Kanda2,
Sijasema kwamba Mkapa anahusika wala meya Sykes!.. ila nachosema deal lilianza toka utawala wa Mkapa na nakumbuka deal hilo lilipigwa wakati Sykes akiwa bado meya wa jiji. Wakati huo JK alikuwa bado ni waziri ama niseme rais mtarajiwa. Hii ni pamoja na madeal yote yanayoendelea leo hii nchini ndio maana JK haishi kukimbia nje na kujifanya kipofu...He knows that, he wanted changes but maji mazito bob!
Bongo choo, watammaliza kabla ya wakati wake!
Kulinda gate mwenzangu utaishia kukusanya viti baada ya party na watu kusambaa! yaliyoendelea ndani ni hadithi uliyosimuliwa au sio?.. U got the point!
Sijasema kwamba Mkapa anahusika wala meya Sykes!.. ila nachosema deal lilianza toka utawala wa Mkapa na nakumbuka deal hilo lilipigwa wakati Sykes akiwa bado meya wa jiji. Wakati huo JK alikuwa bado ni waziri ama niseme rais mtarajiwa. Hii ni pamoja na madeal yote yanayoendelea leo hii nchini ndio maana JK haishi kukimbia nje na kujifanya kipofu...He knows that, he wanted changes but maji mazito bob!
Bongo choo, watammaliza kabla ya wakati wake!
Kulinda gate mwenzangu utaishia kukusanya viti baada ya party na watu kusambaa! yaliyoendelea ndani ni hadithi uliyosimuliwa au sio?.. U got the point!