomuua sokoine nao wamekufa ila waliotaka kumuua Mwakyembe wako hai.
 
Alikuwa awe raisi wa tanzania baada ya nyerere

nakumbuka na mwimbo wake baada ya kifo uliliza watanzania

nakumbuka shuleni watu tuliudhunika sana hata tulikuwa tunaruhusiwa kusikiliza redio kupata updates shule hiyo ni day primary school.

Mungu amlaze pema peponi

aliuawa as sidhani kama mpaka leo ukweli ulitoka. Angepigiwa kura mmasai wetu angepata asilimia 99.9% alipendwa na watu kwa kuwa waziri mkuu tu
 
Wacha Sokoine! Je mnamkumbuka mtu mmoja alikua anaitwa Horace Kolimba naye alipotea kwenye mazingira ya kutatanisha!

na mengi aliyokuwa akipingana nayo ndo hawa jamaa wakayafanya baada ya kifo chake.Lakini km kumbukumbu zangu ziko sawa HK aliondoka kwnda exile.
 
huyu EL mmemwandama hivi jamani? Pasco uko wapi uje utetee mtu wako hapa maana naona raia wanazidi kumpa kashfa!

Kashfa kapewa au amezitafuta mwenyewe wakati akijitaftia maslahi yake
 
Chanzo cha ajali iliyokosakosa kumuua MWAKYEMBE ndio chanzo cha ajali iliyomuua SOKOINE tofauti na wahusika tu waliomuua sokoine nao wamekufa ila waliotaka kumuua Mwakyembe wako hai.

Mwakyembe si ni sumu?au na yy aliundiwa zengwe la ajari kabla hajatiliwa sumu kwnye..................
 
Back
Top Bottom