Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi hili sili elewi vizuri juzi juzi hapa nilikuwa na kundi la wastaafu katika story za mauji nchi wakamgusia sokoine...mstaafu wa magerza alitamka kuwa ndani ya gari ile alikuwapo EL....baada ya kugngana wali mmalizia kwa risasi...aliemuua alikuwa huyo bwana EL...NA huyo mzee kila ukimtaja EL anakwambia huyo alimuondoa mwenzake huyo.... anaejua ukweli wote embu atufungue macho naona xyz nyingi mno................
Kwa mi si dada.hiyo siyo kweli dada . Haiwezekani pm afe mkuu wa kaya asijue . Tafiti zaidi utajua ukweli.
Yeah_watu wazuri hawaishi muda mrefu...anyway r.i.p moran
tambua na tumia vizuri alama ya kuulizamandela?c shujaa? Fidel Castro?
Nendeni mkamuulize profesa shaba anajua ukweli . Yeye ndo aliufanyia uchunguzi mwili wa sokoine .
Sokoine ni shujaa wa taifa letu!
alikuwa ni shujaa ndo maana wakamtoa.
jamani embu mtujuze ukweli kuhusu kifo cha edward moringe sokoine wengine ndiyo tulikuwa wadogo wengine hata kuzaliwa ilikuwa bado wenye kufahamu watujuze
Yeah_watu wazuri hawaishi muda mrefu...anyway r.i.p moran
Wacha Sokoine! Je mnamkumbuka mtu mmoja alikua anaitwa Horace Kolimba naye alipotea kwenye mazingira ya kutatanisha!
Acheni kumung'unya mchonga anahusika kwa asilimia 100 ya kifo cha sokoine.Mzee kadedisha wengi sana alikuwa dikteta
Ukweli ni kwamba Mungu alimpenda zaidi!
huyu EL mmemwandama hivi jamani? Pasco uko wapi uje utetee mtu wako hapa maana naona raia wanazidi kumpa kashfa!
Chanzo cha ajali iliyokosakosa kumuua MWAKYEMBE ndio chanzo cha ajali iliyomuua SOKOINE tofauti na wahusika tu waliomuua sokoine nao wamekufa ila waliotaka kumuua Mwakyembe wako hai.